KINSHASA, DRC
BARA la Afrika limepiga hatua kubwa tangu mwaka 2000 katika kukabiliana na vifo vya watoto wachanga, kwa mujibu wa utafiti wa Shirika la...
LONDON, Uingereza
CHELSEA haina kocha mkuu baada ya kumfungashia virago Liam Rosenior, ambaye aliajiriwa Januari, 2026 kuchukua nafasi ya Enzo Maresca.
Rosenior amefutwa kazi akiwa ameiongoza...
NEW YORK, Marekani
KAMPUNI kubwa ya teknolojia dunini ya Apple Inc. imetangaza kuwa mtendaji wake wa muda mrefu, John Ternus, atachukua nafasi ya Mkurugenzi Mtendaji...
WASHINGTON, Marekani
Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema wawakilishi wa nchi hiyo wanaelekea Islamabad kwa ajili ya mazungumzo yanayolenga kupunguza mvutano kati ya Marekani na...
WASHINGTON DC, Marekani
VITA ya maneno kati ya Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Leo XIV, na Rais wa Marekani, Donald Trump, imechukua sura mpya.
Safari...
WASHINGTON DC, Marekani
RAIS wa Marekani, Donald Trump, ameionya Iran kuwa inaweza “kuangamizwa ndani ya usiku mmoja” endapo haitafikia makubaliano kabla ya muda wa mwisho...
KAMPALA, Uganda
SERIKALI ya Marekani imewahamishia nchini Uganda wahamiaji haramu nane, ukiwa ni utekelezaji wa mkataba uliosaniwa mwaka jana kati ya mataifa hayo.
Wizara ya Mambo...
MOSCOW, Urusi
WIZARA ya Ulinzi ya Urusi imethibitisha kifo cha watu 29 walilokuwamo kwenye ndege ya kijeshi iliyopata ajali mjini Crimea.
Ndege hiyo ya masafa ya...
WASHINGTON, Marekani
JARIDA la Wall Street Journal linaripoti kuwa Rais wa Marekani, Donald Trump, amewaambia wasaidizi wake kuwa yuko tayari kusitisha operesheni ya kijeshi dhidi...
LONDON, Uingereza
Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer, amesema wazi kuwa nchi yake haitapeleka wanajeshi nchini Iran, akisisitiza kuwa Uingereza haitajiingiza moja kwa moja katika...
ACCRA, Ghana
WATU watatu, wakiwamo wanawake wawili, wameripotiwa kupoteza maisha baada ya jengo la ghorofa mbili la kanisa kuporomoka mjini Accra.
Waziri wa Mambo ya Ndani,...
TEHRAN, Iran
WANAUME wawili nchini Iran wamekumbana na adhabu ya kunyongwa baada ya kubainika kujihusisha na upinzani dhidi ya Serikali.
Wawili hao waligundulika kuwa sehemu ya...