Na mwandishi wetu, Gazetini
MIAKA ya hivi karibuni imeshuhudia migogoro mingi ya wanamuziki wa Bongo Fleva na mabosi wa lebo zao.
Mfano wa hivi karibuni ni hiki kinachoendelea sasa kati ya msanii Mac Voice na lebo ya Next...
Na mwandishi wetu, Gazetini
NI rahisi kuona watu wakikuwekea chuki na wivu kwa vile tu umefanikiwa, bila kujua umepitia shida nyingi kufika hapo ulipo. Wanachukulia poa tu!
Akiwa hana baba, pesa wala tumaini, hakuna aliyejua kama leo hii...
Na mwandishi wetu, Gazetini
SARATANI ya utumbo mpana inatajwa kuwa ndiyo aina ya saratani inayoongoza kwa idadi kubwa ya vifo kwa watu wenye umri chini...
KIGALI, Rwanda
ILIKUWA ni Januari, 2020, ambapo akiwa anatoka saluni katika mitaa ya mjini Kigali, Janvier Igabe alikutana na mwanadada Josiane Tuyishimire.
Baada ya mazungumzo, walikubaliana...
Na mwandishi wetu, Gazetini
DUNIA inakwenda kasi. Maendeleo ya sayansi na teknolojia yanaibua gunduzi zinazorahisha na kuleta ufanisi wa shughuli mbalimbali.
Kwa sasa, fani ya udaktari...
Na mwandishi wetu, Gazetini
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Ajira na Mahusiano), Deus Sangu, amezindua kampeni ya mafunzo kwa wajasiriamali wadogo ambayo...
Na mwandishi wetu, Gazetini
HUENDA ukawa unachukulia poa, lakini tabia ya kufuatilia kila anachoweka mpenzi wako wa zamani (ex) huko mitandaoni kunaweza kukusababisha matatizo ya...
LUSAKA, Zambia
FAMILIA ya Rais wa zamani wa Zambia, Edgar Lungu, imekanusha madai kuwa mwanasiasa huyo alikuwa kwa sumu.
Lungu hajazikwa tangu alipofariki Juni, 2025 akiwa...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
WAKALA wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) umezindua mpango wake wa kushirikiana na Maafisa Biashara wa Mikoa na Wilaya...
LOS ANGELES, Marekani
KAMPUNI maarufu ya Animorph Co-operative imemtambulisha mawani ya kisasa, ambayo yatawasaidia wanaokabiliwa na ugonjwa wa kupoteza kumbukumbu (dementia).
Hata hivyo, Szczepan Orlins, ambaye...
HARARE, Zimbabwe
WANANCHI wa Zimbabwe wamepokea kwa mwitiko mkubwa Bima ya Mazishi, ikiwa ni baada ya kushindwa kumudu gharama za Bima ya Afya.
Ifahamike kuwa Bima...
Na mwandishi wetu, Gazetini
IDADI ya watu 'wanaojichua' imeongezeka kwa kasi nchini Uingereza, huku wengi wao wakiwa ni wanaume, licha ya wanawake pia kujihusisha na...
KIGALI, Rwanda
KWA miaka ya hivi karibuni, Rwanda imewekeza vya kutosha katika kukabiliana na ugonjwa wa Ukimwi, takwimu zinaeleza.
Kwa mwaka 2024, maambukizi mapya ya virusi...