Na Mwandishi Wetu, Gazetini
WAKALA wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) umezindua mpango wake wa kushirikiana na Maafisa Biashara wa Mikoa na Wilaya...
Na mwandishi wetu, Gazetini
HIVI unafahamu kuwa betri zinazotumika katika simu au kompyuta-mpakato (laptop), ambazo kwa lugha ya Kiingereza hufahamika kwa jina la 'rechargeable batteries',...
LAGOS, Nigeria
JINA alilopewa na wazazi wake ni David Adedeji Adeleke, ingawa mashabiki wa sanaa ya muziki wanamfahamu kwa jina la Davido.
Tofauti na wanamuziki wengi,...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
WAZIRI Mkuu, Dk. Mwigulu Nchemba amekutana na Kamati ya Kitaifa ya Maandalizi ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2027) kwa...
LOS ANGELES, Marekani
STORI inayobamba kwa sasa kwenye tasnia ya burudani nchini Marekani ni hii ya mrembo Kim Kardashian kuanika penzi lake jipya na staa...
RIYADH, Saudi Arabia
LICHA ya mkataba wake kumalizika mwaka 2027, huenda Cristiano Ronaldo akaondoka Al-Nassr mwishoni mwa msimu huu wa 2025-26.
Taarifa zilizopo zinadai kuwa nahodha...
Na mwandishi wetu, Gazetini
KUTOKA mitaani, majukwaani, hadi mbele ya kamera na sasa wamejijengea heshima kubwa kupitia sanaa ya uchekeshaji ndani ya Bongo.
Hata hivyo, wapo...
Na Mwandishi Wetu
TIMU ya Coastal Union imetembeza kichapo cha mabao 4-1 kwa maafande wa Magereza Tanzania Prisons katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara...
Na Winfrida Mtoi, Gazetini
KOCHA Mkuu wa timu ya Simba, Steve Barker ameweka wazi kuwa hakuna mechi rahisi ya Ligi Kuu, lakini wamejipanga kuhakikisha wanachukua...
LONDON, Uingereza
MCHEZO wa soka una historia kubwa ya kuwainua na kuwapa utajiri wachezaji wanaotoka katika familia za kimasikini.
Miongoni mwao ni mkongwe wa soka la...
LONDON, Uingereza
MAUZO ya jezi ni sehemu muhimu ya vyanzo vya mapato ya klabu za soka duniani kote, zikivuna mabilioni ya fedha kutokana na biashara...