Ads: info@gazetini.co.tz |
22.5 C
Dar es Salaam

Siasa

Mahakama yagoma kufuta Uchaguzi Cameroon, rais kutangazwa Jumatatu

YOUNDE, CameroonMAHAKAMA Kuu nchini Cameroon imesisitiza kuwa haina mpango wa kufuta Uchaguzi Mkuu, na badala yake itatangaza matokeo ifikapo Jumatatu ya wiki ijayo.Kwa sasa,...

Gereza analoishi Rais wa Ufaransa

Na mwandishi wetu, GazeniBAADA ya kukutwa na hatia katika mashitaka ya rushwa, Rais wa zamni wa Ufaransa, Nicolas Sarkozy, alihukumiwa kifungo cha miaka mitano...

Umoja wa Afrika na presha ya mapinduzi ya kijeshi

Na mwandishi wetu, GazetiniMBALI ya kulaani tukio la jeshi kupindua Serikali, Umoja wa Afrika (AU) umesitisha kwa muda uanachama wa Madagascar, huku hatua hiyo...

Nauza kura yangu, nani atafika bei Oktoba 29?

Na Hassan Mwasha, GazetiniKAMPENI zimeshika kasi. Ni siku chache tu zimebaki kuelekea Oktoba 29, siku ambayo Watanzania watatumia haki yao ya Kikatiba kupiga kura...

Trump asitisha misaada Colombia

WASHINGTON DC, MarekaniSERIKALI ya Marekani chini ya Rais Donald Trump imetangaza kusitisha misaada yake kwa Colombia, ikidai Taifa hilo halina nia ya kutokomeza uzalishaji...

Waziri Mkuu Bangladesh kuhukumiwa kifo?

DHAKA, BangladeshWAENDESHA mashitaka wa Bangladesh wameomba Waziri Mkuu wa zamani wa nchi hiyo, Sheikh Hasina, kuhukumiwa kifo kutokana na machafuko yaliyomtoa madarakani mwaka jana.Hasina...

Andry Rajoelina; ‘DJ’ aliyekimbia Ikulu Madagascar akihofia kuuawa

Na mwandishi wetu, GazetiniKWA sasa, Madagascar iko chini ya jeshi lililounda Serikali baada ya kumng'oa aliyekuwa Rais wa Taifa hilo, Andry Rajoelina. Taarifa ya...

Raila Odinga; Mtoto wa Makamu wa Rais aliyeacha alama siasa za upinzani Kenya

Na mwandishi wetu, GazetiniSIASA za Afrika Mashariki zimegubikwa na simanzi nzito baada ya kifo cha aliyekuwa Waziri Mkuu wa Kenya, Raila Amolo Odinga. Mwanasiasa...

Kiongozi wa upinzani Odinga afariki

NAIROBI, KenyaTAARIFA kutoka India alikokuwa akiendelea na matibabu zimeeleza kuwa kiongozi wa upinzani nchini Kenya, Raila Odinga, ameiaga dunia.Odinga (80), amefariki kwa shambulio la...

Jeshi laingia Ikulu Madagascar, lavunja Tume ya Uchaguzi

ANTANANARIVO, MadagascarJESHI nchini Madagascar limethibitisha kuingia Ikulu na kuchukua rasmi majukumu ya kuunda Serikali ili kuiongoza nchi hiyo.Ikumbukwe, taarifa hiyo inakuja baada ya Rais...

Upinzani wajitangazia ushindi Uchaguzi Mkuu Cameroon

GAROUA, CameroonMGOMBEA wa urais kupitia upinzani, Issa Tchiroma, amejitangaza kuwa mshindi wa Uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 12, mwaka huu.Hata hivyo, wakati Tchiroma akichukua hatua...

Rais Madagascar aikimbia Ikulu akihofia jeshi kumuua

ANTANANARIVO, MadagascarRAIS wa Madagascar, Andry Rajoelina, ameibuka na kusema yuko sehemu salama zaidi na si Ikulu ili kunusuru maisha yake baada ya kushitukia mpango...

Recent articles