LONDON, Uingereza
STRAIKA wa Chelsea, Peter Crouch, ameitabiri ushindi timu hiyo katika mchezo wao wa wikiendi hii dhidi ya Washika Bunduki wa London, Arsenal.
Timu hizo...
LONDON, Uingereza
JUMAPILI ya wiki hii, Septemba 5, 2026, Arsenal watakuwa katika Uwanja wao wa Emirates kumenyana na Chelsea kwenye 'derby' ya Jiji la London.
Ifahamike...
MANCHESTER, Uingereza
KLABU ya Manchester City imethibitisha jezi namba 17 kuwa itavaliwa na nyota wao mpya kutoka Chelsea, Enzo Fernandes.
Jezi namba 17 katika klabu ya...
LONDON, Uingereza
NAHODHA wa zamani wa Manchester United, Rio Ferdinand, amesema usajili bora wa kipindi hiki cha kiangazi ni ule wa winga mpya wa Arsenal,...
JERUSALEM, Palestina
WATU zaidi ya 900, wakiwamo watoto 301, wameuawa katika Ukanda wa Gaza na idadi hiyo ni kwa mwaka 2026 pekee.
Takwimu hizo zimetolewa na...
MANCHESTER, Uingereza
STRAIKA Chido Obi ameondoka rasmi katika klabu ya Manchester United na kujiunga na Willem II ya Uholanzi kwa mkataba wa mkopo wa msimu...
LOS ANGELES, Marekani
STAA wa mchezo wa gofu nchini Marekani, Tiger Woods, amefungiwa miaka mitano kuendesha gari baada ya ajali aliyopata Machi, 2026.
Adhabu hiyo imekuja...
Na mwandishi wetu, Gazetini
KATIKA sehemu ya tatu ya makala haya, tuliona kilichotokea Aprili 8, 1994, ambapo Spika wa Bunge, Theodore Sindikubwabo, alitangazwa kuwa Rais...
MOSCOW, Urusi
WAZIRI Mkuu wa India, Narendra Modi, amemshauri mshirika wake mkubwa, Vladimir Putin, kumaliza vita vinavyoendelea kati ya nchi yake ya Urusi na majirani...
LOS ANGELES, Marekani
UTATA uliodumu wa miaka 30 umepatiwa ufumbuzi hivi karibuni baada ya Duane Davis, maarufu kwa jina la Keffe D, kukutwa na hatia...
YOUNDE, Cameroon
CAMEROON inatajwa kuwa moja ya nchi zinazotoa vijana wengi walioko vitani kulisaidia jeshi la Urusi dhidi ya Ukraine. Mbaya zaidi, vijana hao hawaendi...