LAGOS, Nigeria
POLISI wanamshikilia mtu mmoja, huku wakiendelea na uchunguzi juu ya kifo cha mwanamuzi wa Nigeria, Destiny Boy.
Destiny Boy, ambaye jina lake halisi ni...
Na mwandishi wetu, Gazetini
MAISHA katika miji yote barani Afrika yanatofautiana, hiyo ikitokana na gharama za maisha, ikiwamo uwezo wa watu wake kufanya manunuzi.
Haiishii hapo....
RABAT, MoroccoSHIRIKISHO la Soka la Morocco (FRMF) limeweka wazi mpango wake wa kuiandikia barua ya malalamiko Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA), kupinga kile...
DAMASCUS, Syria
WAPIGANAJI wa kundi la kigaidi la IS nchini Syria wametoroka gerezani wakati vikosi vya jeshi la Serikali vikipigana na waasi wa SDF.
Taarifa zinaeleza...
RABAT, Morocco
BAO pekee la staa wa Villarreal ya Hispania, Pape Gueye, limehitimisha msimu huu wa fainali za Mataifa ya Afrika (AFCON 2025) kwa kuipa...
DAKAR, Senegal
WAKATI timu ya taifa ya Senegal inatwaa ubingwa wa fainali za Mataifa ya Afrika (AFCON) kwa kuifunga Misri mwaka 2021, Sadio Mane ndiye...
BEIJING, China
IDADI ya watoto waliozaliwa mwaka 2025 nchini China ni ndogo zaidi kuwahi kutokea katika Taifa hilo la Asia.Ni kwa mwaka wa nne mfululizo...
Na mwandishi wetu, Gazetini
BEKI wa zamani wa Stellenbosch FC ya Afrika Kusini, Ismael Olivier Toure, amejiunga na kikosi cha Simba kupitia kipindi hiki cha...
MADRID, Hispania
MSHAMBUALIJI wa Real Madrid, Kylian Mbappe, anaamini si sahihi kusema Xabi Alonso alifeli katika kibarua chake cha kuinoa timu hiyo.
Alonso alifungashiwa virago hivi...
LONDON, Uingereza
KLABU ya Real Madrid inampigia hesabu kiungo wa Chelsea, Enzo Fernandez, ikipanga kukamilisha usajili huo ifikapo mwishoni mwa msimu huu wa 2025-26.
Madrid inataka...
Na Winfrida Mtoi, Gazetini
WANANCHI Yanga wameichakaza timu ya Mashujaa mabao 6-0, huku nyota mpya wa kikosi hicho Laurindo Aurelio maarufu Depu akitupia bao moja...