Na mwandishi wetu, Gazetini
VENEZUELA inaendelea kushika nafasi ya kwanza duniani kwa utajiri wa akiba ya rasilimali ya mafuta, licha ya changamoto kubwa za kiuchumi...
TOKYO, Japan
WAZIRI Mkuu wa Japan, Sanae Takaichi, Jumatatu ametangaza kuitisha uchaguzi mkuu wa ghafla, akiahidi kusimamisha kwa miaka miwili ushuru wa matumizi wa asilimia...
Na mwandishi wetu, Gazetini
WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Christian Makonda amekutana na Rais wa Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF) Dk....
Na mwandishi wetu, Gazetini
KWA mujibu wa Jarida maarufu la Forbes, mfanyabiashara wa Marekani, Elon Musk, ndiye binadamu mwenye fedha nyingi zaidi duniani. Utajiri wake...
MANCHESTER, Uingereza
KLABU ya Manchester United imeendelea kukazia harakati zake za kumsajili kiungo wa Brighton na timu ya taifa ya Cameroon, Carlos Baleba.
Man United ilijaribu...
LONDON, Uingereza
CHELSEA imeungana na Manchester City na Borussia Dortmund zinazoiwania saini ya mshambuliaji chipukizi wa Barcelona, Dro Fernandez.
Fernandez (18), anataka kuondoka Barcelona na hatua...
MADRID, Hispania
IMERIPOTIWA kuwa mabosi wa Real Madrid wameanza kumfikiria kocha aliyetimuliwa Chelsea hivi karibuni, Enzo Maresca.
Wakati huo huo, Rais wa Madrid, Florentino Perez, ametajwa...
LONDON, Uingereza
WASHIKA Bunduki wa London, Arsenal, wanampigia hesabu kiungo wa kimataifa wa Serbia, Vasilije Kostov, ambaye uchezaji wake unafananishwa na ule wa staa wa...
CASABLANCA, Morocco
TIMU ya taifa ya Nigeria 'Super 'Eagles' imeshika nafasi ya tatu msimu huu wa fainali za Mataifa ya Afrika (AFCON 2025) baada ya...
MANCHESTER, Uingereza
KATIKA mchezo wa Ligi Kuu ya England uliochezwa Old Trafford leo Januari 17, 2026, Manchester United chini ya kocha mpya, Michael Carrick, imeifunga...
Na mwandishi wetu, Gazetini
MTU wa kazi! Ndivyo unavyoweza kumwita mchezaji mpya wa Simba, Libasse Gueye, ambaye klabu hiyo imemtambulisha leo Januari 17, 2026. Nyota...