27.1 C
Dar es Salaam

AFYA

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Waziri wa Afya, Jenista Mhagama amelitaka Baraza la Tiba Asili na Tiba Mbadala nchini kujikita katika tafiti za dawa za tiba asili na mbadala na kuzitumia tafiti hizo ili zilete mchango kwenye sekta...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amewataka viongozi kote nchini kuweka maslahi ya wananchi mbele na kuacha migogoro inayotokana na ubinafsi wao. “Hawa Watanzania hawataki migogoro yetu sisi viongozi na...

Mjumbe Maalum wa Rais Samia, Jakaya Kikwete akutana na Rais wa Burkina Faso

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Mjumbe Maalum wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, Rais mstaafu Dk. Jakaya Mrisho Kikwete, amehitimisha...

Urejelezwaji usio salama wa betri chakavu watajwa kuathiri mazingira na afya ya binadamu

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Imeelezwa kuwa urejelezwaji wa betri chakavu bila kuzingatia miongozo ya kimazingira ni chanzo kikubwa cha uchafuzi wa mazingira na huweza kusababisha...

Mabadiliko ya tabianchi yanavyotishia ustawi wa ndoto za watoto Tanzania

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Mabadiliko ya tabianchi ni changamoto inayoendelea kuathiri maisha ya watu duniani kote, hasa watoto ambao ni miongoni mwa makundi yaliyo hatarini...

TACAIDS yakutanisha wadau kujadili matokeo ya Tafiti za VVU na UKIMWI

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS) imewakutanisha wadau wa taasisi zinazofanya tafiti kuhusu VVU na UKIMWI nchini kujadili matokeo ya tafiti...

Wataalamu waonywa matumizi ya madini ya zebaki kuziba meno

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Wataalamu wa afya ya kinywa na meno kutoka nchi za Afrika Mashariki wameaswa kuacha matumizi ya dawa za kuziba meno zenye...

Rais Samia avaa viatu vya Mwalimu G20

Na Absalom Kibanda, Rio de Janeiro-Brazil RAIS Samia Suluhu Hassan ameyataka mataifa tajiri duniani ya kundi la G20 kutafakari upya namna bora ya kukabiliana...

TACAIDS yahimizwa kuongeza kasi ya huduma za VVU na UKIMWI kwa jamii za wavuvi

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Afya na Masuala ya UKIMWI imeitaka Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS) kuongeza juhudi katika...

Serikali yasisitiza umuhimu wa kuondoa madini ya risasi kwenye rangi

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Shirika la Viwango Tanzania (TBS) limeendelea kuhimiza hatua za kuondoa madini ya risasi kwenye rangi, likisisitiza madhara makubwa ya kemikali hiyo...

DCEA inavyodhibiti kilimo cha bangi Mara

*Wananchi wakubali yaishe Na Mwandishi Wetu, Gazetini Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya Tanzania (DCEA), ikishirikiana na Vyombo vya Ulinzi na Usalama, ikiwa...

VETA, TACAIDS kushirikiana kuwanusuru vijana na maambukizi ya VVU

Na Mwandishi Wetu, GazetiniMamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) na Tume ya Taifa ya Kudhibiti UKIMWI (TACAIDS), Septemba 23, 2024, wamesaini...

Serikali yawekeza Bilioni 1.49 kutatua changamoto ya maji Kibondo

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Serikali kupitia Mamlaka ya Maji Kibondo imetenga zaidi ya shilingi bilioni 1.49 katika mwaka wa fedha 2022/23 kwa ajili ya ujenzi...

60% ya visa vya Mpox DRC ni watoto chini ya miaka 15 – Afrika CDC

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Kituo cha Kudhibiti Magonjwa Afrika (Africa CDC) kimeeleza wasiwasi kuhusu kuongezeka kwa visa vya ugonjwa wa Mpox barani Afrika. Katika mkutano...

Recent articles

spot_img