Ads: info@gazetini.co.tz |
20.8 C
Dar es Salaam

KIMATAIFA

Arteta ampa mbinu mpya Gyokeres

LONDON, UingerezaMKUU wa benchi la ufundi la Arsenal, Mikel Arteta, amemtaka Viktor Gyokeres kuachana na presha za nje ya uwanja na badala yake kuelekeza...

Benitez akaribia kuajiriwa Ugiriki

ATHENS, UgirikiALIYEWEHI kuwa kocha wa Liverpool, Rafa Benitez, anakaribia kutangazwa kuwa mkuu mpya wa benchi la ufundi la klabu ya Panathinaikos ya Ugiriki.Benitez, raia...

Mancini kocha mpya Man United

MANCHESTER, UingerezaKOCHA mkongwe raia wa Italia, Roberto Mancini, amewaambia watu wake wa karibu kuwa huenda akakabidhiwa mikoba ya kuinoa Manchester United.Kwa sasa, kocha raia...

Maresca athibitisha Palmer nje wiki sita

LONDON, UingerezaMKUU wa benchi la ufundi la Chelsea, Enzo Maresca, ameweka wazi kuwa atamkosa kwa wiki sita mshambuliaji wake tishio, Cole Palmer.Palmer, raia wa...

Guardiola asema hajui kuhusu Rodri

MANCHESTER, UingerezaKOCHA wa Manchester City, Pep Guardiola, amekiri kuwa hafahamu siku atakayorudi uwanjani kiungo wake raia wa Hispania, Rodri.Rodri (29), atakosekana katika mchezo wa...

Afrika na safari ya Kombe la Dunia 2026 (9) – Senegal

Na Hassan Mwasha, GazetiniMATAIFA tisa ya Afrika yameshajihakikishia tiketi ya kushiriki fainali zijazo za Kombe la Dunia za mwakani zitakazofanyika Marekani, Canada na Mexico....

Aliyetaka kuinunua Everton akwaa kesi ya ufisadi

LONDON, UingerezaMMOJA ya wamiliki wa kampuni ya uwekezaji ya 777 Partners, ambayo ilijaribu bila mafanikio kuinunua klabu ya Everton, anakabiliwa na mashitaka ya ufisadi.Josh...

Waziri Mkuu Bangladesh kuhukumiwa kifo?

DHAKA, BangladeshWAENDESHA mashitaka wa Bangladesh wameomba Waziri Mkuu wa zamani wa nchi hiyo, Sheikh Hasina, kuhukumiwa kifo kutokana na machafuko yaliyomtoa madarakani mwaka jana.Hasina...

Afrika na safari ya Kombe la Dunia 2026 (8) – Ivory Coast

Na Hassan Mwasha, GazetiniMATAIFA tisa ya Afrika yameshajihakikishia tiketi ya kushiriki fainali zijazo za Kombe la Dunia za mwakani zitakazofanyika Marekani, Canada na Mexico....

Andry Rajoelina; ‘DJ’ aliyekimbia Ikulu Madagascar akihofia kuuawa

Na mwandishi wetu, GazetiniKWA sasa, Madagascar iko chini ya jeshi lililounda Serikali baada ya kumng'oa aliyekuwa Rais wa Taifa hilo, Andry Rajoelina. Taarifa ya...

Afrika Kusini na harakati za kupiga marufuku biashara ya ukahaba

PRETORIA, Afrika KusiniAFRIKA Kusini inaweza kuwa Taifa la kwanza barani Afrika kupitisha sheria inayopiga marufuku biashara ya ukahaba, ingawa ugumu wa maisha, hasa kwa...

Afrika na safari ya Kombe la Dunia 2026 (7) – Afrika Kusini

Na Hassan Mwasha, GazetiniMATAIFA tisa ya Afrika yameshajihakikishia tiketi ya kushiriki fainali zijazo za Kombe la Dunia za mwakani zitakazofanyika Marekani, Canada na Mexico....

Recent articles