Ads: info@gazetini.co.tz |
28 C
Dar es Salaam

Teknolojia

Halopesa yatoa mafunzo ya utafiti wa masoko kwa wanafunzi wa chuo Zanzibar

Na Mwandishi Wetu Kampuni ya Halotel kupitia huduma ya HaloPesa ikishirikiana na timu ya Halotel Business Zanzibar, wamefanya mafunzo ya utafiti wa masoko na kutoa...

Magari ya umeme kutengezwa Tanzania

Na Mwandishi Wetu Tanzania inatarajia kunufaika na matumizi ya magari yanayotumia umeme na gesi yanayotarajiwa kutengenezwa nchinj kupitia kiwanda cha kampuni GF kilichopo Kibaha mkoani...

Kiwanda cha GFA chasheherekea uundaji magari 4000 nchini

Na Mwandishi Wetu Kiwanda cha kwanza kutengeneza na kuunganisha magari Tanzania cha GF Vehicles Assemblers (GFA), kilichopo Kibaha mkoani Pwani , kimesheherekea kufikia utengenezaji wa...

Waziri Mkuu awataka wanahabari kutumia Akili Mnemba kama nyenzo na si kikwazo

Mwandishi Wetu, Gazetini WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amewataka  waandishi wa habari nchini kutumia Akili Mnemba (IA) kama nyenzo ya kuwawezesha kutekeleza majukumu yao ipasavyo na...

Huawei and Vodacom Empower Tanzania Startups with Transformative Learning Tour

By Our Correspondent Huawei, in partnership with Vodacom, has successfully concluded a week-long exchange learning program for seven promising Tanzanian startups. This initiative, part of...

OSHA yaeleza jinsi TEHAMA inavyorahisisha usimamizi wa usalama na afya

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) umeeleza kuwa matumizi ya mifumo ya TEHEMA umeiwezesha Taasisi hiyo kupata taarifa...

T-HAKIKI mkombozi wa kukabiliana na mbegu bandia kwa wakulima

*Wakulima waita wenzao kujisajili Na Mwandishi Wetu, Mbeya WAKULIMA wa mikoa ya Nyanda za Juu wametoa wito kwa wakulima wenzao wa mazao mbalimbali kujisajili na mfumo...

Serikali, wataalamu wa nishati jadidifu kuwawezesha wanahabari kuripoti maswala ya nishati safi kwa weledi 

Na Tulinagwe Malopa, Gazetini Wakati wiki ya kwanza ya mkutano wa Umoja wa Mataifa wa mabadiliko ya tabianchi COP27 ukiendelea Sharm el-Sheikh nchini Misri, Novemba...

Visual| Mitandao ya simu ilivyopoteza wateja

Ripoti mpya ya Robo ya tatu ya Mwaka 2021 iliyotolewa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imeonyasha kuwa kumekuwa na panda shuka ya wateja...

Visualization| Serikali inavyovuna fedha kwenye michezo ya kubahatisha

UKWELI usio na shaka ni kwamba sekta ya Michezo ya Kubahatisha nchini imeonekana kupiga hatua kubwa katika miaka ya hivi karibuni. Hata hivyo, ukuaji huo...

Ripoti| Mitandao inavyogeuka tishio maisha ya watu

LICHA ya ujio wa mitandao ya kijamii kuwa na faida nyingi katika nyanja mbalimbali, ikiwamo ya kiuchumi, ukweli usio na shaka ni kwamba imekuwa...

Visual| Wizara ya Habari na Miaka 60 ya Uhuru

DESEMBA 9 kila mwaka, ni kumbukizi ya uhuru wa Tanzania kutoka kwa Waingereza na kwa mwaka huu itakuwa ni miaka 60 tangu ilipojitoa kwenye...

Recent articles