31.2 C
Dar es Salaam

KIMATAIFA

Bondia apigwa risasi Urusi

MOSCOW, UrusiSTAA wa mchezo wa ngumi, Timur Khizriev, ameripotiwa kupigwa risasi na watu wasiojulikana.Video iliyosambaa mitandaoni inamuonesha bingwa huyo wa uzito wa feather akivamiwa...

Mbeumo pasua kichwa Man United

MANCHESTER, EnglandMABOSI wa Manchester United wamelazimika kurudi kwa mara ya tatu kwa Brentford wakijaribu kuishawishi kumwachia Bryan Mbeumo.Kwa mujibu wa ripoti mpya, safari hii...

Snoop Dogg ainunua Swansea City

LOS ANGELES, MarekaniSUPASTAA wa muziki wa Hip hop, Snoop Dogg, amenunua hisa katika klabu ya Swansea City.Kwa kufanya hivyo, sasa rapa huyo anakuwa sehemu...

Mtoto wa Ancelotti ‘aula’ Brazil

RIO, BrazilDAVIDE Ancelotti ambaye ni mtoto wa kocha Carlo Ancelotti, amekabidhiwa mikoba ya kuinoa Botafogo ya Ligi Kuu ya Brazil.Davide amekuwa na kikosi hicho...

Neymar aiokoa Santos

RIO, BrazilBAO la dakika za mwisho la Neymar limeiwezesha Santos kuzoa pointi tatu katika mchezo wao dhidi ya Flamengo, ambao ni wa Ligi Kuu...

England, Italia hapatoshi nusu fainali EURO

LONDON, EnglandMICHUANO ya soka la wanawake ya EURO 2025 imefikia patamu na sasa England itakwaana na Italia katika hatua ngumu ya nusu fainali.England ilivuka...

Newcastle: Isak haendi Liverpool

LONDON, EnglandMABOSI wa Newcastle United wameweka mgomo wakisisitiza kuwa mpachikaji mabao wao, Alexander Isak, hauzwi kwa gharama yoyote.Newcastle wamedai kuwa hata kama nyota huyo...

Diddy aanza masomo akiwa gerezani

LOS ANGELES, MarekaniRAPA mwenye jina kubwa, P. Diddy, ameanza kuhudhuria darasa maalumu akiwa anaendelea kusota gerezani kwa tuhuma za udhalilishaji wa kingono.Ripoti zinaeleza kuwa...

Watatu jela kifo cha rapa

GONTHENBURG, SwedenWANAUME watatu wamehukumiwa kifungo cha muda mrefu gerezani baada ya kukutwa na hatia katika kesi ya kumuua kwa kumpiga risasi mwanamuziki wa Hip...

Jesus amfuata Ronaldo, afunguka

RIYADH, Saudi ArabiaKLABU ya Al Nassr ya Ligi Kuu ya Saudi Arabia imemtangaza Jorge Jesus kuwa kocha wake mkuu.Ni miezi isiyozidi mitatu tangu Mreno...

Kocha United apewa mikoba Oman

MUSCAT, OmanALIYEWAHI kuwa kocha msaidizi wa Manchester United wakati ule wa Alex Ferguson, Carlos Queiroz, ametangazwa kuwa mkuu wa benchi la ufundi la timu...

Yamal aingia matatani kisa ‘birthday’

CATALUNYA, HispaniaSTAA wa Barcelona, Lamine Yamal, anachunguzwa kwa kile alichokifanya wakati wa sherehe ya 'birthday' yake ya kutimia umri wa miaka 18.Katika sherehe hiyo...

Recent articles

spot_img