Ads: info@gazetini.co.tz |
28.8 C
Dar es Salaam

KIMATAIFA

Olise avunja rekodi ya Pele

MIAMI, Marekani MSHAMBULIAJI wa timu ya soka ya Ufaransa, Michael Olise, ameivunja rekodi ya mkongwe wa Brazil, Pele. Nyota huyo wa Bayern Munich ameandika historia mpya,...

Mastaa hawa Kombe la Dunia limewapa kiki Instagram

MIAMI, Marekani KWA kipindi cha mwezi mmoja wa michuano ya Kombe la Dunia msimu huu wa 2026, Erling Haaland ameongeza wafuasi milioni 29 katika akaunti yake...

Rais Hungary anyoosha mikono, akubali kujiuzulu

BUDAPEST, Hungary RAIS wa Hungary, Tamas Sulyok, hatimaye amekubali kujiuzulu baada ya shinikizo kubwa kutoka bungeni. Hatua yake ya kujiweka kando inakuja baada ya Chama cha Waziri...

Mamba kutumika kudhibiti wafungwa

JERUSALEM, Israel MAMLAKA za Israel zimepitisha utaratibu wa kutumia mamba katika magereza yake, lengo likiwa ni kudhibiti wafungwa wanaotaka kutoroka. Awali, Waziri wa Ulinzi wa Israel, Itamar...

Kris Jenner atangaza kifo cha ‘bi mkubwa’ wake

LOS ANGELES, Marekani MAMA mzazi wa mrembo anayetokea familia ya Kardashian, Kris Jenner, Mary Jo, amefariki akiwa na umri wa miaka 91. Kris (70), ndiye aliyetangaza...

Safari ya Hispania kutinga fainali

MIAMI, Marekani HISTORIA inarudisha kilichotokea miaka 16 iliyopita, ambapo timu ya soka ya taifa ya Hispania ilitwaa ubingwa wa Kombe la Dunia ikiwa kwenye ardhi...

Safari ya Argentina kutinga fainali

MIAMI, Argentina ARGENTINA ya kocha Lionel Scaloni itaingia katika mchezo huo wa fainali dhidi ya Hispania ikiwa bingwa mtetezi kwa taji lake la miaka minne...

Rais Trump ageuka mchambuzi, amvaa Tuchel

MIAMI, Marekani RAIS wa Marekani, Donald Trump, amekosoa mbinu za kocha Thomas Tuchel akisema ndizo zilizoigharimu timu ya soka ya taifa ya England katika nusu...

Aubameyang arudi La Liga, atua Deportivo

MADRID, Hispania STRAIKA wa zamani wa Arsenal, Pierre-Emerick Aubameyang, amejiunga na Deportivo La Coruna ya Ligi Kuu ya Hispania (La Liga). Nyota huyo raia wa Gabon...

Wakala afunguka Salah kutimkia Uturuki

MERSEYSIDE, Uingereza WAKALA wa Mohamed Salah, Ramy Abbas Issa, ameibuka na kukanusha taarifa zinazodai kuwa mshambuliaji huyo amekubali kujiunga na Besiktas ya Ligi Kuu nchini...

Burna Boy, Shakira kinawaka tena

MIAMI, Marekani MKALI wa Afrobeats, Burna Boy, amekutana kwa mara nyingine na staa wa muziki wa Pop, Shakira, kwa ajili ya shoo yao nyingine msimu...

Mpasuko jeshini baada ya Waziri ‘kutumbuliwa’

KYIV, Ukraine HATUA ya Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelenskyy, kumuweka kando aliyekuwa Waziri wa Ulinzi, Mykhailo Fedorov, imezua mjadala ndani ya jeshi la nchi hiyo. Baadhi...

Recent articles