22.9 C
Dar es Salaam

Featured

VAR inavyosababisha majanga EPL

LONDON, Uingereza MSIMU wa Ligi Kuu ya England (EPL) umeshuhudia teknolojia ya VAR ikifanya makosa mengi, hivyo kuwaingiza 'chaka' waamuzi na kuzigharimu timu mbalimbali. Kwa mujibu...

Bellingham: Sijahusika Alonso kufukuzwa Madrid

MADRID, Hispania KIUNGO wa Real Madrid, Jude Bellingham, amekanusha kuwa alihusika kuushawishi uongozi wa klabu hiyo kumfuta kazi kocha Xabi Alonso. Alonso raia wa Hispania, alifungashiwa...

Kuelekea Uchaguzi, Museveni azima mitandao

KAMPALA, Uganda KUELEKEA Januari 15, 2026, ambayo ndiyo siku ya Uchaguzi Mkuu wa Uganda, Serikali nchini humo inayoongozwa na Rais Yoweri Museveni imeagiza kuzimwa kwa...

Thomas Gronnemark; Silaha ya Liverpool iliyohamia Arsenal

LONDON, Uingereza ALIKUWA na mchango mkubwa wakati Liverpool ilipokuwa ya moto chini ya kocha wa kimataifa wa Ujerumani, Jurgen Klopp. Liverpool iliyotwaa taji la Ligi Kuu...

Yanga bingwa Mapinduzi Cup 2026

Na Mwandishi Wetu, Gazetini YANGA imetwaa ubingwa wa kombe la Mapinduzi ikiifunga Azam FC kwa mikwaju ya penalti 5-4 katika mchezo wa fainali uliopigwa Januari...

Yacouba atambulishwa Mbeya City

Na Mwandishi Wetu, Gazetini NYOTA wa zamani wa Yanga, raia wa Burkina Faso, Yacouba Songne, ametambulishwa  rasmi na  klabu ya Mbeya City akiwa miongoni mwa...

Barca yamrudisha Cancelo

CATALUNYA, HispaniaKLABU ya Barcelona imetangaza usajili wa beki wake wa zamani, Joao Cancelo, na tayari amekabidhiwa jezi namba 2.Barcelona imemchukua nyota huyo kwa mkopo...

Alonso ataka Romero asajiliwe ‘fasta’

MADRID, Hispania KOCHA wa Real Madrid, Xabi Alonso, amewataka mabosi wa klabu hiyo kuharakisha usajili wa beki wa Tottenham, Cristian Romero. Romero ndiye mchezaji anayelipwa mshahara...

Allan Okello rasmi atua Yanga

Klabu ya Yanga imetangaza rasmi kumsajili kiungo mshambuliaji raia wa Uganda, Allan Okello kutoka Vipers baada ya kumtambulisha usiku huu..

‘Ndoa ya Xabi Alonso na Real Madrid yavunjika’

MADRID, Hispania KLABU ya Real Madrid ya Hispania leo Jumatatu, Januari 12, 2026, imethibitisha kuachana na kocha wake mkuu, Xabi Alonso, baada ya pande zote...

Mbeumo afunguka kilichowaponza AFCON

YOUNDE, Cameroon KIWANGO kibovu katika kipindi cha kwanza cha mchezo wao dhidi ya Morocco ndicho kilichoigharimu timu ya taifa ya Cameroon, kwa mujibu wa Bryan...

Azam v Yanga; Ibenge dhidi ya ‘ukuta’ wa Goncalves

Na Hassan Mwasha, Gazetini NI Yanga na Azam FC ndizo zitakazofunga pazia la msimu huu wa michuano ya Kombe la Mapinduzi huko Zanzibar. Timu hizo...

Recent articles

spot_img