Na mwandishi wetu, Gazetini
SERIKALI imesema jumla ya watu 3,557 wamepata ajali wakiwa kazini katika kipindi cha miaka mitatu kuanzia 2023 hadi 2025, huku watu 169 wakipoteza maisha kutokana na matukio hayo, hali inayoonesha ukubwa wa changamoto...
Na mwandishi wetu, Gazetini
JUMLA ya watoto na vijana wapatao 75,500 wanatarajiwa kufanyiwa uchunguzi wa ugonjwa wa selimundu (sikoseli) ili kubaini mapema hali zao za kiafya na kuwapatia huduma stahiki, kupitia mradi wa miaka mitatu unaotekelezwa kwa...
MIAMI, Marekani
SUPASTAA wa timu ya taifa ya Argentina, Lionel Messi, hana mpango wa kuondoka katika klabu ya Inter Miami ya Ligi Kuu nchini Marekani...
LOS ANGELES, Marekani
UKIWEKA kando soka, masumbwi ni mchezo mwingine unaofuatiliwa zaidi, ukifuatiwa na mpira wa kikapu. Takwimu zinaonesha hivyo.
Kutokana na ushawishi wake duniani, mchezo...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
PATRICK Kluivert, mzaliwa wa jiji la Amsterdam nchini Uholanzi, alikulia katika familia yenye mapenzi makubwa kwa mchezo wa soka. Baba yake...
*Wataalamu waeleza kuwa ni chanzo cha majanga makubwa matatu
*Serikali yatakiwa kuwa macho kuhakikisha wapunguza madhara
Na Faraja Masinde, Gazetini
Tanzania ni miongoni mwa nchi zilizojiunga...
JUMAPILI Januari 9, 2022 kivumbi cha Fainali za AFCON 2021 kiaanza kutimua vumbi nchini Cameroon.
Jina ‘Afcon 2021’ limetokana na ukweli kwamba michuano hii ilitarajiwa...
UKWELI usio na shaka ni kwamba sekta ya Michezo ya Kubahatisha nchini imeonekana kupiga hatua kubwa katika miaka ya hivi karibuni.
Hata hivyo, ukuaji huo...