Ads: info@gazetini.co.tz |
20.9 C
Dar es Salaam

Featured

Bangi yamzimisha mbwa, azinduka siku ya pili

LONDON, Uingereza TIMU ya waokoaji wa Mlima Ben Nevis imelazimika kumuokoa mbwa aliyepoteza fahamu baada ya kutumia kilevi aina ya bangi. Tukio hilo lilitokea wikiendi iliyopita,...

Japan silaha ya Urusi dhidi ya Ukraine?

NEW YORK, Marekani URUSI imekuwa ikiitegemea Japan katika teknolojia na udukuzi wakati huu wa vita vyake na Ukraine, kwa mujibu wa ripoti ya Gazeti la...

Majanga ya moto tishio maeneo ya starehe

BANGKOK, Thailand TUKIO la baa kuwaka moto na kuua watu 27, sambamba na kujeruhi wengine kadhaa, mjini Bangkok, Thailand, limeteka vichwa vya habari duniani. Wakati huo...

Ufaransa v Hispania: Nusu fainali ya heshima Kombe la Dunia 2026

TEXAS, Marekani TIMU ya soka ya Taifa ya Ufaransa itamenyana na Hispania katika mchezo wa nusu fainali ya msimu huu wa Kombe la Dunia. Mechi...

Isabel wa Haaland naye siyo kinyonge

LONDON, Uingereza NJE ya soka, Erling Haaland ni baba wa mtoto mmoja wa kiume aliyezaliwa Desemba, 2024. Pia, mwanasoka huyo ni mpenzi wa mrembo Isabel...

Vigogo walioangukia pua Kombe la Dunia 2026

BOSTON, Marekani NI timu nne pekee zilizobaki katika fainali za Kombe la Dunia za mwaka huu (2026). Kwamba timu 44 zimeshaaga mashindano hayo ya Shirikisho...

Kizazi cha dhahabu kilivyoifelisha Ubelgiji Kombe la Dunia

BOSTON, Marekani KICHAPO cha mabao 2-1 kutoka kwa Hispania katika mchezo wa robo fainali ya Kombe la Dunia kilihitimisha safari ya 'kizazi cha dhahabu' cha...

Argentina v England: Nusu fainali ya chuki, kisasi

LONDON, Uingereza NANI kutinga fainali ya msimu huu wa Kombe la Dunia katika mchezo huo wa Julai 15, 2026? Ni Argentina ya Lionel Messi au...

Ufaransa inazuilika kutwaa ubingwa?

PARIS, Ufaransa BAADA ya ubingwa wa mwaka 2018, safari hii timu ya soka ya Taifa ya Ufaransa ipo tena kwenye nafasi ya kutwaa taji hilo...

Wachambuzi wanasemaje kuhusu Hormuz?

TEHRAN, Iran MASHAMBULIZI yanayoendelea kati ya Marekani na Iran yameripotiwa kupunguza kwa asilimia 50 idadi ya meli za mafuta na gesi zinazopita katika Mlango-Bahari wa...

Huyu Mbappe ni moto mwingine kabisa

BOSTON, Marekani MSIMU huu wa fainali za Kombe la Dunia umekuwa wa mafanikio makubwa kwa mshambuliaji wa timu ya soka ya Taifa ya Ufaransa, Kylian...

Chelsea kuibomoa Madrid, kuchukua beki

LONDON, Uingereza KOCHA mpya wa Chelsea, Xabi Alonso, ameitaka klabu hiyo kumsajili beki wa klabu yake ya zamani ya Real Madrid, Alvaro Carreras. Alonso anataka mlinzi...

Recent articles