MILAN, Italia
MWANAUME raia wa Slovakia ameangukia mikononi mwa polisi mjini Milan, Italia, baada ya miaka 16 ya kujificha akikwepa kukamatwa.
Mtu huyo anayetajwa kuwa na...
CASABLANCA, Morocco
SERIKALI ya Morocco imepanga kutumia kiasi cha Dola milioni 330 (zaidi ya Sh bil. 858 za Tanzania) kukabiliana na uharibifu uliosababishwa na mafuriko.
Hatua...
MUNICH, Ujerumani
OFISI ya aliyekuwa Kansela wa Ujerumani, Angela Merkel, imekanusha taarifa zinazodai kuwa mwanamama huyo atagombea kiti cha urais katika Uchaguzi Mkuu ujao.
Kuelekea Uchaguzi...
ISLAMABAD, Pakistan
WAZIRI Mkuu wa zamani wa Pakistan, Imran Khan, anaelekea kupoteza uwezo wake wa kuona, wakati huu akiendelea kutumikia kifungo cha gerezani.
Khan, ambaye alishika...
MOSCOW, Urusi
SERIKALI ya Urusi imeagiza kufutwa kwa matumizi ya WhatsApp nchini humo, huku ikiwa na mbadala wa mtandao huo wa kijamii.
Mamkala zimetoa agizo hilo...
SEOUL, Korea Kaskazini
RAIS wa Korea ya Kaskazini, Kim Jong Un, ameripotiwa kumteua binti yake kuwa mrithi wake katika siku za usoni.
Binti huyo, Kim Ju...
LOS ANGELES, Marekani
BIBIYE mwenye jina na mafanikio makubwa katika muziki wa Pop duniani, Britney Spears, kwa sasa hamiliki haki zozote za kazi alizofanya baada...
MUNICH, Ujerumani
LICHA ya jitihada za Serikali ya Ujerumani, raia wengi wa Syria hawataki kuondoka nchini humo ili kurejea makwao.
Raia wa Syria takribani 6,000 waliomba...
TORONTO, Canada
POLISI nchini Canada wamebaini kuwa mshukiwa wa mauaji ya watu nane, ambaye ni mwanamke, ana changamoto ya afya ya akili.
Mwanamke huyo mwenye umri...
HARARE, Zimbabwe
WANANCHI wa Zimbabwe wameonesha kutokuvutiwa na mpango wa Baraza la Mawaziri wa kuongeza muda wa rais kukaa madarakani.
Kwa mujibu wa Katiba ya sasa,...
NAIROBI, Kenya
VIGOGO wa Ligi Kuu ya Kenya, Sofapaka FC, wamefanya balaa zito kipindi hiki cha usajili wa dirisha dogo, ambapo imetema wachezaji 11.
Mkakati huo...
LAGOS, Nigeria
STAA wa Afrobeat, Wizkid, amemjibu mkongwe wa muziki huo, 2Baba, akimwita 'babu' kutokana na maoni yake ya hivi karibuni.
2Baba aliulizwa maoni yake juu...