29.2 C
Dar es Salaam

Uchumi

Visual| Utajiri wa mafuta Venezuela: Hadithi ya ahadi na uhalisia

Na mwandishi wetu, Gazetini VENEZUELA inaendelea kushika nafasi ya kwanza duniani kwa utajiri wa akiba ya rasilimali ya mafuta, licha ya changamoto kubwa za kiuchumi...

Visual| Mabilionea 10 walioishika Dunia

Na mwandishi wetu, Gazetini KWA mujibu wa Jarida maarufu la Forbes, mfanyabiashara wa Marekani, Elon Musk, ndiye binadamu mwenye fedha nyingi zaidi duniani. Utajiri wake...

Tanzania yasisitiza uongezaji thamani madini barani Afrika

Riyadh, Saudi Arabia NAIBU Waziri wa Madini, Dk. Steven Kiruswa, amesema Tanzania imetambua shughuli za uongezaji thamani madini kama nguzo muhimu ya kuleta maendeleo endelevu...

Megawati 50 za umeme jua Kishapu kuingia gridini, mradi wafikia asilimia 89

Na mwandishi wetu, Gazetini NAIBU Waziri wa Nishati, Salome Makamba, amesema Mradi wa Umeme wa Jua unaotekelezwa Kishapu, mkoani Shinyanga, uko katika hatua za mwisho...

Sangu: Wenye viwanda imarisheni afya na usalama wa wafanyakazi

Na Mwandishi Wetu, Gazetini WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu-Kazi, Ajira na Mahusiano, Deus Sangu, amewataka wamiliki wa viwanda na maeneo mengine ya kazi...

Miji inayoongoza kwa mabilionea wengi duniani

Na mwandishi wetu, Gazetini NEW YORK ndiyo Mji unaoongoza kwa kuwa na mabilionea wengi duniani, kwa mujibu wa Jarida maarufu la Forbes. Mji huo wa...

Miji inayoongoza kwa mishahara minono duniani

Na mwandishi wetu, Gazetini UTAFITI wa Deutsche Bank umefuatilia maisha ya miji 69 duniani na kubaini tofauti iliyopo katika mishahara wanayolipwa wafanyakazi kila mwezi. Aidha,...

Kinyerezi 1 Extension kubadili sura ya Dar es Salaam

Na mwandishi wetu, Gazetini Mabadiliko makubwa yanayoendelea ndani ya sekta ya nishati yanaanza kuibadili sura ya Jiji la Dar es Salaam, huku Serikali ikithibitisha kuwa...

Mo’ Dewji bado yumo, Dangote aongoza tena utajiri Afrika

Na mwandishi wetu, Gazetini RIPOTI mpya ya jarida maarufu la Forbes inamtaja mfanyabiashara wa Tanzania, Mohamed 'Mo' Dewji, kuwa nafasi ya 12 katika orodha ya...

Serikali yawekeza Tril. 13.5 kuboresha umeme, yazindua mita janja

Na Mwandishi Wetu, Gazetini SERIKALI imeendelea kuimarisha sekta ya nishati kupitia uwekezaji mkubwa wa zaidi ya Sh trilioni 13.5 katika miradi 41 ya umeme nchini,...

Ndejembi: Tanzania sasa ina umeme wa kutosha, mgao utabaki historia

Na Mwandishi Wetu, Gazetini WAZIRI wa Nishati, Deogratius Ndejembi, amesema Tanzania kwa sasa ina umeme wa kutosha, na kwamba ukamilifu wa Mradi wa Kufua Umeme...

Mataifa yanayoongoza kwa madeni duniani

Na mwandishi wetu, GazetiniDENI la Dunia limefikia Dola za Marekani trilioni 110.9 lakini zipo nchi zinazooneka kuwa kinara wa kukopa, kwa mujibu wa takwimu...

Recent articles

spot_img