24.5 C
Dar es Salaam

Featured

Mawani yanayosaidia wanaopoteza kumbukumbu

LOS ANGELES, Marekani KAMPUNI maarufu ya Animorph Co-operative imemtambulisha mawani ya kisasa, ambayo yatawasaidia wanaokabiliwa na ugonjwa wa kupoteza kumbukumbu (dementia). Hata hivyo, Szczepan Orlins, ambaye...

Gamondi anasubiriwa yeye tu kusaini mkataba rasmi, kukabidhiwa Stars mazima

Na Winfrida Mtoi, Gazetini WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda, amesema kuwa muda wowote, kocha Miguel Gamondi atasaini rasmi mkataba wa kuifundisha...

Papa aingilia kati hali ya usalama Nigeria

LAGOS, Nigeria KIONGOZI wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Leo XIV, ametuma ujumbe wake wa kutaka kuimarishwa kwa hali ya amani nchini Nigeria. Papa Leo ameyasema hayo...

Afrika Kusini yaondosha wanajeshi wake DRC

PRETORIA, Afrika Kusini SERIKALI ya Afrika Kusini imetangaza kuwarudisha nyumbani wanajeshi wake waliokuwa kwenye operesheni ya kulinda amani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC). Ikumbukwe,...

Mpinzani wa Maduro atoka jela

CARACAS, Venezuela MWANASIASA wa upinzani na mkosoaji mkubwa wa utawala wa Nicolas Maduro, Juan Pablo Guanipa, ameachiwa huru baada ya kushikiliwa na vyombo vya dola...

Lai wa Hong Kong ahukumiwa miaka 20 gerezani

HONG KONG, China MFANYABIASHARA tajiri mjini Hong Kong, Jimmy Lai, amehukumiwa kifungo cha miaka 20 gerezani baada ya Mahakama kumkuta na hatia. Awali, lilikuwepo tishio la...

Polisi washikilia watu sita maandamano Italia

MILAN, Italia IMERIPOTIWA kuwa watu sita wako kwenye mikono ya polisi katika maandamano ya kupinga michuano ya Olimpiki mjini Milan. Milan ni moja ya miji sita...

Watatu wakamatwa mauaji ya jenerali wa jeshi

MOSCOW, Urusi MAMLAKA nchini Urusi zimetangaza kuwashikilia watu watatu wanaohisiwa kuhusika katika mauaji ya aliyekuwa kiongozi wa juu wa jeshi, Luteni Jenerali Vladimir Alexeyev. Kwa mujibu...

Mbappe awekwa ‘levo’ za Ronaldo

MADRID, Hispania KWA mujibu wa kocha wa Real Madrid, Alvaro Arbeloa, Kylian Mbappe ana mchango mkubwa kikosini, kama alivyokuwa Cristiano Ronaldo miaka kadhaa iliyopita. Alberoa ametoa...

Merino wa Arsenal nje msimu mzima

LONDON, Uingereza HABARI mbaya kwa mashabiki wa Arsenal ni kwamba kiungo wao raia wa Hispania, Mikel Merino, hatarejea dimbani hadi msimu ujao. Moreno amekosekana katika mechi...

Staa mpya Liverpool apata majanga

MERSEYSIDE, Uingereza NYOTA mpya wa Liverpool, Jeremy Jacquet, amepata majeraha ya bega akiwa uwanjani kuitumikia Rennes ya Ligi Kuu ya Ufaransa (Ligue 1). Mfaransa huyo mwenye...

Mashabiki milioni 10 wamkimbia Beyonce

LOS ANGELES, Marekani BIBIYE mwenye jina kubwa katika muziki wa R&B nchini Marekani, Beyonce, ambaye pia ni mke wa rapa Jay Z, amekutwa na kitu...

Recent articles

spot_img