KYIV, UkraineMAENEO mengi ya Mji Mkuu wa Kyiv yamekosa umeme kutokana na mashambulizi yaliyofanywa na Urusi nchini Ukraine.Mamlaka za Kyiv zimeeleza kuwa licha ya...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Mgombea ubunge wa Jimbo la Siha, kupitia Chama cha Wananchi (CUF) mkoani Kilimanjaro, Daudi Ntuyehabi ameuawa na wananchi baada ya kudaiwa...
LIMA, PeruKUTOKANA na sababu mbalimbali, nyingi zikihusiana na vitendo vya rushwa, marais wastaafu nchini Peru wamejikuta wakianza maisha mapya ya gerezani baada ya kutoka...
Na mwandishi wetu, GazetiniHUKUMU ya kifo aliyopewa Rais wa zamani wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Joseph Kabila, imegonga vichwa vya habari za...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Taarifa zinazosambazwa Jumatano, Oktoba 1, 2025 kwenye mitandao ya kijamii zikidai kutokea kwa ajali katika msafara wa mgombea urais wa Jamhuri...
RABAT, MoroccoPOLISI nchini Morocco wanawashikilia vijana zaidi ya 60 katika maandamano yanayoendelea miji mikubwa, ikiwamo Rabat na Casablanca.Maandamano hayo, ambayo asilimia kubwa ya washiriki...
KABUL, AfghanistanHATIMAYE Serikali ya Taliban nchini Afghanistan imetangaza kumwachia huru raia wa Marekani aliyekuwa ameshikiliwa kwa miezi tisa.Januari, mwaka huu, raia wawili wa Marekani...
Na mwandishi wetu, GazetiniHIVI karibuni, Mahakama ya Uhalifu ya Paris, Ufaransa, ilimuhukumu kifungo cha miaka mitano gerezani aliyewahi kuwa Rais wa nchi hiyo, Nicolas...
Na mwandishi wetu, GazetiniTUJIKUMBUSHE; Septemba 14, mwaka huu, Gazeti la Washington Post liliutangazia ulimwengu juu ya mazungumzo kati ya Marekani na Serikali inayoongozwa kijeshi...
Na mwandishi wetu, GazetiniPETER Mutharika, licha ya umri wake mkubwa wa miaka 85 na wakati mwingine afya yake ikizua mijadala, amerejea katika siasa za...
BUENOS AIRES, ArgentinaMAELFU ya raia wa Argentina wameingia mitaani kulaani mauaji ya wasichana watatu.Katika video iliyozua taharuki baada ya kupostiwa mitandaoni, wasichana hao wanaonekana...
NAIROBI, KenyaPOLISI nchini Kenya wamewaokoa vijana wake zaidi ya 20 waliokuwa wakipelekwa Urusi kwa ajili ya kusafirishwa hadi Ukraine.Taarifa ya polisi inasema vijana hao...