27.5 C
Dar es Salaam

Uchumi

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Misitu ina mchango mkubwa katika sekta ya utalii, ikivutia mamilioni ya wageni kila mwaka na kuchangia kwa kiasi kikubwa uchumi wa jamii za wenyeji. Ikiwa inashughulikia zaidi ya 30% ya ardhi ya dunia,...
*Mbunge naye ahusishwa kumwanga fedha kiasi cha 5,000 hadi 50,000/- kwa wajumbe ili wamuunge mkono, mwenyewe ajibu NaMwandishi Wetu, Rorya JOTO la Uchaguzi ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), linazidi kupana huku mafunzo kwa watendaji wa chama hicho...

Rais Samia avaa viatu vya Mwalimu G20

Na Absalom Kibanda, Rio de Janeiro-Brazil RAIS Samia Suluhu Hassan ameyataka mataifa tajiri duniani ya kundi la G20 kutafakari upya namna bora ya kukabiliana...

Tanzania yajivunia kiwango kikubwa cha Gesi Asilia na mkakati imara wa usambazaji

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Tanzania ina furaha kubwa kwa kiwango chake cha gesi asilia, ambacho kinahakikisha upatikanaji wa nishati ya kutosha kwa ajili ya maendeleo...

Serikali kuzindua sera ya Taifa Uchumi wa Buluu

Na Nora Damian, Gazetini Sera ya Taifa ya Uchumi wa Buluu inatarajiwa kuzinduliwa rasmi Juni 5, mwaka huu wakati wa kilele cha maadhimisho ya Siku...

Visual| Mabadiliko Sheria ya Madini yanavyowagusa Watanzania

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Kufanyika kwa Mabadiliko ya Sheria ya Madini ya mwaka 2010 yametoa fursa ya kuboresha mazingira ya uwekezaji nchini na kuhakikisha Watanzania...

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu wa GGML

Na Mwandishi Wetu, Gazetini - Arusha SHIRIKISHO la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA) pamoja na Wakala wa Usalama na Afya mahalipa kazi (OSHA) wametoa wito...

Mwenge wa Uhuru kukagua miradi yenye thamani ya Sh Trilioni 8.5 Pwani

Na Grace Mwakalinga, Gazetini-BAGAMOYO ZAIDI ya miradi 120 yenye thamani ya sh. Trilioni 8.5  kati yake, miradi 18 itawekwa jiwe la msingi, 22 itazinduliwa na...

TACAIDS yawataka wadau kushiriki upatikanaji fedha za Mwitikio wa UKIMWI

Na Nadhifa Omary, Gazetini-Dodoma Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS), imehimiza wadau kutoa ushirikiano kwa maoni na mawazo yao chanya ambayo yataboresho mkakati wa ukusanyaji fedha...

Chart| Nchi 20 zenye uchumi unaokua kwa kasi 2024

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Oktoba, 2023 Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) lilichapisha Orodha ya nchi 20 duniani ambazo uchumi wake unatarajiwa kukua kwa kasi...

TPSF: Kampuni binafsi tumieni mwongozo wa GGML kuibua vipaji vipya

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Mkurugenzi wa Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF), Raphael Maganga ametoa wito kwa kampuni za sekta binafsi kuiga mwongozo wa Kampuni...

GGML yazindua mpango wa mafunzo kazini kwa mwaka 2024/2025

*Wanafunzi 40 kufaidika na mpango huo Na Mwandishi Wetu, Gazetini KATIKA kudhihirisha dhamira ya kuwajengea wahitimu wa vyuo mbalimbali kukubalika kwenye soko la ajira, Kampuni ya...

Ujenzi kituo cha kupoza umeme GGML wafikia 95%

Na Mwandishi Wetu, Gazetini JITIHADA za Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kuanza kutumia umeme wa gridi ya Taifa kutoka Shirika la Umeme Tanzania...

Visual| Changamoto lukuki TPA ikifikia ufanisi 2023

Na Faraja Masinde, Gazetini Ukosefu wa Magati yanayotosheleza ikiwamo miundombinu isiyotosheleza ya reli na barabara ni moja ya sababu zinazokwamisha bandari ya Dar es Salaam...

Recent articles

spot_img