23.8 C
Dar es Salaam

Uchumi

Na mwandishi wetu, Gazetini MIAKA ya hivi karibuni imeshuhudia migogoro mingi ya wanamuziki wa Bongo Fleva na mabosi wa lebo zao. Mfano wa hivi karibuni ni hiki kinachoendelea sasa kati ya msanii Mac Voice na lebo ya Next...
Na mwandishi wetu, Gazetini NI rahisi kuona watu wakikuwekea chuki na wivu kwa vile tu umefanikiwa, bila kujua umepitia shida nyingi kufika hapo ulipo. Wanachukulia poa tu! Akiwa hana baba, pesa wala tumaini, hakuna aliyejua kama leo hii...

Sekta ya anga Tanzania yavutia mashirika mapya ya ndege, abiria waongezeka

Na mwandishi wetu, Gazetini SERIKALI imeendelea kuboresha mazingira ya uwekezaji katika sekta ya usafiri wa anga kwa kuimarisha miundombinu ya viwanja vya ndege, hatua iliyochangia...

Dk. Mataragio: PURA ongezeni kasi ya utafiti kuvutia wawekezaji

Na mwandishi wetu, Gazetini Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati anayeshughulikia Mafuta na Gesi, Dk. James Mataragio, ameielekeza Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa...

Migodi mikubwa nchini yatakiwa kuwezesha wachimbaji wadogo

Na mwandishi wetu, Gazetini Wito umetolewa kwa makampuni makubwa ya uchimbaji madini nchini kuwekeza katika kuwawezesha wachimbaji wadogo katika nyanja mbalimbali ikiwemo teknolojia za kisasa...

Serikali yazindua mpango mahsusi wa umeme jua visiwani

-Kuchochea uchumi wa buluu Na mwandishi wetu, Gazetini SERIKALI imezindua mpango mahsusi wa kusambaza mifumo ya umeme jua katika visiwa 120 nchini, hatua inayolenga kuchochea Uchumi...

TRA yasifu matumizi ya kodi katika mradi wa Bwawa la Julius Nyerere

Na mwandishi wetu, Gazetini MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imesifu matumizi sahihi ya fedha za kodi za Watanzania katika Mradi wa Bwawa la Julius Nyerere...

Ndejembi: Urambo, Kaliua zipo tayari kwa uwekezaji wa viwanda

Na mwandishi wetu, Gazetini WAZIRI wa Nishati, Deogratius Ndejembi, amesema wilaya za Urambo na Kaliua mkoani Tabora zipo tayari kupokea uwekezaji, hususan wa viwanda, kutokana...

Visual| Miamba ya Benki Tanzania: NMB vs CRDB

Na mwandishi wetu, Gazetini BENKI za NMB na CRDB zimeendelea kuthibitisha ubora na uimara wao katika sekta ya fedha nchini baada ya kila moja kutangaza...

Elon Musk avunja rekodi: Awa mtu wa kwanza duniani kumiliki zaidi ya dola bilioni 800

NEW YORK, Marekani Bilionea maarufu duniani, Elon Musk, ameweka historia mpya baada ya kuwa mtu wa kwanza kumiliki utajiri unaozidi dola bilioni 800, kufuatia hatua...

Serikali yaendelea na maandalizi ujenzi reli ya Kusini

Na Mwandishi Wetu, Gazetini SERIKALI kupitia Shirika la Reli Tanzania (TRC) imekamilisha kazi ya upembuzi yakinifu na usanifu wa awali kwa ajili ya ujenzi...

Dira ya madini 2030: Mwelekeo wa utafiti na ukuaji wa mapato

Na mwandishi Wetu, Gazetini SERIKALI ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inaendelea kuchukua hatua madhubuti katika kuimarisha sekta ya madini kama nguzo muhimu ya ukuaji...

Tanzania yajipanga kuwa kitovu cha uwekezaji wa madini Afrika

Na mwandishi wetu, Gazetini KATIKA kuhakikisha kuwa Tanzania inaendelea kujiimarisha kama kitovu cha uwekezaji wa kimkakati barani Afrika, Serikali kupitia Wizara ya Madini imekaribisha kampuni...

PMM Estates (2001) Ltd: Nguzo ya huduma za bandari kavu na usafirishaji Tanzania

Na mwandishi wetu, Gazetini KWA zaidi ya miongo miwili sasa, kampuni ya PMM Estates (2001) Limited imeendelea kujijengea heshima kama moja ya taasisi muhimu katika...

Recent articles

spot_img