Ads: info@gazetini.co.tz |
24.4 C
Dar es Salaam

KIMATAIFA

Sheria ya malezi ya watoto inayotesa ‘ma-ex’ Japan

TOKYO, Japan KABLA ya kufanyiwa marekebisho Aprili Mosi, 2026, Sheria ya Malezi nchini Japan ilimtaka mzazi mmoja pekee kumiliki mtoto/watoto pale ilipotokea ndoa au mahusiano...

Virusi hivi vya Ebola vimeshindikana, havina chanzo wala tiba

Na mwandishi wetu, Gazetini MAAMBUKIZI ya virusi vya Ebola yameendelea kuripotiwa huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), kama ilivyo kwa majirani zao, Uganda, huku...

Machafuko Afrika Kusini, Ghana yaondosha raia wake 300

ACCRA, Ghana SERIKALI ya Ghana imepeleka ndege maalumu nchini Afrika Kusini kwa ajili ya kuchukua raia wake 300 wakati huu wa machafuko yanayoendelea. Baadhi ya wananchi...

Kesi ya Duterte kuanza kusikilizwa Novemba 30

NEW YORK, Marekani MAHAKAMA ya Uhalifu ya Kimataifa (ICC) imetangaza Novemba 30, 2026, kuwa ndiyo siku ya kuanza kusikilizwa kwa kesi ya Rais wa zamani...

Mwanasheria aliyemuua bosi wake anyongwa

BEIJING, China IKIWA ni miaka miwili imepita tangu alipohukumiwa baada ya kukutwa na hatia ya kumuua bosi wake, mwanasheria Xu Yao amenyongwa leo Mei 28,...

Nchi 10 hatarini kuathiriwa na ebola wakati mlipuko ukizidi DRC na Uganda

KINSHASA, DRC WAKATI Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) na Uganda zikiendelea kuripoti ongezeko la visa vya maambukizi ya Ebola, nchi 10 za Afrika zimetakiwa...

Israel yatangaza kumuua kamanda wa Hamas

JERUSALEM, Palestina JESHI la Israel limetangaza kufanya shambulizi katika Ukanda wa Gaza na kumuua kiongozi wa wapiganaji wa Kundi linalohusishwa na ugaidi la Hamas. Taarifa ya...

Ni kweli Iran inafadhili ugaidi au ni propaganda za Marekani?

TEHRAN, Iran MAREKANI inaitaja Iran kama mfadhili wa vikundi vyote vya kigaidi vilivyopo Mashariki ya Kati. Kwamba tangu ilipofanya mapinduzi mwaka 1979, imekuwa chanzo cha...

Usiyoyajua kuhusu ugonjwa wa mkwe wa Rais Trump

WASHINGTON DC, Marekani ALIYEWAHI kuwa mke wa mtoto wa Rais Donald Trump aitwaye Donald Trump Jr, Vanessa, amegundulika kuwa na ugonjwa wa saratani ya matiti. Vanessa...

Vita vya Iran vinavyochochea uharamia wa meli Somalia

MOGADISHU, Somalia MAHARAMIA wanaoteka meli nchini Somalia wameripotiwa kunufaika na mgogoro unaoendelea Mashariki ya Kati ukizihusisha Marekani na Israel kwa upande mmoja na na Iran...

Nani kumrithi Guterres kiti cha Katibu Mkuu UN?

Na mwandishi wetu, Gazetini KATIBU Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), Antonio Guterres, atamaliza muda wake Desemba, 2026, na tayari mbio za kusaka mrithi wake...

Kiti cha Katibu Mkuu UN: Nani alifaulu, nani alifeli?

NEW YORK, Marekani KATIBU Mkuu ndiyo cheo cha ngazi ya juu zaidi ndani ya Umoja wa Mataifa (UN) na kwa sasa kinashikiliwa na Waziri Mkuu...

Recent articles