22.2 C
Dar es Salaam

Uchumi

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Serikali kupitia Mamlaka ya Maji Kibondo imetenga zaidi ya shilingi bilioni 1.49 katika mwaka wa fedha 2022/23 kwa ajili ya ujenzi wa tanki la maji lenye uwezo wa kuhifadhi lita 1,500,000, ambalo ujenzi...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini Chama cha Waandishi wa Habari za Mazingira Tanzania (JET) kilifanya mafunzo maalum Septemba 5-6, 2024 kwa wahariri zaidi ya 20 huko Bagamoyo, Pwani, juu ya namna bora ya kuripoti migongano baina ya binadamu...

Visual| Mabadiliko Sheria ya Madini yanavyowagusa Watanzania

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Kufanyika kwa Mabadiliko ya Sheria ya Madini ya mwaka 2010 yametoa fursa ya kuboresha mazingira ya uwekezaji nchini na kuhakikisha Watanzania...

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu wa GGML

Na Mwandishi Wetu, Gazetini - Arusha SHIRIKISHO la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA) pamoja na Wakala wa Usalama na Afya mahalipa kazi (OSHA) wametoa wito...

Mwenge wa Uhuru kukagua miradi yenye thamani ya Sh Trilioni 8.5 Pwani

Na Grace Mwakalinga, Gazetini-BAGAMOYO ZAIDI ya miradi 120 yenye thamani ya sh. Trilioni 8.5  kati yake, miradi 18 itawekwa jiwe la msingi, 22 itazinduliwa na...

TACAIDS yawataka wadau kushiriki upatikanaji fedha za Mwitikio wa UKIMWI

Na Nadhifa Omary, Gazetini-Dodoma Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS), imehimiza wadau kutoa ushirikiano kwa maoni na mawazo yao chanya ambayo yataboresho mkakati wa ukusanyaji fedha...

Chart| Nchi 20 zenye uchumi unaokua kwa kasi 2024

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Oktoba, 2023 Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) lilichapisha Orodha ya nchi 20 duniani ambazo uchumi wake unatarajiwa kukua kwa kasi...

TPSF: Kampuni binafsi tumieni mwongozo wa GGML kuibua vipaji vipya

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Mkurugenzi wa Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF), Raphael Maganga ametoa wito kwa kampuni za sekta binafsi kuiga mwongozo wa Kampuni...

GGML yazindua mpango wa mafunzo kazini kwa mwaka 2024/2025

*Wanafunzi 40 kufaidika na mpango huo Na Mwandishi Wetu, Gazetini KATIKA kudhihirisha dhamira ya kuwajengea wahitimu wa vyuo mbalimbali kukubalika kwenye soko la ajira, Kampuni ya...

Ujenzi kituo cha kupoza umeme GGML wafikia 95%

Na Mwandishi Wetu, Gazetini JITIHADA za Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kuanza kutumia umeme wa gridi ya Taifa kutoka Shirika la Umeme Tanzania...

Visual| Changamoto lukuki TPA ikifikia ufanisi 2023

Na Faraja Masinde, Gazetini Ukosefu wa Magati yanayotosheleza ikiwamo miundombinu isiyotosheleza ya reli na barabara ni moja ya sababu zinazokwamisha bandari ya Dar es Salaam...

Makala| Mazingira bora ya uwekezaji yanaivutia AngloGold Ashanti kuwekeza zaidi Tanzania 

Na Mwandishi Wetu, Gazetini KUTOKANA na mazingira mazuri ya uwekezaji yanayoendelea kuboreshwa na Serikali inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan, Kampuni AngloGold Ashanti imetangaza kuanzisha...

Rais Samia kuzindua programu ya nishati safi ya kupikia kwa wanawake Afrika

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kuzindua programu ya nishati safi ya kupikia itakayosaidia wanawake...

Visual| Namna REA itakavyogawa gesi nchini

Na Veronica Simba, Gazetini Wakala wa Nishati Vijijini (REA), katika Mwaka huu wa Fedha (2023/24), umetenga shilingi bilioni 10 kwa ajili ya kusambaza mitungi ya...

Recent articles

spot_img