23 C
Dar es Salaam

AFYA

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Serikali kupitia Mamlaka ya Maji Kibondo imetenga zaidi ya shilingi bilioni 1.49 katika mwaka wa fedha 2022/23 kwa ajili ya ujenzi wa tanki la maji lenye uwezo wa kuhifadhi lita 1,500,000, ambalo ujenzi...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini Chama cha Waandishi wa Habari za Mazingira Tanzania (JET) kilifanya mafunzo maalum Septemba 5-6, 2024 kwa wahariri zaidi ya 20 huko Bagamoyo, Pwani, juu ya namna bora ya kuripoti migongano baina ya binadamu...

Utafiti| Asilimia 15 ya wagonjwa wa VVU wana kiwango cha juu cha sukari

Na Nora Damian, Gazetini Utafiti uliofanywa na Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) umebaini asilimia 15 ya wagonjwa wenye Virusi vya UKIMWI...

Ripoti| Wagonjwa wa afya ya akili wanaongezeka nchini

Na Grace Mwakalinga, Gazetini KATI ya mikoa  28 iliyopo nchini, mikoa mitano ndio yenye vituo vinavyotoa huduma ya utengamo wa afya ya akili ikiwemo Dodoma...

Kili Challenge 2024 yanzinduliwa, mafanikio yake yatajwa

*TACAIDS yawashukuru wadau wanaoungana na serikali katika jitihada za kudhibiti maambukizi ya VVU Na Nadhifa Omar, TACAIDS Kampeni maarufu ya kuchangisha fedha za UKIMWI ya Kili...

Visual| Ufahamu mradi wa kusambaza gesi asilia-Mini LNG

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Tanzania inaendelea kuchukua hatua muhimu katika kuhakikisha kuwa asilimia 80 ya Watanzania wanatumia nishati safi ya kupikia ifikapo mwaka 2033. Hatua hiyo...

GGML, OSHA yawanoa bodaboda 200 Arusha, Ndejembi awafunda

Na Mwandishi Wetu, Gazetini ZAIDI ya madereva bodaboda 200 wa jiji la Arusha wamepatiwa mafunzo maalum ya usalama na afya kwa lengo la kuwajengea uwezo...

200 wapimwa afya na GGML katika maonesho ya OSHA

Na Mwandishi Wetu, Gazetini-Arusha ZAIDI ya watu 200 jijini Arusha wamejitokeza kupimwa afya na Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) na kati yao kubainika...

Dk. Biteko: Mtu wa kwanza kujali usalama wake ni mwajiriwa

*Asisitiza umuhimu wa elimu ya usalama mahala pa kazi *Aipongeza OSHA kuboresha utendaji, ahimiza uhifadhi wa mazingira Na Mwandishi Wetu, Arusha Naibu Waziri Mkuu na...

Chart| Tanzania ilivyoshusha maambukizi ya VVU

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Tanzania ni kati ya nchi chache barani Afrika ambazo zinafanya vema katika kupambana na janga la UKIMWI ambapo Takwimu zinaonyesha kuwa...

Biteko atembelea banda la GGML maonesho OSHA, aipongeza kudhibiti vifo mahala pa kazi

Na Mwandishi Wetu, Gazetini NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko ameipongeza Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kwa kufanikiwa kudhibiti...

GGML yaja na teknolojia za kisasa maonesho ya OSHA Arusha

Na Mwandishi Wetu, Arusha KATIKA kuelimisha wananchi na washiriki wa maonesho ya usalama na afya mahali pa kazi namna ya kuzingatia usalama wawapo katika shughuli...

Bodi ya Hospitali ya UDOM yavutiwa ujenzi wa jengo la vipimo vya mionzi

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Bodi ya Hospitali ya Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), imefanya ziara ya kukagua huduma za Hospitali zinazotolewa na Chuo hicho kwa wanafunzi...

“2024 Shincheonji’s Bible Seminars by Continent Asia I – Philippines”

Chairman Lee Man-hee: 'My mission is to testify to the events of Revelation as I have heard and seen them.'" Shincheonji Chairman Lee Man-hee Delivers a...

Recent articles

spot_img