29.5 C
Dar es Salaam

Featured

AFCON … Salah na ‘mkosi’ wa kupishana na Kombe

RABAT, Morocco USHINDI wa bao 1-0 waliopata Senegal dhidi ya Misri imeendeleza mkosi kwa Mohamed Salah katika ndoto yake ya kutwaa ubingwa wa fainali za...

Hii hapa mashine iliyotua Yanga kuipambania familia yake

Na mwandishi wetu, Gazetini KLABU ya Yanga leo Alhamisi Januari 15, 2026, imemtambulisha straika wa kimataifa wa Angola, Laurindo Dilson Maria Aurelio ‘Depu’, kupitia kurasa...

Ligi Kuu Bara 2025-26 … Dodoma Jiji v Singida Black Stars

Na mwandishi wetu, Gazetini NI Ijumaa, Januari 16, 2026, ambapo timu hizo zitakutana zikiwa 'zinapumulia mashine' msimu huu wa Ligi Kuu Bara. Dodoma Jiji, wenyeji...

Wachezaji Comoro waipongeza Taifa Stars

Na Mwandishi Wetu, Gazetini BALOZI wa Tanzania nchini Comoro, Saidi Yakubu leo amekutana na  wachezaji wa zamani wa timu ya Taifa ya Comoro ambao wameipongeza...

Serikali kupitia REA kusaini mikataba ya kutekeleza mradi wa kusambaza umeme vitongoji 9,009

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) inatarajia kuzindua Kituo cha Kupoza na Kusambaza Umeme cha Mtera na Kusaini Mikataba ya...

Kamati ya Bunge Ustawi wa Jamii yaipongeza serikali

Na Mwandishi Wetu, Gazetini KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii imetoa pongezi kwa serikali kwa kutangaza amri ya kima cha...

Aliyezaliwa juu ya mti afariki

MAPUTO, Msumbiji JINA lake ni Rosita Salvador Mabuiango lakini wengi nchini Msumbiji wanamwita 'Mtoto wa Muujiza' kutokana na alivyozaliwa wakati mama yake akiwa juu ya...

Enyi Watanganyika, ni nani aliyewaroga?

Na Hassan Mwasha, Gazetini KELELE za kukera, kama si za kuchefu kabisa, zinakita kwenye ngoma za masikio yangu. Kelele zinazojirudia, zinazochefua na kunipa picha ya...

Malaria bado tatizo sugu Afrika

Na mwandishi wetu, Gazetini MALARIA imeendelea kuwa changamoto kubwa barani Afrika, huku mataifa ya Nigeria, Jamhuri ya Kidemokrasia ya (DRC), Niger na Tanzania yakitajwa kuteswa...

Carrick ataiokoa United au kamari nyingine Old Trafford?

MANCHESTER, Uingereza HATIMAYE Manchester United imetangaza kuwa kiungo wake wa zamani, Michael Carrick, ndiye atakayeinoa timu hiyo hadi mwishoni mwa msimu huu. Je, Carrick atafanikiwa au...

VAR inavyosababisha majanga EPL

LONDON, Uingereza MSIMU wa Ligi Kuu ya England (EPL) umeshuhudia teknolojia ya VAR ikifanya makosa mengi, hivyo kuwaingiza 'chaka' waamuzi na kuzigharimu timu mbalimbali. Kwa mujibu...

Bellingham: Sijahusika Alonso kufukuzwa Madrid

MADRID, Hispania KIUNGO wa Real Madrid, Jude Bellingham, amekanusha kuwa alihusika kuushawishi uongozi wa klabu hiyo kumfuta kazi kocha Xabi Alonso. Alonso raia wa Hispania, alifungashiwa...

Recent articles

spot_img