Na Mwandishi Wetu, Gazetini
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu-Kazi, Ajira na Mahusiano, Deus Sangu, amewataka wamiliki wa viwanda na maeneo mengine ya kazi...
Na mwandishi wetu, Gazetini
UTAFITI wa Deutsche Bank umefuatilia maisha ya miji 69 duniani na kubaini tofauti iliyopo katika mishahara wanayolipwa wafanyakazi kila mwezi. Aidha,...
Na mwandishi wetu, Gazetini
Mabadiliko makubwa yanayoendelea ndani ya sekta ya nishati yanaanza kuibadili sura ya Jiji la Dar es Salaam, huku Serikali ikithibitisha kuwa...
Na mwandishi wetu, Gazetini
RIPOTI mpya ya jarida maarufu la Forbes inamtaja mfanyabiashara wa Tanzania, Mohamed 'Mo' Dewji, kuwa nafasi ya 12 katika orodha ya...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
SERIKALI imeendelea kuimarisha sekta ya nishati kupitia uwekezaji mkubwa wa zaidi ya Sh trilioni 13.5 katika miradi 41 ya umeme nchini,...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
WAZIRI wa Nishati, Deogratius Ndejembi, amesema Tanzania kwa sasa ina umeme wa kutosha, na kwamba ukamilifu wa Mradi wa Kufua Umeme...
Na mwandishi wetu, GazetiniDENI la Dunia limefikia Dola za Marekani trilioni 110.9 lakini zipo nchi zinazooneka kuwa kinara wa kukopa, kwa mujibu wa takwimu...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
MZEE Benson Gabriel Mwakilembe, maarufu kwa jina la Tall, ni miongoni mwa wachimbaji wa madini waliogeuza changamoto kuwa fursa. Baada ya...
*Ujenzi wake wafikia asilimia 74.3
Na Mwandishi Wetu, Gazetini-Tanga
UJENZI wa Daraja la Pangani mkoani Tanga, lenye urefu wa mita 525 pamoja na barabara unganishi na...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Mkuu wa Wilaya ya Chunya, Mbarak Alhaji Batenga, amefafanua mikakati kabambe ya kuimarisha shughuli za uchimbaji madini wilayani humo, ikiwemo ujenzi...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini, Arusha
UTAFITI unaofanyika katika mradi wa kimkakati wa Eyasi Wembere, unaolenga kutafuta mafuta na gesi katika Bonde la Ufa la Afrika...