MIAMI, Marekani
KOCHA wa timu ya soka ya Taifa ya Ubelgiji, Rudi Garcia, amesema nahodha wake, Youri Tielemans, ndiye mchezaji aliyekuwa na mchango mkubwa katika...
TORONTO, Canada
MKONGWE wa soka la Liberia, George Weah, ambaye ni Mwafrika pekee kuwahi kubeba Ballon d'Or, amesema Kylian Mbappe ni bora kuliko Lamine Yamal.
Weah...
WASHINGTON DC, Marekani
JULAI 4, 2026, Marekani itasherehekea miaka 250 tangu ilipopata uhuru wake mwaka 1776 kutoka kwa Uingereza.
Hata hivyo, 'birthday' inakuja wakati Taifa hilo...
LOS ANGELES, Marekani
GUMZO kubwa katika tasnia ya burudani nchini Marekani ni ndoa ya bibiye Taylor Swift na mpenzi wake, Travis Kelce, huku mashabiki wa...
Na Mwandishi wetu, Gazetini
MKUU wa Mkoa wa Katavi, Mwanamvua Mrindoko, ametoa siku 90 kwa vikundi vyote vilivyonufaika na mikopo ya asilimia 10 kutoka halmashauri...
Na mwandishi wetu, Gazetini
MSIMU wa 2025/26 ulifikia tamati Juni 30, 2026, na habari kubwa ni Yanga kutwaa taji kwa mara ya tano mfululizo.
Kwa ufupi,...
WASHINGTON DC, Marekani
MAHAKAMA Kuu ya Marekani imezuia jaribio la Rais Donald Trump aliyetaka kufuta uraia wa kuzaliwa, ambao umekuwa ukitambulika katika sheria za nchi...
DAKAR, Senegal
MAPEMA wiki hii, Bunge la Senegal lilipitisha mabadiliko ya Katiba yaliyozua utata, yakimuondoshea madaraka makubwa aliyonayo Rais.
Hatua hiyo iliibua mgogoro mkubwa, hata polisi...
CARACAS, Venezuela
MTOTO wa kiume mwenye umri wa miaka mitatu ni miongoni mwa waliookolewa katika operesheni inayoendelea baada ya tetemeko la ardhi lililoikumba Venezuela.
Taarifa za...
LAGOS, Nigeria
WANAFUNZI 36, pamoja na mfanyakazi wa shule, bao hawajaachiwa na kikundi cha waasi, kwa mujibu wa Polisi nchini Nigeria.
Mapema wiki hii, waasi hao...