MANCHESTER, Uingereza
STRAIKA mwenyewe ni huyu; Ronaldo Nazario, ambaye ametimiza umri wa miaka 50. Mshambuliaji mwenye historia ya kubeba tuzo mbili za Ballons d'Or na...
MANCHESTER, Uingereza
KOCHA wa Manchester United, Michael Carrick, amefunguka juu ya tetesi zinazodai kuwa mabosi wa klabu hiyo watamfungashia virago.
Taarifa zilizopo, ambazo hata hivyo hazijathibitishwa...
RIO, Brazil
MKONGWE wa soka la Brazil, Marcelo, amemchagua tena Cristiano Ronaldo alipoulizwa ni nani mkali wa muda wote kati ya Mreno huyo na Lionel...
MADRID, Hispania
STAA wa Real Madrid, Kylian Mbappe, amesema Cristiano Ronaldo 'CR7', Zinedine Zidane na Ronaldo Nazario ni wachezaji ambao angeweza kuwasajili hata leo hii.
Nyota...
LONDON, Uingereza
KOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta, amedai kuwa hajui lolote kuhusu kusaini mkataba mpya klabuni hapo.
Arteta raia wa Hispania aliyewahi kucheza eneo la kiungo...
Na mwandishi wetu, Gazetini
HISTORIA ya siasa za Afrika itaendelea kumkumbuka kama kielelezo cha viongozi wachache waliowahi kutumia vibaya nafasi zao.
Alikuwa rais wa Liberia kuanzia...
CATALUNYA, Hispania
KOCHA wa Barcelona, Hansi Flick, amefichua kuwa kiungo wake, Frenkie de Jong, atakuwa fiti wiki chache zijazo.
Flick amezungumzia hayo kuelekea mchezo wao wa...
LONDON, Uingereza
NI nyota wawili pekee kutoka Afrika walioingia 'Top 30' ya kinyang'anyiro cha kuiwania tuzo ya mwaka huu ya Ballon d'Or kwa upande wa...
LAGOS, Nigeria
MWIGIZAJI maarufu wa filamu za Nigeria (Nollywood), Ruth Kadiri, amevunja ukimya baada ya taarifa za kifo chake kusambaa na kuzusha taharuki mitandaoni.
Kupitia mitandao,...
MANCHESTER, Uingereza
KOCHA wa Manchester United, Michael Carrick, amesema kiwango kibovu kilichooneshwa na wachezaji wake kilichangia matokeo ya sare ya mabao 2-2 dhidi ya Everton...
MADRID, Hispania
MSHAMBULIAJI wa Real Madrid, Kylian Mbappe, anaamini huu ni mwaka wake wa kuitwaa kwa mara ya kwanza tuzo maarufu ya Ballon d'Or.
Hafla ya...