Ads: info@gazetini.co.tz |
22.5 C
Dar es Salaam

Siasa

Rais Mwinyi azindua Baraza la Wawakilishi, ataja mwelekeo wa Serikali yake

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amezindua rasmi Baraza la 11 la Wawakilishi Zanzibar,...

Rais Samia ateua wabunge sita

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Rais Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi wa wabunge sita katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Taarifa ya uteuzi wa wabunge...

Binti wa Jacob Zuma na mashitaka ya ugaidi Afrika Kusini

Na mwandishi wetu, GazetiniSIASA za Afrika Kusini zimefungua ukurasa mpya baada ya binti wa Rais wa zamani wa Taifa hilo, Jacob Zuma, kushitakiwa kwa...

Rais Syria aondoshewa vikwazo Umoja wa Mataifa

NEW YORK, MarekaniBARAZA la Usalama la Umoja wa Mataifa limemuondoshea vikwazo Rais wa Syria, Ahmed al-Sharaa.Hatua ya kuondoshwa vikwazo inakuja wakati huu Rais huyo...

Nini chanzo idadi ndogo ya wapiga kura?

Na mwandishi wetu, GazetiniLICHA ya Rais Alassane Ouattara kushinda na kurejea madarakani kwa muhula wa nne, idadi ndogo ya wananchi waliojitokeza kupiga kura katika...

Ouattara arejea madarakani Ivory Coast

YAMOUSSOUKRO, Ivory CoastHATIMAYE Alassane Ouattara amechaguliwa tena kuwa Rais wa Ivory Coast, ukiwa ni muhula wake wa nne madarakani.Ouattara mwenye umri wa miaka 83,...

Rais ‘mzee’ zaidi duniani ashinda tena Uchaguzi Cameroon

YAOUNDE, CameroonAKIWA na umri wa miaka 92, Paul Biya ametangazwa kuwa mshindi wa kiti cha urais katika Uchaguzi Mkuu wa Cameroon uliofanyika hivi karibuni.Biya...

Waasi Sudan watangaza kuteka mji

DARFUR, SudanWAPIGANAJI wa kikundi cha waasi cha Rapid Support Forces (RSF) wametangaza kuuteka Mji wa el-Fasher ulioko Magharibi mwa Sudan.Kwa miezi takribani 18, wapiganaji...

Uchaguzi Mkuu Ivory Coast na hofu ya machafuko

Na mwandishi wetu, GazetiniTAIFA kongwe la Afrika Magharibi, Ivory Coast, limeingia katika Uchaguzi Mkuu, huku wagombea watano wakiwania kiti cha urais. Miongoni mwao ni...

Usiyoyajua kuhusu ICC; Mahakama ya Uhalifu ya Kimataifa

Na mwandishi wetu, Gazetini MWAKA jana, Ras Donald Trump alitangaza kuiwekea vikwazo Mahakama ya Uhalifu ya Kimataifa (ICC) kwa kile alichodai kuwa Mahakama hiyo imekuwa...

Bei ya fomu ya urais yashitua raia Guinea

CONAKRY, GuineaRAIA wa Guinea wameshangazwa na gharama kubwa ya fomu ya kuwania urais iliyotangazwa kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Desemba, mwaka huu.Gharama ya fomu ya...

Kuelekea Uchaguzi Mkuu Oktoba 29

Na Mwandishi Wetu, Gazetini JUMATANO ya wiki ijayo, Oktoba 29, Watanzania watapiga kura kuchagua rais, wabunge na madiwani. Ni haki ya Kikatiba inayotekelezwa kila baada...

Recent articles