Ads: info@gazetini.co.tz |
23.8 C
Dar es Salaam

KIMATAIFA

CAF yaipanga Simba ya tano, Yanga ya 12 viwango vya ubora Afrika

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Klabu ya Simba SC imepanda hadi nafasi ya tano katika viwango vipya vya ubora vya Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF),...

Nani kati ya mastaa hawa kuibeba Ballon d’Or 2025?

LONDON, Uingereza MSIMU uliopita, tuzo maarufu ya Mchezaji Bora wa Mwaka ya jarida la France Football, Ballon d'Or, ilitua mikononi mwa kiungo wa Manchester City...

Kocha Nigeria aweka rekodi Ballon d’Or

LAGOS, NigeriaKOCHA wa timu ya soka ya wanawake ya Nigeria (Super Falcons), Justine Madugu, ameandika historia baada ya kuingia kwenye kinyang'anyiro cha tuzo za...

Zamalek yachukua winga Brazil

CAIRO, MisriVIGOGO wa soka Misri, Zamalek, wamekamilisha usajili wa kiungo wa pembeni wa kimataifa wa Brazil, Juan Alvina.Nyota huyo mwenye umri wa miaka 22,...

Bosi Spurs kumrudisha Kane?

LONDON, England MWENYEKITI wa Tottenham, Daniel Levy, amefichua kuwa mkataba wa Harry Kane una kipengele kinachowaruhusu kumsajili kwa mara nyingine. Kane, nahodha wa timu ya...

Nunez mshahara mpya bil. 68/-

MERSYSIDE, EnglandBAADA ya kumalizana na Al-Hilal, Darwin Nunez atavuna mshahara wa Pauni milioni 20 (takriani Sh bil. 68 za Tanzania) kwa mwaka kutoka kwa...

Pogba na usajili wa kamari Ligue 1

PARIS, UfaransaALIPOFUNGIWA kujihusisha na soka kwa miaka minne baada ya kubainika kutumia dawa za kuongeza nguvu, maswali yalikuwa mengi juu ya hatima ya kiungo...

Thomas Muller; miaka 15 ya mabao, ‘asisti’, rekodi Bayern

MUNICH, UjerumaniJINA la Thomas Muller limetua Ligi Kuu ya Marekani (MLS) baada ya mshambuliaji huyo wa kimataifa wa Ujerumani kujiunga na Vancouver Whitecaps akitokea...

McTominay ndani tuzo za Ballon d’Or

MANCHESTER, EnglandUKIWA ni mwaka mmoja tu umepita tangu alipoondoka Manchester United, Scott McTominay ameingia kwenye kinyang'anyiro cha kuiwania tuzo ya mwaka huu ya Ballon...

United, Spurs zatabiriwa majanga msimu ujao

LONDON, UingerezaKWA mujibu wa mtandao maarufu wa takwimu wa Supercomputer, Manchester United na Tottenham zitamaliza vibaya msimu ujao wa Ligi Kuu ya England (EPL).Si...

Utu au masilahi binafsi? Sababu za Saudia kuipigania Palestina

RIYADH, Saudi ArabiaSERIKALI ya Saudi Arabia iko mstari wa mbele ikiiunga mkono Palestina katika harakati za za kutaka kutambulika kama nchi huru nje ya...

Kwanini viongozi Afrika hukimbilia kutibiwa nje?

LUSAKA, Zambia HIVI karibuni, Afrika iliwapoteza marais wastaafu wawili kutoka mataifa ya Nigeria na Malawi, Muhammadu Buhari na Edgar Lungu, ambao wote walikuwa nje ya...

Recent articles