28 C
Dar es Salaam

Uchumi

Na Mwandishi Wetu Rais wa Finland, Alexander Stubb leo Mei 16, 2025 akiwa katika muendelezo wa ziara yake hapa nchini ametembelea Soko la Machinga Complex Ilala Jijini Dar es Salaam kujionea uzalishaji wa bidhaa mbalimbali zinazozalishwa na...
Na Mwandishi Wetu Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza limesema linamshikilia na kumhoji Diana Bundala maarufu Mfalme Zumaridi kwa tuhuma za kuyageuza makazi yake kuwa kanisa na kuendesha shughuli za kidini bila usajili, kufanya mahubiri kwa waumini...

Wizara ya Madini yaomba kuidhinishiwa Sh 224, kuwawezesha wachimbaji wadogo

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Waziri wa Madini, Anthony Mavunde, ameliomba bunge kuidhinisha makadirio ya bajeti ya jumla ya Sh 224.98 bilioni kwa ajili ya kutekeleza...

Waziri Chana ateta na Sekretarieti ya mkataba wa Lusaka

Na Mwandishi Wetu Waziri wa Maliasili na Utalii, Balozi Dk Pindi Chana, amekutana na kufanya mazungumzo na Sekretarieti ya mkataba wa Lusaka (Lusaka Agreement) kuhusu...

‘Mawinga’ matapeli mtandaoni kudhibitiwa, serikali yavuna mabilioni kwenye kubeti

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Serikali imekiri kuwepo kwa ujanja ujanja katika biashara ya mtandaoni, hivyo imeanza kuchukua hatua na kupunguza changamoto hiyo kwa kuwa na...

Chart| Tanzania yapaa orodha ya mataifa 30 bora ya kiuchumi Afrika 2025

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Pato la Taifa (GDP) ni kiashirio muhimu kinachopima thamani ya jumla ya bidhaa na huduma zinazozalishwa katika taifa kwa kipindi cha...

Vipaumbele vitano Ofisi ya Msajili wa Hazina 2025/26

Na Ramadhan Hassan, Gazetni-Dodoma SERIKALI imewasilisha mbele ya Bunge vipaumbele vitano vya Ofisi ya Msajili wa Hazina (OMH) kwa mwaka wa fedha 2025/26, ambavyo vinakusudia...

Serikali yawasilisha  bungeni vipaombele vitano vya Msajili wa Hazina 2025/26

Na Mwandishi wetu Serikali imewasilisha mbele ya Bunge vipaumbele vitano vya Ofisi ya Msajili wa Hazina (OMH) kwa mwaka wa fedha 2025/26 vinavyolenga kuongeza ufanisi...

Serikali yajipanga kujenga mradi mkubwa wa umeme Monduli

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko, amesema  amesema kuwa mwaka huu Serikali inatarajia kujenga mradi mkubwa wa...

WHI yaridhishwa na maendeleo ya mradi wa nyumba 101 Mikocheni

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Bodi ya Uwekezaji na Fedha ya Watumishi Housing Investment (WHI) imefanya ziara ya kukagua maendeleo ya mradi wa ujenzi wa nyumba...

Nyongo: Sekta binafsi ina mchango mkubwa kwa Taifa

Na Mwandishi Wetu, Gazetini-Mwanza NAIBU Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-Mipango na Uwekezaji, Stanislaus Nyongo, ametoa wito kwa sekta binafsi kushiriki kikamilifu katika kupanga na...

Nyerere’s Footsteps, Samia Urges G20 to Rethink Global Economic Systems

By Absalom Kibanda, Rio de Janeiro-Brazil President Samia Suluhu Hassan has rekindled the enduring vision of Tanzania’s founding father, Mwalimu Julius Nyerere, by challenging the...

Visual| Miaka mitatu ya Rais Samia katika sekta ya madini

Na Mwandishi Maalum-Gazetini Tume ya Madini imetoa tathmini ya mafanikio yaliyopatikana katika Sekta ya Madini tangu Rais Samia Suluhu Hassan aingie madarakani. Mafanikio hayo yanajumuisha...

Rais Samia avaa viatu vya Mwalimu G20

Na Absalom Kibanda, Rio de Janeiro-Brazil RAIS Samia Suluhu Hassan ameyataka mataifa tajiri duniani ya kundi la G20 kutafakari upya namna bora ya kukabiliana...

Recent articles

spot_img