Ads: info@gazetini.co.tz |
23.4 C
Dar es Salaam

KIMATAIFA

Afrika Kusini ilivyogeuka ya moto kwa wageni

PRETORIA, Afrika Kusini AFRIKA Kusini ina wahamiaji zaidi ya milioni tatu, sawa na asilimia 5 ya watu wote nchini humo, wengi wakitokea nchi za Kusini,...

Mazito yafichuka ‘urafiki’ wa M23, Rwanda

NAIROBI, Kenya RWANDA inashirikiana kwa karibu na wapiganaji wa M23 kuteka raia, hasa vijana na watoto, na kuwaingiza katika kundi hilo linalopigana na wanajeshi wa...

Hofu iliyobaki baada ya Marekani, Iran kumaliza vita

WASHINGTON DC, Marekani RAIS wa Marekani, Donald Trump, ameitangazia dunia kumalizika kwa vita vyao na Iran vilivyodumu kwa siku zaidi ya 100 huko Mashariki ya...

Nchi zinazoongoza matumizi makubwa ya umeme duniani

Na mwandishi wetu, Gazetini CHINA ndiyo nchi inayoongoza kwa matumizi ya kiwango kikubwa cha umeme duniani, ikifuatiwa na Marekani, India na Urusi, kwa mujibu wa...

Iran: Trump anajidanganya, vita bado mbichi

TEHRAN, Iran BAADA ya Rais wa Marekani, Donald Trump, kudai kuwa mazungumzo ya kumaliza vita yao na Iran yako kwenye hatua za mwisho, uongozi wa...

Utafiti wabaini mataifa ya Ulaya kuitenga Marekani

WASHINGTON DC Marekani UTAFITI mpya umonesha kuwa ushawishi wa Marekani kwa mataifa ya Ulaya imeporomoka kwa kiasi kikubwa tangu Rais Donald Trump aliporejea madarakani mwaka...

Uadui unaozaliwa katikati ya urafiki wa Marekani, Israel

WASHINGTON DC, Marekani VYOMBO vya habari vya Marekani vimeripoti taarifa inayoashiria kuwapo kwa hali ya kutokuamiana kati ya Taifa hilo na Israel, ambao ni washirika...

Siku 100 tangu vita vya Marekani, Iran vilipoanza

WASHINGTON DC, Marekani JUNI 7, 2026) zilitimia siku 100 tangu Marekani kwa kushirikiana na Israel zilipoanzisha mashambulizi dhidi ya Iran, vita vilivyosababisa kupanda kwa bei...

Nini nyuma ya pazia ziara ya Xi Jinping nchini Korea Kaskazini?

PYONGYANG, Korea ya Kaskazini RAIS wa China, Xi Jinping, yuko Korea ya Kaskazini kwa ziara ya siku mbili, Juni 8-9, 2026, ikilenga kutanua mahusiano mazuri...

Watatu wakamatwa mauaji ya mwanamuziki

LONDON, Uingereza POLISI nchini Uingereza wamewakamata watu watatu wanaohusishwa na tukio la kuuawa kwa staa wa muziki mwenye asili ya Nigeria, Mark Orabiyi. Orabiyi aliyeuawa akiwa...

Wananchi wa Iran walia vita kupaisha bei ya vyakula

TEHRAN, Iran KUPANDA kwa gharama za maisha ni moja ya changamoto kubwa wanazopitia raia wa Iran kipindi hiki nchi yao ikiwa kwenye vita dhidi ya...

Rais mstaafu Colombia amjia juu Trump

BOGOTA, Colombia RAIS aliyemaliza muda wake nchini Colombia, Gustavo Petro, amemnyooshea kidole Donald Trump wa Marekani kwa hatua yake ya kumuunga mkono mgombea wa urais Abelardo...

Recent articles