Ads: info@gazetini.co.tz |
31.4 C
Dar es Salaam

KIMATAIFA

Afrika na safari ya Kombe la Dunia 2026 (2) – Morocco

Na Hassan Mwasha, GazetiniMATAIFA tisa ya Afrika yameshajihakikishia tiketi ya kushiriki fainali zijazo za Kombe la Dunia za mwakani zitakazofanyika Marekani, Canada na Mexico....

Afrika na safari ya Kombe la Dunia 2026 (1) – Tunisia

Na Hassan Mwasha, GazetiniMATAIFA tisa ya Afrika yameshajihakikishia tiketi ya kushiriki fainali zijazo za Kombe la Dunia za mwakani zitakazofanyika Marekani, Canada na Mexico....

Shabiki aliyebadili jina na kujiita ‘Man United’

LONDON, UingerezaMAPENZI yake yasiyo na mfano kwa Manchester United yalianza baada ya klabu hiyo ya Ligi Kuu ya England kutwaa taji la Ligi ya...

Raila Odinga; Mtoto wa Makamu wa Rais aliyeacha alama siasa za upinzani Kenya

Na mwandishi wetu, GazetiniSIASA za Afrika Mashariki zimegubikwa na simanzi nzito baada ya kifo cha aliyekuwa Waziri Mkuu wa Kenya, Raila Amolo Odinga. Mwanasiasa...

Kiongozi wa upinzani Odinga afariki

NAIROBI, KenyaTAARIFA kutoka India alikokuwa akiendelea na matibabu zimeeleza kuwa kiongozi wa upinzani nchini Kenya, Raila Odinga, ameiaga dunia.Odinga (80), amefariki kwa shambulio la...

Qatar yaandika historia Kombe la Dunia

DOHA, QatarHII inakuwa mara ya pili kwa Qatar kushiriki Kombe la Dunia lakini ni mara ya kwanza kukata tiketi kupitia mechi za kufuzu.Ikumbukwe, Qatar...

Ivory Coast, Senegal zafuzu Kombe la Dunia

CAIRO, MisriVIGOGO wa soka la Afrika Magharibi, Ivory Coast na Senegal, zimekata tiketi ya kushiriki fainali zijazo za Kombe la Dunia za mwakani.Senegal 'Simba...

Ronaldo kinara wa mabao kufuzu Kombe la Dunia

LISBON, UrenoBAADA ya kufunga mabao mawili jana, Cristiano Ronaldo amekuwa mchezaji aliyepasia nyavu mara nyingi katika historia ya mechi za kufuzu fainali za Kombe...

Jeshi laingia Ikulu Madagascar, lavunja Tume ya Uchaguzi

ANTANANARIVO, MadagascarJESHI nchini Madagascar limethibitisha kuingia Ikulu na kuchukua rasmi majukumu ya kuunda Serikali ili kuiongoza nchi hiyo.Ikumbukwe, taarifa hiyo inakuja baada ya Rais...

Upinzani wajitangazia ushindi Uchaguzi Mkuu Cameroon

GAROUA, CameroonMGOMBEA wa urais kupitia upinzani, Issa Tchiroma, amejitangaza kuwa mshindi wa Uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 12, mwaka huu.Hata hivyo, wakati Tchiroma akichukua hatua...

Rais Madagascar aikimbia Ikulu akihofia jeshi kumuua

ANTANANARIVO, MadagascarRAIS wa Madagascar, Andry Rajoelina, ameibuka na kusema yuko sehemu salama zaidi na si Ikulu ili kunusuru maisha yake baada ya kushitukia mpango...

Cape Verde yaandika historia kutinga Kombe la Dunia

PRAIA, Cape VerdeKATIKA historia ya soka, Cape Verde limekuwa taifa dogo la pili kukata tiketi ya kushiriki Kombe la Dunia. Ni baada ya ushindi...

Recent articles