PRETORIA, Afrika Kusini
AFRIKA Kusini ina wahamiaji zaidi ya milioni tatu, sawa na asilimia 5 ya watu wote nchini humo, wengi wakitokea nchi za Kusini,...
NAIROBI, Kenya
RWANDA inashirikiana kwa karibu na wapiganaji wa M23 kuteka raia, hasa vijana na watoto, na kuwaingiza katika kundi hilo linalopigana na wanajeshi wa...
WASHINGTON DC, Marekani
RAIS wa Marekani, Donald Trump, ameitangazia dunia kumalizika kwa vita vyao na Iran vilivyodumu kwa siku zaidi ya 100 huko Mashariki ya...
Na mwandishi wetu, Gazetini
CHINA ndiyo nchi inayoongoza kwa matumizi ya kiwango kikubwa cha umeme duniani, ikifuatiwa na Marekani, India na Urusi, kwa mujibu wa...
WASHINGTON DC Marekani
UTAFITI mpya umonesha kuwa ushawishi wa Marekani kwa mataifa ya Ulaya imeporomoka kwa kiasi kikubwa tangu Rais Donald Trump aliporejea madarakani mwaka...
WASHINGTON DC, Marekani
VYOMBO vya habari vya Marekani vimeripoti taarifa inayoashiria kuwapo kwa hali ya kutokuamiana kati ya Taifa hilo na Israel, ambao ni washirika...
WASHINGTON DC, Marekani
JUNI 7, 2026) zilitimia siku 100 tangu Marekani kwa kushirikiana na Israel zilipoanzisha mashambulizi dhidi ya Iran, vita vilivyosababisa kupanda kwa bei...
PYONGYANG, Korea ya Kaskazini
RAIS wa China, Xi Jinping, yuko Korea ya Kaskazini kwa ziara ya siku mbili, Juni 8-9, 2026, ikilenga kutanua mahusiano mazuri...
LONDON, Uingereza
POLISI nchini Uingereza wamewakamata watu watatu wanaohusishwa na tukio la kuuawa kwa staa wa muziki mwenye asili ya Nigeria, Mark Orabiyi.
Orabiyi aliyeuawa akiwa...
BOGOTA, Colombia
RAIS aliyemaliza muda wake nchini Colombia, Gustavo Petro, amemnyooshea kidole Donald Trump wa Marekani kwa hatua yake ya kumuunga mkono mgombea wa urais Abelardo...