29.2 C
Dar es Salaam

Uchumi

Visual| Reli bado ina umuhimu

Treni au Garimoshi ni aina ya usafiri ambao umekuwapo miaka na miaka. Historia ya treni inahusu miaka mia mbili iliyopita ya ustaarabu wa kibinadamu...

Visual| Abiria wa safari za ndani waliosafiri na ndege za ATCL

Ni takribani miaka nane sasa tangu kufufuliwa kwa Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) mwaka 2015 na aliyekuwa Rais wa Awmu ya Tano, Hayati...

Visual| Mitandao ya simu ilivyopoteza wateja

Ripoti mpya ya Robo ya tatu ya Mwaka 2021 iliyotolewa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imeonyasha kuwa kumekuwa na panda shuka ya wateja...

Infographic| Hatua zilizopigwa Sekta ya Mifugo na Uvuvi

Sekta ya Mifugo ni miongoni mwa maeneo ambayo Tanzania imekuwa ikiyatumia katika kuingiza fedha za kigeni ikiwamo pia utoaji wa ajira kwa Watanzania. Hata hivyo,...

Visualization| Serikali inavyovuna fedha kwenye michezo ya kubahatisha

UKWELI usio na shaka ni kwamba sekta ya Michezo ya Kubahatisha nchini imeonekana kupiga hatua kubwa katika miaka ya hivi karibuni. Hata hivyo, ukuaji huo...

Visualization| Miaka 60 ya Uchumi Tanzania

KAMA inavyofahamika kwamba Desemba 9, kila mwaka, ni kumbukizi ya uhuru wa Tanzania kutoka kwa Waingereza na kwa mwaka huu itakuwa ni miaka 60...

Visualization| Miaka 60 ya Madini Tanzania

TANZANIA iko kwenye mfululizo wa kueleza mafanikio yaliyopatikana kwa miaka 60 tangu ilipopata Uhuru wake Desemba 9, 1961. Katika kuelekea kilele cha miaka 60 ya...

Miaka 60 ya Uhuru| Tanzania ilivyosukwa

DESEMBA 9 kila mwaka, ni kumbukizi ya uhuru wa Tanzania kutoka kwa Waingereza na kwa mwaka huu itakuwa ni miaka 60 tangu ilipojitoa kwenye...

Infographic| Tanzania ilivyonufaika na Trilioni 1.3

Kwa sasa unaweza kusema ni kama vyuma vimeachia! Hii ni kutokana na miradi yenye thamani ya Sh trilioni 1.3 itakayotekelezwa na Serikali ya Rais...

Ukuaji wa Shughuli za Uchumi, Robo ya Pili ya Mwaka 2021

Kwa mujibu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) katika kipindi cha Aprili hadi Juni 2021, Shughuli ya Habari na Mawasiliano nchini ilikuwa na...

Infographic| Ukosefu wa elimu ya upangaji bajeti inavyovuruga familia

KUSUASUA kwa Uchumi ni miongoni mwa sababu ya migogoro kuanzia ngazi ya familia, na wakati mwingine kupelekea uwepo wa vitendo vya ukatili wa kijinsia...

Visualization: Kilimo kinavyohatarisha mazingira

SEKTA ya kilimo imekuwa na tija kubwa kwa maendeleo ya nchi nyingi barani Afrika, ikiwamo Tanzania. Huku kikiwa chanzo cha ajira kwa asilimia zaidi ya...

Recent articles

spot_img