TOKYO, Japan
HELIKOPTA iliyoripotiwa kubeba watalii wawili imepotea karibu na Mlima wa Aso nchini Japan. Ni moja ya milima yenye volkano hai nchini humo.
Taarifa ya...
MANCHESTER, Uingereza
MANCHESTER City imekamilisha usajili wa beki wa kati kutoka Crystal Palace, Marc Guehi, ambaye ametokea Crystal Palace kwa ada ya Pauni milioni 20.
Guehi...
LOS ANGELES, Marekani
Kwa sasa, mtoto wa kiume wa Beckham, Brooklyn, haongei na baba wala mama yake. Kama hiyo haitoshi, alishahama nyumbani kwao na kujiweka...
KAMPALA, Uganda
HALI ya afya ya mwanasiasa maarufu wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye, imeripotiwa kuwa mbaya wakati huu akiendelea kusota gerezani.
Kwa mujibu wa kile...
TOKYO, Japan
TETSUYA Yamagami ambaye ni mshitakiwa wa mauaji ya Waziri Mkuu wa zamani wa Japan, Shinzo Abe, amehukumiwa kifungo cha maisha.
Yamagami amekuwa chini ya...
OUAGADOUGOU, Burkina Faso
RAIS wa zamani wa Burkina Faso, Paul-Henri Sandaogo Damiba, amekamatwa na vyombo vya dola vya Togo, na kisha kurejeshwa nchini kwake, ambako...
WELLINGTON, New Zealand
WAZIRI Mkuu wa New Zealand, Christopher Luxon, ametangaza kuwa Uchaguzi Mkuu nchini humo utafanyika Novemba 7, 2026.
Akizungumza na waandishi wa habari leo...
LONDON, Uingereza
KLABU ya Aston Villa haijarudi nyuma katika mkakati wao wa kumsajili mpachikaji mabao wa zamani wa Chelsea, Tammy Abraham.
Nyota huyo wa kimataifa wa...
MILAN, Italia
KLABU ya Inter Milan imeanza harakati za kuinasa saini ya mlinda mlango wa Aston Villa na timu ya taifa ya Argentina, Emi Martinez.
Inter...
MANCHESTER, Uingereza
JINA la Niko Kovac limeingia rasmi katika orodha ya makocha wanaohusishwa na kibarua cha kuinoa Manchester United msimu ujao.
Taarifa rasmi zinaeleza kuwa kocha...
Na mwandishi wetu, Gazetini
WAKATI mwingine, kutokujua sehemu sahihi ya kupeleka malalamiko yako kunaweza kukupotezea muda, nguvu, na hata haki yako.
Mathalan, kwenda polisi kwa suala...