27.2 C
Dar es Salaam

Siasa

Benki ya Dunia: DRC, Msumbiji zinaongoza kwa umasikini Afrika

Na mwandishi wetu, GazetiniUMASIKINI umeendelea kuwa changamoto kubwa kwa Afrika, huku takwimu zikionesha kuwa mamilioni ya watu barani humu wanaishi chini ya Dola tatu...

Usiyoyajua kuhusu Uchaguzi Mkuu Guinea-Bissau

Na mwandishi wetu, GazetiniKUELEKEA Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu uliofanyika Jumapili ya wiki iliyopita, Rais Umaro Sissoco Embalo alishajiweka kwenye nafasi nzuri ya kushinda...

Marekani: Tumefikia pazuri kumaliza vita Urusi-Ukraine

WASHINGTON, Marekani SERIKALI ya Marekani kupitia kwa Katibu Mkuu wake, Marco Rubio, imeeleza kufikia pazuri katika jitihada za kumaliza vita kati ya Urusi na Ukraine....

Israel yamuua kiongozi wa Hezbollah

JARUSALEM, IsraelIMERIPOTIWA kuwa kiongozi mwandamizi wa Kundi la Hezbollah la Lebanon, Haitham Ali al-Tabtabai, ameuawa katika shambulizi lililofanywa na vikosi vya Israel.Kwa mujibu wa...

Meya ahukumiwa kifungo cha maisha

MANILA, UfilipinoMAHAKAMA Kuu nchini Ufilipino imemuhukumu kifungo cha maisha gerezani mwanasiasa maarufu na Meya wa zamani, Alice Guo.Guo aliyekuwa Meya wa Bamban, ameangukiwa na...

Zelenskyy: Tuko tayari kumaliza vita na Urusi

KYIV, UkraineRAIS wa Ukraine, Volodymyr Zelenskyy, amesema Serikali yake iko tayari kushirikiana na Marekani katika jitihada za kumaliza mgogoro na Urusi.Hivi karibuni, Ikulu ya...

Mahakama yamng’oa ofisini Mwanasheria Mkuu

MADRID, HispaniaMWANASHERIA Mkuu wa Serikali ya Hispania, Alvaro Garcia Ortiz, ametakiwa na Mahakama Kuu kukaa kando baada ya kukutwa na hatia katika mashitaka ya...

Nicki Minaj amuunga mkono Rais Trump

LOS ANGELES, MarekaniMWANAMUZIKI wa Hip hop nchini Marekani, Nicki Minaj, ameiunga mkono kauli ya Rais Donald Trump aliyedai kuwa waumini wa Dini ya Ukiristo...

Shambulizi la Urusi laua 26 Ukraine

KYIV, UkraineWATU takribani 26, wakiwamo watoto watatu, wamepoteza maisha katika shambulizi la Urusi nchini Ukraine.Vifo hivyo vimetokana na shambulizi la ndege isiyo na rubani...

Usichokijua mazungumzo ya Rais Trump, Mfalme wa Saudi Arabia

Na mwandishi wetu, GazetiniKWA mara ya kwanza tangu kusitishwa kwa mapigano kati ya Israel na Palestina katika Ukanda wa Gaza, Mfalme wa Saudi Arabia,...

Kilichomponza Waziri Mkuu aliyehukumiwa kifo

Na mwandishi wetu, GazetiniWAZIRI Mkuu wa zamani wa Bangladesh, Sheikh Hasina, amehukumiwa kifo baada ya kukutwa na hatia katika mashitaka ya uhalifu dhidi ya...

Waziri Mkuu Bangladesh ahukumiwa kifo

DHAKAN, BangladeshALIYEKUWA Waziri Mkuu waBangladesh, Sheikh Hasina, amehukumiwa kifo kutokana na mashitaka ya uhalifu dhidi ya binadamu.Sheikh Hasina anatajwa kuamrisha vyombo vya dola kutekeleza...

Recent articles

spot_img