Ads: info@gazetini.co.tz |
23.7 C
Dar es Salaam

Uchumi

Mramba: Miradi ya nishati itakuwa nguzo kuu kutimiza Dira ya Taifa 2050

Na Mwandishi Wetu, Gazetini KATIBU Mkuu wa Wizara ya Nishati, Mhandisi Felchesmi Mramba, amekutana na wataalamu kutoka Tume ya Taifa ya Mipango wakiongozwa na Naibu...

Utafiti mpya wa Shanta Gold waongeza matumaini ya dhahabu zaidi Chunya

Na Mwandishi Wetu, Gazetii- Chunya UPANUZI wa shughuli za uchimbaji uliofanyika katika eneo la Porcupine North umeongeza uhai wa Mgodi wa Shanta Gold – New...

TCCIA: Rostam Aziz ni mfano bora wa kuigwa kwa wawekezaji nchini

*Yagusia suala la Tancoal Na Mwandishi Wetu, Gazetini CHEMBA ya Biashara, Viwanda na Kilimo Tanzania (TCCIA) imetoa rai kwa Serikali kuweka sera madhubuti zitakazowawezesha Watanzania kushiriki...

Bandari ya Dar es Salaam yaanza kuhudumia meli kubwa zaidi

Na Mwandishi Wetu, Gazetini MALENGO ya Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) ya kuifanya Bandari ya Dar es Salaam kuwa kitovu (hub) cha kuhudumia...

Ofisi ya Makamu wa Rais, DMI waandaa kongamano uchumi wa buluu

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Ofisi ya Makamu wa Rais kwa kushirikiana na Chuo cha Bahari cha Dar es Salaam (DMI) imeandaa kongamano la kitaifa la...

Rais Mwinyi aipongeza GF kuibuka mshindi wa jumla Sabasaba

Na Mwandishi Wetu Kampuni ya Gf Trucks & Equipment imeibuka mshindi wa jumla katika Maonesho ya Biashara ya Kimataifa Sabasaba 2025 , kupitia kiwanda chake...

Tembocard ni Shwaa yampa gari Rahabu

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Benki ya CRDB imesema kampeni ya kuhamasisha matumizi ya kidigitali katika kufanya miamala kupitia kadi ya Tembocard imekuwa na mafanikio makubwa. Kampeni...

Makamu wa Rais atoa wito uboreshaji  mfumo wa fedha

Na Mwandishi Wetu Makamu wa Rais Dk. Philip Mpango ametoa wito wa kufanyika maboresho ya mfumo wa fedha na ufadhili wa maendeleo duniani ili kutoa...

Visual| Sekta ya Madini ilivyovuka lengo la Trilioni 1 kabla ya wakati

Na Mwandishi Wetu, Gazetini-Dodoma Katibu Mkuu wa Wizara ya Madini, Mhandisi Yahya Samamba, amesema kuwa hadi kufikia Juni 28, 2025 — zikiwa zimebaki siku chache...

Dk. Biteko ataka  Afrika kupewa uhuru wa kuzalisha nishati kwa kutumia rasilimali zilizopo

Na Mwandishi Maalum Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati,  Dk. Doto Biteko ametoa wito kwa nchi za Afrika kupewa uhuru wa kuzalisha nishati kwa...

RC Mtambi aipongeza Halmashauri ya Serengeti kwa Hati inayoridhisha ya CAG

Na Malima Lubasha, Gazetini – Serengeti Mkuu wa Mkoa wa Mara, Kanali Evans Mtambi, ameipongeza Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti kwa kupata hati inayoridhisha katika...

NIC yajivunia dhamana ya bilioni 292, RC Mtanda aipa mtihani

Na Mwandishi wetu, Mwanza Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Bima la Taifa (NIC), Justine Mwandu amesema kwa sasa shirika lina mtaji mkubwa...

Recent articles