Na mwandishi wetu, GazetiniUMASIKINI umeendelea kuwa changamoto kubwa kwa Afrika, huku takwimu zikionesha kuwa mamilioni ya watu barani humu wanaishi chini ya Dola tatu...
Na mwandishi wetu, GazetiniKUELEKEA Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu uliofanyika Jumapili ya wiki iliyopita, Rais Umaro Sissoco Embalo alishajiweka kwenye nafasi nzuri ya kushinda...
WASHINGTON, Marekani
SERIKALI ya Marekani kupitia kwa Katibu Mkuu wake, Marco Rubio, imeeleza kufikia pazuri katika jitihada za kumaliza vita kati ya Urusi na Ukraine....
JARUSALEM, IsraelIMERIPOTIWA kuwa kiongozi mwandamizi wa Kundi la Hezbollah la Lebanon, Haitham Ali al-Tabtabai, ameuawa katika shambulizi lililofanywa na vikosi vya Israel.Kwa mujibu wa...
MANILA, UfilipinoMAHAKAMA Kuu nchini Ufilipino imemuhukumu kifungo cha maisha gerezani mwanasiasa maarufu na Meya wa zamani, Alice Guo.Guo aliyekuwa Meya wa Bamban, ameangukiwa na...
KYIV, UkraineRAIS wa Ukraine, Volodymyr Zelenskyy, amesema Serikali yake iko tayari kushirikiana na Marekani katika jitihada za kumaliza mgogoro na Urusi.Hivi karibuni, Ikulu ya...
MADRID, HispaniaMWANASHERIA Mkuu wa Serikali ya Hispania, Alvaro Garcia Ortiz, ametakiwa na Mahakama Kuu kukaa kando baada ya kukutwa na hatia katika mashitaka ya...
LOS ANGELES, MarekaniMWANAMUZIKI wa Hip hop nchini Marekani, Nicki Minaj, ameiunga mkono kauli ya Rais Donald Trump aliyedai kuwa waumini wa Dini ya Ukiristo...
KYIV, UkraineWATU takribani 26, wakiwamo watoto watatu, wamepoteza maisha katika shambulizi la Urusi nchini Ukraine.Vifo hivyo vimetokana na shambulizi la ndege isiyo na rubani...
Na mwandishi wetu, GazetiniKWA mara ya kwanza tangu kusitishwa kwa mapigano kati ya Israel na Palestina katika Ukanda wa Gaza, Mfalme wa Saudi Arabia,...
Na mwandishi wetu, GazetiniWAZIRI Mkuu wa zamani wa Bangladesh, Sheikh Hasina, amehukumiwa kifo baada ya kukutwa na hatia katika mashitaka ya uhalifu dhidi ya...
DHAKAN, BangladeshALIYEKUWA Waziri Mkuu waBangladesh, Sheikh Hasina, amehukumiwa kifo kutokana na mashitaka ya uhalifu dhidi ya binadamu.Sheikh Hasina anatajwa kuamrisha vyombo vya dola kutekeleza...