Na mwandishi wetu, GazetiniKUNDI la waasi la Houthis limeendelea kuwateka wafanyakazi wa Umoja wa Mataifa (UN) wanaoingia nchini Yemen humo kwa ajili ya kuwasaidia...
Na mwandishi wetu, GazetiniRAIS wa Marekani, Donald Trump, anajaribu kuingia kwenye historia ya kumaliza mgogoro unaoendelea kati ya Urusi na Ukraine.Tujikumbushe; kiongozi huyo alikuwa...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
HAKAMATIKI-ndio msamiati unaoibuka kuelezea upekee wa kishindo cha mikutano ya kampeni za mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Samia...
JAKARTA, IndonesiaRAIS wa Indonesia, Prabowo Subianto, ameyaita kuwa ni uhaini na ugaidi maandamano ya raia yanayoendelea nchini humo.Indonesia, Taifa la Kusini-Mashariki mwa Asia, inakabiliwa...
JERUSALEM, PalestinaSHAMBULIZI la anga lililofanywa na Israel katika Ukanda wa Gaza limemuua Msemaji wa Kundi la Hamas, Abu Obeida.Taarifa ya kifo chake inakuja baada...
KYIV, UkraineALIYEWAHI kuwa Mbunge nchini Ukraine, Andriy Parubiy, amefariki leo baada ya kupigwa risasi mjini Lviv, Ukraine.Chanzo cha taarifa hiyo kimeeleza kuwa Parubiy alishambuliwa...
WASHINGTON, MarekaniRAIS wa Palestina, Mahmoud Abbas, amepigwa marufuku kuingia Marekani, hivyo atakosa nafasi ya kuhudhuria Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN unaotarajiwa kufanyika...
KYIV, UkraineSHAMBULIZI la asubuhi ya leo lililofanywa na Urusi nchini Ukraine mjini Kyiv limesababisha vifo vya watu watatu, akiwamo mtoto.Aliyethibitisha kutokea kwa shambulio hilo...
LOS ANGELES, MarekaniWAZIRI Mkuu wa zamani wa Uingereza, Tony Blair, amekutana na Rais wa Marekani, Donald Trump, ajenga ikiwa ni namna ya kumaliza mgogoro...
PARIS, UfaransaMLINDA mlango wa PSG na timu ya taifa ya Italia, Gianluigi Donnarumma, amekubaliana masilahi binafsi na klabu ya Manchester City.Donnarumma mwenye umri wa...
KYIV, UkraineRAIS wa Ukraine, Volodymyr Zelensky, amesema wataendeleza vita na Urusi hadi pale majirani zao hao watakapoacha kuwakandamiza.Kauli ya Zelensky imekuja baada ya Urusi...
Na mwandishi wetu, GazetiniSERIKALI ya Afrika Kusini imekanusha kile kilichoelezwa na ripoti ya hivi karibuni ya Marekani, ikidai kuwapo kwa ukiukwaji mkubwa wa haki...