29.5 C
Dar es Salaam

KIMATAIFA

Kuelekea Kombe la Dunia 2026: Haiti (23)

PORT-AU-PRINCE, HaitiKWA mujibu wa viwango vya ubora wa soka duniani, Taifa hilo la Amerika ya Kaskazini linashika nafasi ya 84. Haiti iliwahi kusogea hadi...

Kuelekea Kombe la Dunia 2026: Curacao (22)

WILLEMSTAD, CuracaoVIWANGO vya ubora vya Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) linaionesha Curacao ikiwa nafasi ya 82 duniani. Iliwahi kufika nafasi ya 68 mwaka...

Kuelekea Kombe la Dunia 2026: Morocco (21)

RABAT, MoroccoKWA sasa, Morocco inashika nafasi ya 11 katika viwango vya ubora vya Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA).'Simba wa Atlas' ni mabingwa mara...

Kuelekea Kombe la Dunia 2026: Saudi Arabia (20)

RIYADH, Saudi ArabiaSOKA la Saudi Arabia limejizolea umaarufu mkubwa katika miaka ya hivi karibuni. Taifa hilo linashika nafasi ya 60 kwa ubora duniani.'The Green'...

Kuelekea Kombe la Dunia 2026: Qatar (19)

DOHA, QatarTAIFA hilo la barani Asia linashika nafasi ya 51 katika viwango vya ubora wa soka duniani. Kabla ya kushuka, Qatar walikuwa nafasi ya...

Kuelekea Kombe la Dunia 2026: Jordan (18)

AMMAN, JordanTIMU ya taifa ya Jordan inashika nafasi ya 66 katika viwango vya ubora vya Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA). Ni kutoka nafasi...

Kuelekea Kombe la Dunia 2026: Iran (17)

TEHRAN, IranTIMU ya soka ya taifa ya Iran iko nafasi ya 20 katika viwango vya ubora duniani. Walikuwa ya 15 mwaka 2005.'Team Melli' ni...

Kuelekea Kombe la Dunia 2026: Australia (16)

CANBERRA, AustraliaTIMU ya soka ya taifa ya Australia inashika nafasi ya 26 katika viwango vya ubora duniani. Iliwahi kuwa ya 14 mwaka 2009.'Socceroos' watashiriki...

Kuelekea Kombe la Dunia 2026: Tunisia (15)

TUNIS, TunisiaWAKONGWE wa Afrika ya Kaskazini, ambao wanashika nafasi ya 40 katika viwango vya soka duniani. Walikuwa nafasi ya 14 miaka saba iliyopita.Tunisia 'Eagles...

Kuelekea Kombe la Dunia: Ecuador (14)

QUITO, EcuadorINASHIKA nafasi ya 23 katika viwango vya ubora vya Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA). Mwaka 2013, Taifa hilo lilisogea hadi nafasi ya...

Kuelekea Kombe la Dunia 2026: Senegal (13)

DAKAR, SenegalIKIWA nafasi ya 19 katika viwango vya ubora vya Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA), Senegal iliwahi kuwa ya 17 mwaka jana.Senegal ni...

Kuelekea Kombe la Dunia 2026: Afrika Kusini (12)

PRETORIA, Afrika KusiniKWA sasa, Afrika Kusini iko nafasi ya 61 katika viwango vya ubora wa soka vya Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA). Iliwahi...

Recent articles

spot_img