MOSCOW, UrusiSTAA wa mchezo wa ngumi, Timur Khizriev, ameripotiwa kupigwa risasi na watu wasiojulikana.Video iliyosambaa mitandaoni inamuonesha bingwa huyo wa uzito wa feather akivamiwa...
MANCHESTER, EnglandMABOSI wa Manchester United wamelazimika kurudi kwa mara ya tatu kwa Brentford wakijaribu kuishawishi kumwachia Bryan Mbeumo.Kwa mujibu wa ripoti mpya, safari hii...
LOS ANGELES, MarekaniSUPASTAA wa muziki wa Hip hop, Snoop Dogg, amenunua hisa katika klabu ya Swansea City.Kwa kufanya hivyo, sasa rapa huyo anakuwa sehemu...
RIO, BrazilDAVIDE Ancelotti ambaye ni mtoto wa kocha Carlo Ancelotti, amekabidhiwa mikoba ya kuinoa Botafogo ya Ligi Kuu ya Brazil.Davide amekuwa na kikosi hicho...
LONDON, EnglandMICHUANO ya soka la wanawake ya EURO 2025 imefikia patamu na sasa England itakwaana na Italia katika hatua ngumu ya nusu fainali.England ilivuka...
LONDON, EnglandMABOSI wa Newcastle United wameweka mgomo wakisisitiza kuwa mpachikaji mabao wao, Alexander Isak, hauzwi kwa gharama yoyote.Newcastle wamedai kuwa hata kama nyota huyo...
LOS ANGELES, MarekaniRAPA mwenye jina kubwa, P. Diddy, ameanza kuhudhuria darasa maalumu akiwa anaendelea kusota gerezani kwa tuhuma za udhalilishaji wa kingono.Ripoti zinaeleza kuwa...
GONTHENBURG, SwedenWANAUME watatu wamehukumiwa kifungo cha muda mrefu gerezani baada ya kukutwa na hatia katika kesi ya kumuua kwa kumpiga risasi mwanamuziki wa Hip...
RIYADH, Saudi ArabiaKLABU ya Al Nassr ya Ligi Kuu ya Saudi Arabia imemtangaza Jorge Jesus kuwa kocha wake mkuu.Ni miezi isiyozidi mitatu tangu Mreno...
MUSCAT, OmanALIYEWAHI kuwa kocha msaidizi wa Manchester United wakati ule wa Alex Ferguson, Carlos Queiroz, ametangazwa kuwa mkuu wa benchi la ufundi la timu...
CATALUNYA, HispaniaSTAA wa Barcelona, Lamine Yamal, anachunguzwa kwa kile alichokifanya wakati wa sherehe ya 'birthday' yake ya kutimia umri wa miaka 18.Katika sherehe hiyo...