LONDON, EnglandUMAKINI unahitajika. Utafiti umeonesha kuwa kucha bandia ni chanzo kikubwa cha ugonjwa wa pumu, licha ya wanawake wengi, hasa wa maeneo ya mjini,...
LONDON, EnglandMATUKIO ya utoaji wa mimba yameripotiwa kuongezeka kwa kasi nchini Uingereza, huku kupanda kwa gharama za maisha kukitajwa kuwa moja ya sababu.Utoaji wa...
Na Ramadhan Hassan, Dodoma
Mkoa wa Kagera umeandika historia mpya ya maendeleo kwa kipindi cha Novemba 2020 hadi Aprili 2025, kwa kutekeleza miradi mbalimbali ya...
PARIS, UfaransaSHERIA mpya nchini Ufaransa inapiga marufuku uvutaji wa sigara katika maeneo ya fukwe, shule na maegesho ya magari.
Kwa mujibu wa sheria, atakayekiuka, basi...
Na Mwandishi Wetu
Serikali imesema inaendelea na dhamira yake ya ushirikiano katika masuala ya afya ulimwenguni, huku ikifanya uwekezaji mkubwa wa miundombinu, utoaji wa huduma,...
Na Mwandishi Wetu
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais – TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa amewataka wakuu wa mikoa na wilaya nchini kuwaongoza wananchi katika maeneo yao...
Na Mwandishi Wetu
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi amewakaribisha wawekezaji kutoka China kuwekeza nchini hususan kuendeleza sekta...
Na Mwandishi Wetu
Waziri wa Afya Jenista Mhagama, amezindua Bodi ya Wadhamini ya Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) na kuitaka bodi...
Na Mwandishi Wetu
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Philip Mpango ametoa rai kwa wafamasia nchini kuendelea kulipa kipaumbele suala la...
Na Mwandishi Wetu
Mkurugenzi wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili na Mshauri wa Rais Samia Suluhu Hassan katika masuala ya afya, Profesa Mohammed Janabi, ameshinda...
Na Ramadhan Hassan, Gazetini-Dodoma
Waziri wa Viwanda na Biashara, Dk. Selemani Jafo, amelitaka Shirika la Viwango Tanzania (TBS) kushirikiana na taasisi nyingine kutoa elimu kwa...
Na Mwandishi Wetu
Serikali ya Marekani kupitia Kituo cha Kudhibiti Maradhi (CDC), imetangaza kutoa msaada wa karibu dola milioni moja kwa ajili ya kuimarisha ufuatiliaji...