27.2 C
Dar es Salaam

Featured

Visual| Utajiri wa mafuta Venezuela: Hadithi ya ahadi na uhalisia

Na mwandishi wetu, Gazetini VENEZUELA inaendelea kushika nafasi ya kwanza duniani kwa utajiri wa akiba ya rasilimali ya mafuta, licha ya changamoto kubwa za kiuchumi...

Japan kuvunja bunge, kusimamisha kodi ya chakula kwa miaka miwili

TOKYO, Japan WAZIRI Mkuu wa Japan, Sanae Takaichi, Jumatatu ametangaza kuitisha uchaguzi mkuu wa ghafla, akiahidi kusimamisha kwa miaka miwili ushuru wa matumizi wa asilimia...

Makonda akabidhi barua ya Rais Samia CAF

Na mwandishi wetu, Gazetini WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Christian Makonda amekutana na Rais wa Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF) Dk....

Senegal mabingwa wa AFCON baada ya fainali tata dhidi ya Morocco

RABAT, Morocco TIMU ya taifa ya Senegal imetwaa ubingwa wa Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) baada ya kuifunga Morocco bao 1-0 katika fainali ya...

Visual| Mabilionea 10 walioishika Dunia

Na mwandishi wetu, Gazetini KWA mujibu wa Jarida maarufu la Forbes, mfanyabiashara wa Marekani, Elon Musk, ndiye binadamu mwenye fedha nyingi zaidi duniani. Utajiri wake...

Man United yamkomalia Baleba

MANCHESTER, Uingereza KLABU ya Manchester United imeendelea kukazia harakati zake za kumsajili kiungo wa Brighton na timu ya taifa ya Cameroon, Carlos Baleba. Man United ilijaribu...

Chelsea, City zagombea kinda Barcelona

LONDON, Uingereza CHELSEA imeungana na Manchester City na Borussia Dortmund zinazoiwania saini ya mshambuliaji chipukizi wa Barcelona, Dro Fernandez. Fernandez (18), anataka kuondoka Barcelona na hatua...

Maresca aibukia Real Madrid

MADRID, Hispania IMERIPOTIWA kuwa mabosi wa Real Madrid wameanza kumfikiria kocha aliyetimuliwa Chelsea hivi karibuni, Enzo Maresca. Wakati huo huo, Rais wa Madrid, Florentino Perez, ametajwa...

Arsenal macho kwa ‘Pedri wa Serbia’

LONDON, Uingereza WASHIKA Bunduki wa London, Arsenal, wanampigia hesabu kiungo wa kimataifa wa Serbia, Vasilije Kostov, ambaye uchezaji wake unafananishwa na ule wa staa wa...

Nigeria yaipiga Misri mshindi wa tatu AFCON 2025

CASABLANCA, Morocco TIMU ya taifa ya Nigeria 'Super 'Eagles' imeshika nafasi ya tatu msimu huu wa fainali za Mataifa ya Afrika (AFCON 2025) baada ya...

Man United yaitandika City, Carrick aendeleza rekodi

MANCHESTER, Uingereza KATIKA mchezo wa Ligi Kuu ya England uliochezwa Old Trafford leo Januari 17, 2026, Manchester United chini ya kocha mpya, Michael Carrick, imeifunga...

Gueye wa Simba ana balaa zito!

Na mwandishi wetu, Gazetini MTU wa kazi! Ndivyo unavyoweza kumwita mchezaji mpya wa Simba, Libasse Gueye, ambaye klabu hiyo imemtambulisha leo Januari 17, 2026. Nyota...

Recent articles

spot_img