24.5 C
Dar es Salaam

Featured

OSHA yaja na mpango wa kuwezesha biashara na uwekezaji nchini

Na Mwandishi Wetu, Gazetini WAKALA wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) umezindua mpango wake wa kushirikiana na Maafisa Biashara wa Mikoa na Wilaya...

Simu, ‘laptop’ zinavyohatarisha maisha yako

Na mwandishi wetu, Gazetini HIVI unafahamu kuwa betri zinazotumika katika simu au kompyuta-mpakato (laptop), ambazo kwa lugha ya Kiingereza hufahamika kwa jina la 'rechargeable batteries',...

Davido; ‘Mtoto wa kishua’ aliyeacha shule kisa muziki

LAGOS, Nigeria JINA alilopewa na wazazi wake ni David Adedeji Adeleke, ingawa mashabiki wa sanaa ya muziki wanamfahamu kwa jina la Davido. Tofauti na wanamuziki wengi,...

Dk. Mwigulu ajadiliana na Kamati ya Maandalizi AFCON 2027

Na Mwandishi Wetu, Gazetini WAZIRI Mkuu, Dk. Mwigulu Nchemba amekutana na  Kamati ya Kitaifa ya Maandalizi ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2027) kwa...

Kim Kardashian na wanaume 14 aliotoka nao kimapenzi

LOS ANGELES, Marekani STORI inayobamba kwa sasa kwenye tasnia ya burudani nchini Marekani ni hii ya mrembo Kim Kardashian kuanika penzi lake jipya na staa...

‘Machaka’ 6 ya Ronaldo akiondoka Saudia

RIYADH, Saudi Arabia LICHA ya mkataba wake kumalizika mwaka 2027, huenda Cristiano Ronaldo akaondoka Al-Nassr mwishoni mwa msimu huu wa 2025-26. Taarifa zilizopo zinadai kuwa nahodha...

‘Pacha’ za wachekeshaji zilizotamba Bongo

Na mwandishi wetu, Gazetini KUTOKA mitaani, majukwaani, hadi mbele ya kamera na sasa wamejijengea heshima kubwa kupitia sanaa ya uchekeshaji ndani ya Bongo. Hata hivyo, wapo...

Coastal Union yawatembezea kichapo maafande

Na Mwandishi Wetu TIMU ya Coastal Union imetembeza kichapo cha mabao 4-1 kwa maafande wa Magereza Tanzania Prisons katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara...

Mnyama Simba hasira zote kwa KMC kesho

 Na Winfrida Mtoi, Gazetini KOCHA Mkuu wa timu ya Simba, Steve Barker ameweka wazi kuwa hakuna mechi rahisi ya Ligi Kuu, lakini wamejipanga kuhakikisha wanachukua...

Mastaa wa soka wanaotokea familia tajiri Ulaya

LONDON, Uingereza MCHEZO wa soka una historia kubwa ya kuwainua na kuwapa utajiri wachezaji wanaotoka katika familia za kimasikini. Miongoni mwao ni mkongwe wa soka la...

Visual| Wakali 10 wa mauzo ya jezi Ulaya

LONDON, Uingereza MAUZO ya jezi ni sehemu muhimu ya vyanzo vya mapato ya klabu za soka duniani kote, zikivuna mabilioni ya fedha kutokana na biashara...

Simulizi ya maisha ya ajuza wa miaka 101

BEIJING, China LICHA ya umri wake wa miaka 101, Jiang Yueqin haonekani ni mtu mwenye afya iliiyodhohofika. Bado ana meno yake yote 32 na amekuwa...

Recent articles

spot_img