24.7 C
Dar es Salaam

Uchumi

Mzee Mwakilembe: Nilianza na jembe, leo namiliki kiwanda cha Shaba

Na Mwandishi Wetu, Gazetini MZEE Benson Gabriel Mwakilembe, maarufu kwa jina la Tall, ni miongoni mwa wachimbaji wa madini waliogeuza changamoto kuwa fursa. Baada ya...

Ndoto ya kuunganisha Tanga na Pwani ya Afrika Mashariki mbioni

*Ujenzi wake wafikia asilimia 74.3 Na Mwandishi Wetu, Gazetini-Tanga UJENZI wa Daraja la Pangani mkoani Tanga, lenye urefu wa mita 525 pamoja na barabara unganishi na...

Megawati 90 kuongeza uchimbaji madini Chunya – “umeme safi, uwekezaji bora”

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Mkuu wa Wilaya ya Chunya, Mbarak Alhaji Batenga, amefafanua mikakati kabambe ya kuimarisha shughuli za uchimbaji madini wilayani humo, ikiwemo ujenzi...

Utafiti waonesha mafuta yanaweza kupatikana ndani ya Tanzania Bara

Na Mwandishi Wetu, Gazetini, Arusha UTAFITI unaofanyika katika mradi wa kimkakati wa Eyasi Wembere, unaolenga kutafuta mafuta na gesi katika Bonde la Ufa la Afrika...

Mramba: Miradi ya nishati itakuwa nguzo kuu kutimiza Dira ya Taifa 2050

Na Mwandishi Wetu, Gazetini KATIBU Mkuu wa Wizara ya Nishati, Mhandisi Felchesmi Mramba, amekutana na wataalamu kutoka Tume ya Taifa ya Mipango wakiongozwa na Naibu...

Utafiti mpya wa Shanta Gold waongeza matumaini ya dhahabu zaidi Chunya

Na Mwandishi Wetu, Gazetii- Chunya UPANUZI wa shughuli za uchimbaji uliofanyika katika eneo la Porcupine North umeongeza uhai wa Mgodi wa Shanta Gold – New...

TCCIA: Rostam Aziz ni mfano bora wa kuigwa kwa wawekezaji nchini

*Yagusia suala la Tancoal Na Mwandishi Wetu, Gazetini CHEMBA ya Biashara, Viwanda na Kilimo Tanzania (TCCIA) imetoa rai kwa Serikali kuweka sera madhubuti zitakazowawezesha Watanzania kushiriki...

Bandari ya Dar es Salaam yaanza kuhudumia meli kubwa zaidi

Na Mwandishi Wetu, Gazetini MALENGO ya Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) ya kuifanya Bandari ya Dar es Salaam kuwa kitovu (hub) cha kuhudumia...

Ofisi ya Makamu wa Rais, DMI waandaa kongamano uchumi wa buluu

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Ofisi ya Makamu wa Rais kwa kushirikiana na Chuo cha Bahari cha Dar es Salaam (DMI) imeandaa kongamano la kitaifa la...

Rais Mwinyi aipongeza GF kuibuka mshindi wa jumla Sabasaba

Na Mwandishi Wetu Kampuni ya Gf Trucks & Equipment imeibuka mshindi wa jumla katika Maonesho ya Biashara ya Kimataifa Sabasaba 2025 , kupitia kiwanda chake...

Tembocard ni Shwaa yampa gari Rahabu

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Benki ya CRDB imesema kampeni ya kuhamasisha matumizi ya kidigitali katika kufanya miamala kupitia kadi ya Tembocard imekuwa na mafanikio makubwa. Kampeni...

Makamu wa Rais atoa wito uboreshaji  mfumo wa fedha

Na Mwandishi Wetu Makamu wa Rais Dk. Philip Mpango ametoa wito wa kufanyika maboresho ya mfumo wa fedha na ufadhili wa maendeleo duniani ili kutoa...

Recent articles

spot_img