LOS ANGELES, Marekani
KAMPUNI maarufu ya Animorph Co-operative imemtambulisha mawani ya kisasa, ambayo yatawasaidia wanaokabiliwa na ugonjwa wa kupoteza kumbukumbu (dementia).
Hata hivyo, Szczepan Orlins, ambaye...
Na Winfrida Mtoi, Gazetini
WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda, amesema kuwa muda wowote, kocha Miguel Gamondi atasaini rasmi mkataba wa kuifundisha...
LAGOS, Nigeria
KIONGOZI wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Leo XIV, ametuma ujumbe wake wa kutaka kuimarishwa kwa hali ya amani nchini Nigeria.
Papa Leo ameyasema hayo...
PRETORIA, Afrika Kusini
SERIKALI ya Afrika Kusini imetangaza kuwarudisha nyumbani wanajeshi wake waliokuwa kwenye operesheni ya kulinda amani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC).
Ikumbukwe,...
CARACAS, Venezuela
MWANASIASA wa upinzani na mkosoaji mkubwa wa utawala wa Nicolas Maduro, Juan Pablo Guanipa, ameachiwa huru baada ya kushikiliwa na vyombo vya dola...
HONG KONG, China
MFANYABIASHARA tajiri mjini Hong Kong, Jimmy Lai, amehukumiwa kifungo cha miaka 20 gerezani baada ya Mahakama kumkuta na hatia.
Awali, lilikuwepo tishio la...
MILAN, Italia
IMERIPOTIWA kuwa watu sita wako kwenye mikono ya polisi katika maandamano ya kupinga michuano ya Olimpiki mjini Milan.
Milan ni moja ya miji sita...
MOSCOW, Urusi
MAMLAKA nchini Urusi zimetangaza kuwashikilia watu watatu wanaohisiwa kuhusika katika mauaji ya aliyekuwa kiongozi wa juu wa jeshi, Luteni Jenerali Vladimir Alexeyev.
Kwa mujibu...
MADRID, Hispania
KWA mujibu wa kocha wa Real Madrid, Alvaro Arbeloa, Kylian Mbappe ana mchango mkubwa kikosini, kama alivyokuwa Cristiano Ronaldo miaka kadhaa iliyopita.
Alberoa ametoa...
LONDON, Uingereza
HABARI mbaya kwa mashabiki wa Arsenal ni kwamba kiungo wao raia wa Hispania, Mikel Merino, hatarejea dimbani hadi msimu ujao.
Moreno amekosekana katika mechi...
MERSEYSIDE, Uingereza
NYOTA mpya wa Liverpool, Jeremy Jacquet, amepata majeraha ya bega akiwa uwanjani kuitumikia Rennes ya Ligi Kuu ya Ufaransa (Ligue 1).
Mfaransa huyo mwenye...