Ads: info@gazetini.co.tz |
23 C
Dar es Salaam

Uchumi

Tanzania yajipanga kuwa kitovu cha uwekezaji wa madini Afrika

Na mwandishi wetu, Gazetini KATIKA kuhakikisha kuwa Tanzania inaendelea kujiimarisha kama kitovu cha uwekezaji wa kimkakati barani Afrika, Serikali kupitia Wizara ya Madini imekaribisha kampuni...

PMM Estates (2001) Ltd: Nguzo ya huduma za bandari kavu na usafirishaji Tanzania

Na mwandishi wetu, Gazetini KWA zaidi ya miongo miwili sasa, kampuni ya PMM Estates (2001) Limited imeendelea kujijengea heshima kama moja ya taasisi muhimu katika...

India inavyochangamkia nafasi za ajira Urusi

NEW DELHI, India UHABA wa wafanyakazi unaoikumba Urusi kwa sasa umegeuka fursa kwa raia wa India, ambao sasa wanamimilika kwa wingi nchini humo.Raia wa India...

Visual| Makusanyo Sekta ya Madini wafikia Trilioni 1.07

Na mwandishi wetu, Gazetini WIZARA ya Madini imetangaza mafanikio makubwa katika utekelezaji wa ahadi na maelekezo ya Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, ndani ya siku...

Visual| Nchi zinazoongoza kwa Pikipiki ‘bodaboda’ duniani

Na mwandishi wetu, Gazetini PIKIPIKI ni chombo cha matairi matau kilichojizolea umaarufu mkubwa katika sekta ya usafirishaji. Wengi wanapoziita 'bodaboda' hulenga pikipiki za biashara, ingawa msingi...

Riccardo Leighton; Anavuna pesa nyingi kuwauzia magari mastaa EPL

LONDON, Uingereza Leighton ndiye anayewauzia magari mastaa wengi wa klabu. Miongoni mwao wachezaji aliochota fedha zao kwa kuwauzia 'mandinga' ya kifahari ni Harry Kane, John...

Apple yaiburuza Samsung mauzo ya simu

BEIJING, China BAADA ya miaka 14 ya kuwa nyuma ya Samsung kwa mauzo ya simu, kampuni ya Apple imeamka na kushika nafasi ya kwanza duniani. Kwa...

Miji 10 kinara kwa ubora wa maisha Afrika

Na mwandishi wetu, Gazetini MAISHA katika miji yote barani Afrika yanatofautiana, hiyo ikitokana na gharama za maisha, ikiwamo uwezo wa watu wake kufanya manunuzi. Haiishii hapo....

Visual| Utajiri wa mafuta Venezuela: Hadithi ya ahadi na uhalisia

Na mwandishi wetu, Gazetini VENEZUELA inaendelea kushika nafasi ya kwanza duniani kwa utajiri wa akiba ya rasilimali ya mafuta, licha ya changamoto kubwa za kiuchumi...

Visual| Mabilionea 10 walioishika Dunia

Na mwandishi wetu, Gazetini KWA mujibu wa Jarida maarufu la Forbes, mfanyabiashara wa Marekani, Elon Musk, ndiye binadamu mwenye fedha nyingi zaidi duniani. Utajiri wake...

Tanzania yasisitiza uongezaji thamani madini barani Afrika

Riyadh, Saudi Arabia NAIBU Waziri wa Madini, Dk. Steven Kiruswa, amesema Tanzania imetambua shughuli za uongezaji thamani madini kama nguzo muhimu ya kuleta maendeleo endelevu...

Megawati 50 za umeme jua Kishapu kuingia gridini, mradi wafikia asilimia 89

Na mwandishi wetu, Gazetini NAIBU Waziri wa Nishati, Salome Makamba, amesema Mradi wa Umeme wa Jua unaotekelezwa Kishapu, mkoani Shinyanga, uko katika hatua za mwisho...

Recent articles