22.6 C
Dar es Salaam

Featured

Helikopta ya watalii yapotea Japan

TOKYO, Japan HELIKOPTA iliyoripotiwa kubeba watalii wawili imepotea karibu na Mlima wa Aso nchini Japan. Ni moja ya milima yenye volkano hai nchini humo. Taarifa ya...

Marc Guehi; Usajili wa nguvu kwa Pep Guardiola

MANCHESTER, Uingereza MANCHESTER City imekamilisha usajili wa beki wa kati kutoka Crystal Palace, Marc Guehi, ambaye ametokea Crystal Palace kwa ada ya Pauni milioni 20. Guehi...

Nicola Peltz; Mkwe anayeivuruga familia ya Beckham

LOS ANGELES, Marekani Kwa sasa, mtoto wa kiume wa Beckham, Brooklyn, haongei na baba wala mama yake. Kama hiyo haitoshi, alishahama nyumbani kwao na kujiweka...

Afya ya Besigye yazua hofu Uganda

KAMPALA, Uganda HALI ya afya ya mwanasiasa maarufu wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye, imeripotiwa kuwa mbaya wakati huu akiendelea kusota gerezani. Kwa mujibu wa kile...

Jela maisha kwa kumuua Waziri Mkuu

TOKYO, Japan TETSUYA Yamagami ambaye ni mshitakiwa wa mauaji ya Waziri Mkuu wa zamani wa Japan, Shinzo Abe, amehukumiwa kifungo cha maisha. Yamagami amekuwa chini ya...

Anayeshutumiwa kusuka mauaji ya Traore akamatwa

OUAGADOUGOU, Burkina Faso RAIS wa zamani wa Burkina Faso, Paul-Henri Sandaogo Damiba, amekamatwa na vyombo vya dola vya Togo, na kisha kurejeshwa nchini kwake, ambako...

Waziri Mkuu atangaza Uchaguzi New Zealand

WELLINGTON, New Zealand WAZIRI Mkuu wa New Zealand, Christopher Luxon, ametangaza kuwa Uchaguzi Mkuu nchini humo utafanyika Novemba 7, 2026. Akizungumza na waandishi wa habari leo...

Apple yaiburuza Samsung mauzo ya simu

BEIJING, China BAADA ya miaka 14 ya kuwa nyuma ya Samsung kwa mauzo ya simu, kampuni ya Apple imeamka na kushika nafasi ya kwanza duniani. Kwa...

Aston Villa wamfungia kazi Abraham

LONDON, Uingereza KLABU ya Aston Villa haijarudi nyuma katika mkakati wao wa kumsajili mpachikaji mabao wa zamani wa Chelsea, Tammy Abraham. Nyota huyo wa kimataifa wa...

Martinez awindwa Inter Milan

MILAN, Italia KLABU ya Inter Milan imeanza harakati za kuinasa saini ya mlinda mlango wa Aston Villa na timu ya taifa ya Argentina, Emi Martinez. Inter...

Kovac atajwa kibarua Man United

MANCHESTER, Uingereza JINA la Niko Kovac limeingia rasmi katika orodha ya makocha wanaohusishwa na kibarua cha kuinoa Manchester United msimu ujao. Taarifa rasmi zinaeleza kuwa kocha...

Mwangwi wa sheria| Polisi haihusiki na kesi hizi

Na mwandishi wetu, Gazetini WAKATI mwingine, kutokujua sehemu sahihi ya kupeleka malalamiko yako kunaweza kukupotezea muda, nguvu, na hata haki yako. Mathalan, kwenda polisi kwa suala...

Recent articles

spot_img