Ads: info@gazetini.co.tz |
29.4 C
Dar es Salaam

Infographics

Utafiti: Nchi zenye wanawake warembo zaidi

*Ni kwa mujibu wa maoni ya watumiaji wa mtandao wa Reddit Na Mwandishi Wetu, Gazetini Utafiti uliofanyika kupitia jukwaa la mtandaoni la Reddit na kuhusisha maoni...

Chart| Watanzania waanza kuitikia matumizi ya nishati safi ya kupikia

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Dar es Salaam, Juni 25, 2025 – Licha ya juhudi mbalimbali za kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia nchini Tanzania,...

Chart| Tanzania bado ni kinara wa Simba Duniani

Na Jackline Jerome, Gazetini Tanzania inaongoza barani Afrika na duniani kwa ujumla kwa kuwa na idadi kubwa ya simba, ikiwa na jumla ya takribani simba...

Chart| Tanzania yapaa orodha ya mataifa 30 bora ya kiuchumi Afrika 2025

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Pato la Taifa (GDP) ni kiashirio muhimu kinachopima thamani ya jumla ya bidhaa na huduma zinazozalishwa katika taifa kwa kipindi cha...

DCEA ‘inavyotafuna mfupa’ wa dawa za kulevya nchini

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Katika juhudi za kuhakikisha Tanzania inakuwa salama dhidi ya athari za dawa za kulevya, Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa...

Mabadiliko ya tabianchi yanavyotishia ustawi wa ndoto za watoto Tanzania

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Mabadiliko ya tabianchi ni changamoto inayoendelea kuathiri maisha ya watu duniani kote, hasa watoto ambao ni miongoni mwa makundi yaliyo hatarini...

Visual| Miaka mitatu ya Rais Samia katika sekta ya madini

Na Mwandishi Maalum-Gazetini Tume ya Madini imetoa tathmini ya mafanikio yaliyopatikana katika Sekta ya Madini tangu Rais Samia Suluhu Hassan aingie madarakani. Mafanikio hayo yanajumuisha...

DCEA: Wanawake wateja wakubwa wa Skanka, wanatumia kupunguza mawazo

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Uchunguzi uliofanywa na Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) umebaini kuwa wanawake ndiyo wateja wakubwa  wa dawa...

Serikali yasisitiza umuhimu wa kuondoa madini ya risasi kwenye rangi

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Shirika la Viwango Tanzania (TBS) limeendelea kuhimiza hatua za kuondoa madini ya risasi kwenye rangi, likisisitiza madhara makubwa ya kemikali hiyo...

DCEA inavyodhibiti kilimo cha bangi Mara

*Wananchi wakubali yaishe Na Mwandishi Wetu, Gazetini Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya Tanzania (DCEA), ikishirikiana na Vyombo vya Ulinzi na Usalama, ikiwa...

Dk. Dugage ahimiza elimu ya biashara ya Kaboni kwa wananchi

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Naibu Waziri Ofisi ya Rais TAMISEMI (Afya), Dk. Festo Dugange amekishauri Kituo cha Taifa cha Ufuatiliaji na Usimamizi wa Biashara ya...

Tanzania yajivunia kiwango kikubwa cha Gesi Asilia na mkakati imara wa usambazaji

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Tanzania ina furaha kubwa kwa kiwango chake cha gesi asilia, ambacho kinahakikisha upatikanaji wa nishati ya kutosha kwa ajili ya maendeleo...

Recent articles