30.2 C
Dar es Salaam

KIMATAIFA

Odegaard fiti kuivaa Tottenham

LONDON, UingerezaKIUNGO wa Arsenal, Martin Odegaard, amepona majeraha yake na huenda akaikabili Tottenham katika mchezo wa Ligi Kuu ya England wa Jumapili ya wiki...

Meya ahukumiwa kifungo cha maisha

MANILA, UfilipinoMAHAKAMA Kuu nchini Ufilipino imemuhukumu kifungo cha maisha gerezani mwanasiasa maarufu na Meya wa zamani, Alice Guo.Guo aliyekuwa Meya wa Bamban, ameangukiwa na...

Zelenskyy: Tuko tayari kumaliza vita na Urusi

KYIV, UkraineRAIS wa Ukraine, Volodymyr Zelenskyy, amesema Serikali yake iko tayari kushirikiana na Marekani katika jitihada za kumaliza mgogoro na Urusi.Hivi karibuni, Ikulu ya...

Mahakama yamng’oa ofisini Mwanasheria Mkuu

MADRID, HispaniaMWANASHERIA Mkuu wa Serikali ya Hispania, Alvaro Garcia Ortiz, ametakiwa na Mahakama Kuu kukaa kando baada ya kukutwa na hatia katika mashitaka ya...

Usiyoyajua kuhusu ‘playoff’ inayoisubiri DRC

LONDON, UingerezaMACHI 31, mwakani, ndipo zitakapopatikana timu zote 48 zitakazoshiriki fainali za Kombe la Dunia zitakazofanyika katika mataifa matatu; Marekani, Canada na Mexico.Kufikia sasa,...

Wakali wa mabao kufuzu Kombe la Dunia

Na mwandishi wetu, GazetiniFAINALI za Kombe la Dunia zimekuwa na rekodi nyingi, ikiwamo ile maarufu ya wafungaji bora wa muda wote wa mechi za...

Soma hapa maajabu ya Haiti kufuzu Kombe la Dunia

Na mwandishi wetu, GazetiniTIMU ya taifa ya Haiti nayo imefanikiwa kufuzu fainali za Kombe la Dunia za mwakani katika mazingira yaliyowashangaza wengi.Haiti, ambao hii...

Casemiro; Mashine iliyozaliwa upya United, Brazil

RIO, BrazilMIEZI 18 iliyopita, beki wa zamani wa Liverpool na timu ya taifa ya England 'Three Lions', Jamie Carragher alikuwa mbele ya kamera za...

WHO: Dunia imeshindwa ukomesha ukatili dhidi ya wanawake

Na Mwandishi Wetu, Gazetini SHIRIKA la Afya Duniani (WHO) likishirikiana na wadau wa Umoja wa Mataifa limetoa ripoti muhimu leo jijini Geneva, Uswisi, ikibainisha kuwa...

Pochettino bado hali tete Marekani

LOS ANGELES, MarekaniBAADA ya timu ya soka ya taifa ya Marekani kuishia hatua ya makundi katika fainali za Kombe la Dunia za mwaka 2022,...

Mastaa 12 hawa ‘out’ Kombe la Dunia 2026

LONDON, UingerezaFAINALI za Kombe la Dunia za mwakani ziko njiani, ikiwa ni kwa mara ya kwanza michuano hiyo itashuhudia timu 48 zikishiriki.Miongoni mwa timu...

Curacao; Taifa dogo zaidi Kombe la Dunia 2026

LONDON, UingerezaKISIWA cha Curacao kimeandika historia ya kuwa taifa dogo zaidi kukata tiketi ya kushiriki fainali zijazo za Kombe la Dunia.Awali, rekodi hiyo ilikuwa...

Recent articles

spot_img