Ads: info@gazetini.co.tz |
30.2 C
Dar es Salaam

KIMATAIFA

Mashabiki United walipomshangilia straika aliyewatungua ‘hat trick’

MANCHESTER, Uingereza STRAIKA mwenyewe ni huyu; Ronaldo Nazario, ambaye ametimiza umri wa miaka 50. Mshambuliaji mwenye historia ya kubeba tuzo mbili za Ballons d'Or na...

Carrick afunguka kufukuzwa Man United

MANCHESTER, Uingereza KOCHA wa Manchester United, Michael Carrick, amefunguka juu ya tetesi zinazodai kuwa mabosi wa klabu hiyo watamfungashia virago. Taarifa zilizopo, ambazo hata hivyo hazijathibitishwa...

Marcelo: Ronaldo noma kuliko Messi

RIO, Brazil MKONGWE wa soka la Brazil, Marcelo, amemchagua tena Cristiano Ronaldo alipoulizwa ni nani mkali wa muda wote kati ya Mreno huyo na Lionel...

Mbappe awataja ‘CR7’, Zidane

MADRID, Hispania STAA wa Real Madrid, Kylian Mbappe, amesema Cristiano Ronaldo 'CR7', Zinedine Zidane na Ronaldo Nazario ni wachezaji ambao angeweza kuwasajili hata leo hii. Nyota...

Arteta hajui hatima yake Arsenal

LONDON, Uingereza KOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta, amedai kuwa hajui lolote kuhusu kusaini mkataba mpya klabuni hapo. Arteta raia wa Hispania aliyewahi kucheza eneo la kiungo...

Charles Taylor; Alitoroka gerezani kulipiza kisasi kwa Rais ‘aliyemtumbua’

Na mwandishi wetu, Gazetini HISTORIA ya siasa za Afrika itaendelea kumkumbuka kama kielelezo cha viongozi wachache waliowahi kutumia vibaya nafasi zao. Alikuwa rais wa Liberia kuanzia...

De Jong fiti kuivaa Getafe

CATALUNYA, Hispania KOCHA wa Barcelona, Hansi Flick, amefichua kuwa kiungo wake, Frenkie de Jong, atakuwa fiti wiki chache zijazo. Flick amezungumzia hayo kuelekea mchezo wao wa...

Wawili tu Afrika waingia Ballon d’Or ya Wanawake

LONDON, Uingereza NI nyota wawili pekee kutoka Afrika walioingia 'Top 30' ya kinyang'anyiro cha kuiwania tuzo ya mwaka huu ya Ballon d'Or kwa upande wa...

Vozinha wa Cape Verde awania Ballon d’Or

PRAIA, Cape Verde KIPA wa timu ya soka ya Taifa ya Cape Verde, Vozinha, ametajwa kwenye orodha ya wanaoiwania tuzo ya mwaka huu ya Ballon...

Aliyetajwa kufariki aibuka, atoa neno

LAGOS, Nigeria MWIGIZAJI maarufu wa filamu za Nigeria (Nollywood), Ruth Kadiri, amevunja ukimya baada ya taarifa za kifo chake kusambaa na kuzusha taharuki mitandaoni. Kupitia mitandao,...

Baada ya sare, Carrick alia na wachezaji

MANCHESTER, Uingereza KOCHA wa Manchester United, Michael Carrick, amesema kiwango kibovu kilichooneshwa na wachezaji wake kilichangia matokeo ya sare ya mabao 2-2 dhidi ya Everton...

Mbappe ajitabiria Ballon d’Or

MADRID, Hispania MSHAMBULIAJI wa Real Madrid, Kylian Mbappe, anaamini huu ni mwaka wake wa kuitwaa kwa mara ya kwanza tuzo maarufu ya Ballon d'Or. Hafla ya...

Recent articles