27.1 C
Dar es Salaam

Uchumi

Na Mwandishi Wetu Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amesema kuwa maonesho ya utalii ya Karibu– Kilifair yanaendelea kukuwa kimataifa na kuwakutanisha wadau wa utalii kutoka maeneo mbalimbali duniani kwa lengo la kujadili...
Na Mwandishi Wetu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Simbachawene amesema anatamani  kuona Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC) inakuwa kimbilio la walimu ambao ni kundi kubwa katika utumishi wa umma...

Wizara ya Ulinzi kuanza kufufua viwanda kwa ushirikiano na sekta binafsi

Na Ramadhan Hassan, Gazetini-Dodoma Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) imesema inaweka mkazo kwenye ushirikiano na sekta binafsi katika kufufua viwanda vya...

Msajili Hazina: Ni wakati wa Tanzania kunadi fursa za uwekezaji kimataifa

Na Mwandishi Wetu,Ivory Coast KATIKA jukwaa kubwa la viongozi wa taasisi za kibiashara barani Afrika, maarufu kama Africa CEO Forum, Tanzania imeendelea kujidhihirisha kama taifa...

Kampuni 95 za uchimbaji madini zapewa siku 30 kujieleza, hatarini kufungiwa  

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Serikali  imetoa Hati za Makosa kwa Kampuni 95 za Uchimbaji Mkubwa na  Kati wa Madini kutokana na wamiliki wa leseni hizo...

Wizara ya Madini yaomba kuidhinishiwa Sh 224, kuwawezesha wachimbaji wadogo

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Waziri wa Madini, Anthony Mavunde, ameliomba bunge kuidhinisha makadirio ya bajeti ya jumla ya Sh 224.98 bilioni kwa ajili ya kutekeleza...

Waziri Chana ateta na Sekretarieti ya mkataba wa Lusaka

Na Mwandishi Wetu Waziri wa Maliasili na Utalii, Balozi Dk Pindi Chana, amekutana na kufanya mazungumzo na Sekretarieti ya mkataba wa Lusaka (Lusaka Agreement) kuhusu...

‘Mawinga’ matapeli mtandaoni kudhibitiwa, serikali yavuna mabilioni kwenye kubeti

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Serikali imekiri kuwepo kwa ujanja ujanja katika biashara ya mtandaoni, hivyo imeanza kuchukua hatua na kupunguza changamoto hiyo kwa kuwa na...

Chart| Tanzania yapaa orodha ya mataifa 30 bora ya kiuchumi Afrika 2025

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Pato la Taifa (GDP) ni kiashirio muhimu kinachopima thamani ya jumla ya bidhaa na huduma zinazozalishwa katika taifa kwa kipindi cha...

Vipaumbele vitano Ofisi ya Msajili wa Hazina 2025/26

Na Ramadhan Hassan, Gazetni-Dodoma SERIKALI imewasilisha mbele ya Bunge vipaumbele vitano vya Ofisi ya Msajili wa Hazina (OMH) kwa mwaka wa fedha 2025/26, ambavyo vinakusudia...

Serikali yawasilisha  bungeni vipaombele vitano vya Msajili wa Hazina 2025/26

Na Mwandishi wetu Serikali imewasilisha mbele ya Bunge vipaumbele vitano vya Ofisi ya Msajili wa Hazina (OMH) kwa mwaka wa fedha 2025/26 vinavyolenga kuongeza ufanisi...

Serikali yajipanga kujenga mradi mkubwa wa umeme Monduli

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko, amesema  amesema kuwa mwaka huu Serikali inatarajia kujenga mradi mkubwa wa...

WHI yaridhishwa na maendeleo ya mradi wa nyumba 101 Mikocheni

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Bodi ya Uwekezaji na Fedha ya Watumishi Housing Investment (WHI) imefanya ziara ya kukagua maendeleo ya mradi wa ujenzi wa nyumba...

Nyongo: Sekta binafsi ina mchango mkubwa kwa Taifa

Na Mwandishi Wetu, Gazetini-Mwanza NAIBU Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-Mipango na Uwekezaji, Stanislaus Nyongo, ametoa wito kwa sekta binafsi kushiriki kikamilifu katika kupanga na...

Recent articles

spot_img