Ads: info@gazetini.co.tz |
22.9 C
Dar es Salaam

Featured

Ronaldinho arudi uwanjani, asajiliwa Daraja la Tatu

MILAN, Italia IKIWA ni miaka 11 imepita tangu alipotangaza kustaafu, kiungo wa zamani wa Barcelona, Ronaldinho, amerejea dimbani. Ronaldinho (46), amesajiliwa na klabu ya Ravenna inayoshiriki...

Mke wa Waziri Mkuu azuiwa kusafiri nje ya nchi

MADRID, Hispania BEGONA Gomez ambaye ni mke wa Waziri Mkuu wa Hispania, Pedro Sanchez, amewekewa zuio la kusafiri nje ya nchi wakati huu akikabiliwa na...

Japan, Tunisia kufikisha mechi ya 1,000

MEXICO CITY, Mexico JAPAN na Tunisia zitavaana Jumapili ya Julai 21, 2026 katika mchezo wa Kundi F msimu huu wa fainali za Kombe la Dunia. Upekee...

Prodyuza wa Grammy akutwa amefariki

LOS ANGELES, Marekani PRODYUZA aliyewahi kuwania tuzo za Grammy, Tay Keith, ameripotiwa kufariki akiwa na umri wa miaka 29. Tay mkazi wa Nashville alijijengea jina kubwa...

Kamanda wa polisi Mkoa wa Tabora afariki dunia

Na mwandishi wetu, Gazetini KAMANDA wa Polisi Mkoa wa Tabora, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Richard Abwao, amefariki dunia leo Juni 20, 2026 akiwa...

Nyuma ya Cristiano Ronaldo kuna mrembo Katia Aveiro

CALIFORNIA, Marekani BAADA ya timu ya soka ya Taifa ya Ureno kulazimishwa sare ya bao 1-1 na DRC, lawama zote zilielekezwa kwa nahodha wa kikosi,...

Ibenge aficha silaha za kuibana Yanga

Na mwandishi wetu, Gazetini KOCHA wa Azam FC, Florent Ibenge, amegoma kuanika mbinu za kiufundi atakazozitumia katika mchezo wao dhidi ya Yanga. Timu hizo zitakutana kesho...

Kocha Yanga: Kwa Azam tunataka fainali tu

Na mwandishi wetu, Gazetini MKUU wa benchi la ufundi la Yanga, Abdihamid Moallin, amesema kufika fainali ya FA ni moja ya mipango yao, licha ya...

RFB: Tozo za mafuta ndizo mhimili wa matengenezo ya barabara nchini

Na mwandishi wetu, Gazetini MFUKO wa Barabara (RFB) umesema tozo zinazotozwa kwenye mafuta ya petroli na dizeli ndizo chanzo kikuu cha fedha zinazowezesha matengenezo ya...

Tanesco yafungua njia magari ya umeme Tanzania

Na mwandishi wetu, Gazetini MKURUGENZI Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), Lazaro Twange, amewaondoa hofu wananchi kuhusu matumizi ya nishati ya umeme katika vyombo...

Geita Gold ilivyovunja rekodi ikitinga tena Ligi Kuu Bara

Na Hassan Mwasha, Gazetini GEITA Gold haijatinga Ligi Kuu Bara kinyonge, na badala yake imetwaa ubingwa wa Ligi Daraja la Kwanza Bara (Championship) ikiwa na...

Haiti yatangulia kung’oka Kombe la Dunia 2026

NEW YORK, Marekani TIMU ya soka ya Taifa ya Haiti imekuwa ya kwanza kuaga msimu huu wa fainali za Kombe la Dunia zinazofanyika Marekani, Mexico...

Recent articles