30.2 C
Dar es Salaam

KIMATAIFA

DRC na safari ya jasho, damu kuwania tiketi Kombe la Dunia 2026

Na mwandishi wetu, GazetiniTIMU ya soka ya taifa ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) itaiwakilisha Afrika katika mchujo wa mwisho wa kupata timu...

Lewandowski aliombwa asifunge mabao

CATALUNYA, HispaniaKATIKA kitabu chake kipya, straika wa Barcelona, Robert Lewandowski, amefichua alivyoitwa na mabosi wa klabu hiyo na kumuomba asifunge mabao.Kupitia kitabu hicho kiitwacho...

WHO: Wanawake milioni 840 wamepitia unyanyasaji wa kijinsia

NEY YORK, MarekaniRIPOTI mpya ya Shirika la Afya ya Umoja wa Mataifa (WHO) imeeleza kuwa kati ya wanawake watatu, basi mmoja atakuwa amewahi kufanyiwa...

Nicki Minaj amuunga mkono Rais Trump

LOS ANGELES, MarekaniMWANAMUZIKI wa Hip hop nchini Marekani, Nicki Minaj, ameiunga mkono kauli ya Rais Donald Trump aliyedai kuwa waumini wa Dini ya Ukiristo...

Shambulizi la Urusi laua 26 Ukraine

KYIV, UkraineWATU takribani 26, wakiwamo watoto watatu, wamepoteza maisha katika shambulizi la Urusi nchini Ukraine.Vifo hivyo vimetokana na shambulizi la ndege isiyo na rubani...

Rooney ataja watatu anaowakubali EPL

MANCHESTER, UingerezaMKONGWE wa Manchester United, Wayne Rooney, amewataja wachezaji watatu wanaomvutia msimu huu wa Ligi Kuu ya England (EPL).Akihojiwa hivi karibuni, Rooney alianza kwa...

Gyan aitabiria Nigeria ubingwa AFCON

ACCRA, GhanaMSHAMBULIAJI wa zamani wa timu ya taifa ya Ghana, Asamoah Gyan, anaamini Nigeria ina nafasi kubwa ya kutwaa ubingwa wa fainali za AFCON...

Hakimi abeba tuzo Mchezaji Bora Afrika

RABAT, MoroccoBEKI wa kulia wa PSG na timu ya taifa ya Morocco, Achraf Hakimi, ametwaa tuzo ya Mchezaji Bora wa Shirikisho la Soka barani...

Jonathan Barnett; Wakala wa soka na kashfa ya ubakaji

LONDON, UingerezaUPEPO unavuma vibaya kwa Jonathan Barnett, ambapo wakala huyo wa soka anakabiliwa na mashitaka ya ubakaji mjini London.Kwa mujibu wa kile kilichoelezwa mahakamani,...

Ripoti| Kisonono kinazidi kuwa sugu; WHO yaonya kuongezeka kwa usugu

Na Mwandishi Wetu, Gazetini SHIRIKA la Afya Duniani (WHO) limetoa tahadhari kali kuhusu kuongezeka kwa usugu wa bakteria wanaosababisha kisonono dhidi ya dawa muhimu zinazotumika...

Neymar kuibukia England Januari?

RIO, BrazilMSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Brazil, Neymar, atakuwa mchezaji huru katika usajili wa dirisha dogo la usajili hapo Januari, mwakani. Mkataba wake na Santos...

Super Eagles ilivyokwama kufuzu Kombe la Dunia

LAGOS, NigeriaLICHA ya kuwa na kikosi chenye mastaa Victor Osimhen, Ademola Lookman na Alex Iwobi, timu ya soka ya taifa ya Nigeria 'Super Eagles'...

Recent articles

spot_img