Ads: info@gazetini.co.tz |
23 C
Dar es Salaam

Uchumi

Sangu: Wenye viwanda imarisheni afya na usalama wa wafanyakazi

Na Mwandishi Wetu, Gazetini WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu-Kazi, Ajira na Mahusiano, Deus Sangu, amewataka wamiliki wa viwanda na maeneo mengine ya kazi...

Miji inayoongoza kwa mabilionea wengi duniani

Na mwandishi wetu, Gazetini NEW YORK ndiyo Mji unaoongoza kwa kuwa na mabilionea wengi duniani, kwa mujibu wa Jarida maarufu la Forbes. Mji huo wa...

Miji inayoongoza kwa mishahara minono duniani

Na mwandishi wetu, Gazetini UTAFITI wa Deutsche Bank umefuatilia maisha ya miji 69 duniani na kubaini tofauti iliyopo katika mishahara wanayolipwa wafanyakazi kila mwezi. Aidha,...

Kinyerezi 1 Extension kubadili sura ya Dar es Salaam

Na mwandishi wetu, Gazetini Mabadiliko makubwa yanayoendelea ndani ya sekta ya nishati yanaanza kuibadili sura ya Jiji la Dar es Salaam, huku Serikali ikithibitisha kuwa...

Mo’ Dewji bado yumo, Dangote aongoza tena utajiri Afrika

Na mwandishi wetu, Gazetini RIPOTI mpya ya jarida maarufu la Forbes inamtaja mfanyabiashara wa Tanzania, Mohamed 'Mo' Dewji, kuwa nafasi ya 12 katika orodha ya...

Serikali yawekeza Tril. 13.5 kuboresha umeme, yazindua mita janja

Na Mwandishi Wetu, Gazetini SERIKALI imeendelea kuimarisha sekta ya nishati kupitia uwekezaji mkubwa wa zaidi ya Sh trilioni 13.5 katika miradi 41 ya umeme nchini,...

Ndejembi: Tanzania sasa ina umeme wa kutosha, mgao utabaki historia

Na Mwandishi Wetu, Gazetini WAZIRI wa Nishati, Deogratius Ndejembi, amesema Tanzania kwa sasa ina umeme wa kutosha, na kwamba ukamilifu wa Mradi wa Kufua Umeme...

Mataifa yanayoongoza kwa madeni duniani

Na mwandishi wetu, GazetiniDENI la Dunia limefikia Dola za Marekani trilioni 110.9 lakini zipo nchi zinazooneka kuwa kinara wa kukopa, kwa mujibu wa takwimu...

Mzee Mwakilembe: Nilianza na jembe, leo namiliki kiwanda cha Shaba

Na Mwandishi Wetu, Gazetini MZEE Benson Gabriel Mwakilembe, maarufu kwa jina la Tall, ni miongoni mwa wachimbaji wa madini waliogeuza changamoto kuwa fursa. Baada ya...

Ndoto ya kuunganisha Tanga na Pwani ya Afrika Mashariki mbioni

*Ujenzi wake wafikia asilimia 74.3 Na Mwandishi Wetu, Gazetini-Tanga UJENZI wa Daraja la Pangani mkoani Tanga, lenye urefu wa mita 525 pamoja na barabara unganishi na...

Megawati 90 kuongeza uchimbaji madini Chunya – “umeme safi, uwekezaji bora”

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Mkuu wa Wilaya ya Chunya, Mbarak Alhaji Batenga, amefafanua mikakati kabambe ya kuimarisha shughuli za uchimbaji madini wilayani humo, ikiwemo ujenzi...

Utafiti waonesha mafuta yanaweza kupatikana ndani ya Tanzania Bara

Na Mwandishi Wetu, Gazetini, Arusha UTAFITI unaofanyika katika mradi wa kimkakati wa Eyasi Wembere, unaolenga kutafuta mafuta na gesi katika Bonde la Ufa la Afrika...

Recent articles