Ads: info@gazetini.co.tz |
22.1 C
Dar es Salaam

Featured

Ajiua kwa kujichoma moto

NEW YORK, Marekani MWANAUME mmoja amejiua kwa kujichoma moto nje ya Ofisi za Umoja wa Mataifa (UN) jijini New York. Kwa upande wao, wanaharakati wamemtaja mtu...

Jaji Mkuu: Kazi tunazofanya hazipaswi kuhatarisha maisha

Na mwandishi wetu, Gazetini Jaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, George Masaju, ameshauri Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) kuendelea kufanya ukaguzi...

LeBron kutua wapi msimu ujao NBA?

LOS ANGELES, Marekani NI rasmi kwamba supastaa wa Ligi Kuu ya mpira wa Kikapu ya Marekani (NBA), LeBron James, hatakuwa na kikosi cha Los Angeles...

Halotel, Samsung wazindua huduma mikopo ya simu janja yenye vifurushi

Na Imani Nathaniel, Gazetini Kampuni ya Mawasiliano ya Halotel Tanzania kwa kushirikiana na Samsung Electronics, imezindua huduma ya mikopo ya simu janja inayokwenda sambamba na...

Drake kwa ‘kubeti’ humwambii kitu

TORONTO, Canada NJE ya kazi ya muziki, rapa Drake ana dunia yake nyingine. Ni miongoni mwa 'walevi' wa kamari ya kubashiri matokeo ya michezo (kubeti). Hivi...

Urusi, Ukraine piga nikupige inaendelea

KYIV, Ukraine VIKOSI vya jeshi la Urusi vimetekeleza shambulizi la ndege zisizo na rubani nchini Ukraine na kusababisha vifo vya watu 13. Mamlaka za Ukraine zimethibitisha...

Ni England au Mexico tiketi ya robo fainali?

MEXICO CITY, Mexico FAINALI za Kombe la Dunia za mwaka huu (2026) zinaendelea kuchanja mbuga, huku baadhi ya timu zikiwa zimeshatinga hatua ya 16 Bora. Baadhi...

Iran: Marekani itakiona cha moto

TEHRAN, Iran MAKAO Makuu ya Jeshi la Iran yamekuja na tamko zito, kwamba Marekani itaingia kwenye shida endapo itaendelea kuingilia udhibiti wa Mlango-Bahari wa Hormuz. Kauli...

Syria yawaita mezani Hezbollah

BEIRUT, Lebanon WAZIRI wa Mambo ya Nje ya Syria, Asaad al-Shaibani, yuko nchini Lebanon, ambapo amesema wako tayari kukaa mwezani na wapiganaji wa Kundi la...

Mwili wa Khamenei wazua gumzo

TEHRAN, Iran MAMLAKA za Iran zimetangaza Julai 9, 2026 kuwa ndiyo siku za maziko ya Kiongozi wa zamani wa Taifa hilo, Ali Khamenei, huku ukiibuka...

Arsenal yatia nanga kwa kipa huyu

LONDON, Uingereza KLABU ya Arsenal iko kwenye hatua nzuri ya kukamilisha usajili wa kipa aliyeondoka Leeds United baada ya kumaliza mkataba wake, Illan Meslier. Kocha wa...

Mshambuliaji anayesakwa na vigogo EPL

LONDON, Uingereza NI nahodha wa West Ham United, Jarrod Bowen, ambaye si tu Manchester United, bali pia Liverpool na Chelsea nazo zinaimezea mate saini yake. Mshambuliaji...

Recent articles