28.2 C
Dar es Salaam

KIMATAIFA

Timaya: Sijaacha muziki, nimepumzika

LAGOS, NigeriaSTAA wa muziki wa Afrobeat, Timaya, ameweka wazi kuwa ukimya wake kwenye 'gemu' haumaanishi kuwa amestaafu.Timaya alianza kuchomoza kwenye soko la muziki mwaka...

Durant aondoka Phoenix, atua Houston

LOS ANGELES, MarekaniSTAA wa Ligi Kuu ya Kikapu ya Marekani (NBA), Kevin Durant, amejiunga na Houston Rockets akitokea Phoenix Suns.Durant ameiacha Phoenix baada ya...

Mambo 10 kuhusu Zubimendi wa Arsenal

LONDON, EnglandARSENAL wamekamilisha usajili wa kiungo wa kimataifa wa Hispania, Martin Zubimendi, aliyetua klabuni hapo akitokea Real Sociedad kwa ada ya Pauni milioni 60.Makala...

Bayern: Musiala bado sana kurudi uwanjani

MUNICH, UjerumaniKLABU ya Bayern Munich imethibitisha kuwa mshambuliaji wake, Jamal Musiala, atakuwa nje ya dimba kwa muda mrefu.Musiala alivunjika mguu wikiendi iliyopita, wakati Bayern...

Musk, Trump; nini hatima vita ya fedha, mamlaka?

NA HASSAN DAUDIHATUA ya bilionea wa teknolojia, Elon Musk, kuanzisha Chama cha siasa cha 'America Party' mwishoni mwa wiki hii kimekoleza uhusiano wake mbaya...

Balotelli awindwa Marekani, Mexico

LOS ANGELES, MarekaniKLABU za Ligi Kuu ya Marekani (MLS) na zile za Mexico (Liga MX) zinapigana vikunbo kuiwania saini ya mpachikaji mabao wa zamani...

Trump akiri kushindwa vita Urusi-Ukraine

NEW YORK, MarekaniRAIS wa Marekani, Donald Trump, amekiri kuwa haoni kama atafanikiwa kuimaliza vita inayoendelea kati ya mataifa ya Ulaya Mashariki, Urusi na Ukraine.Hata...

Polisi wavamia mazishi ya Jota

MERSEYSIDE, EnglandPOLISI wamelazimika kuingilia kati na kuzuia kundi la mashabiki waliokuwa wakipiga picha katika kaburi la staa wa Liverpool na timu ya taifa ya...

Chelsea watambulisha ‘jembe’ jipya

Chelsea watambulisha 'jembe' jipyaLONDON, EnglandKLABU ya Chelsea imethibitisha usajili wa winga wa kimataifa wa England, Jamie Gittens.Nyota huyo aliyetokea Bundesliga alikokuwa akiitumikia Borussia Dortmund,...

Watatu upinzani washikiliwa Uturuki

ANKARA, UturukiVIONGOZI watatu wa chama kikuu cha upinzani nchini Uturuki wanashikiliwa na jeshi la polisi.Taarifa zaidi zinawataja waliokamatwa kuwa ni mameya wa majimbo ya...

Mafuriko yaua 24, wengine 25 watafutwa

TEXAS, MarekaniMVUA kubwa iliyosababisha mafuriko imeondosha uhai wa watu 24, huku wengine 25 wakiendelea kutafutwa.Kwa mujibu wa taarifa za mamlaka, wahanga wa majanga hayo...

Arteta awapa wiki mbili mabosi Arsenal

LONDON, EnglandKOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta, amewapa wiki mbili viongozi wa klabu hiyo kuhakikisha wanamnasa straika wa Sporting Lisbon, Viktor Gyokeres.Na endapo wataikosa saini...

Recent articles

spot_img