25.2 C
Dar es Salaam

KIMATAIFA

Partey akwaa kesi ya kubaka

LONDON, EnglandKIUNGO wa Arsenal na timu ya taifa ya Ghana, Thomas Partey, ameshitakiwa kwa kosa la kubaka.Kwa mujibu wa taarifa ya polisi, Partey alifanya...

Tembo aua watalii wawili

LUSAKA, ZambiaWATALII wawili, akiwamo raia wa Uingereza, wamepoteza maisha baada ya kushambuliwa na tembo.Easton Taylor mwenye umri wa miaka 68 na mwenzake raia wa...

Urusi yaiunga mkono Taliban

KYIV, UrusiURUSI limekuwa taifa la kwanza kutangaza kuitambua Serikali ya Taliban inayoiongoza Afghanistan.Haiishii hapo, bali pia Serikali ya Urusi kupitia kwa Wizara ya Mambo...

Iran yataka Israel, Marekani ziadhibiwe

TEHRAN, Iran WAZIRI wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, amelitaka Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuzitambua Israel na Marekani kuwa ni...

Museveni atangaza nia urais

KAMPALA, Uganda RAIS wa Uganda, Yoweri Museveni, ameweka wazi mpango wake wa kugombea nafasi hiyo katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika mapema mwakani. Rais Museveni, ambaye sasa ana...

Rais Trump: Nina wateja wa kuinunua TikTok

WASHINGTON DC, Marekani RAIS wa Marekani, Donald Trump, amesema tayari ana matajiri wake wanaoweza kuununua mtandao wa kijamii wa TikTok, ambao umepigwa marufuku nchini humo...

Wapalestina 81 wafariki, 400 wajeruhiwa

KWA saa 24 zilizopita, mashambulizi ya Israel katika Ukanda wa Gaza yamesababisha vifo vya Wapalestina 81, huku zaidi ya 800 wakijeruhiwa. Asubuhi ya leo (Jumamosi),...

Recent articles

spot_img