23.9 C
Dar es Salaam

AFYA

Na Mwandishi Wetu Rais wa Finland, Alexander Stubb leo Mei 16, 2025 akiwa katika muendelezo wa ziara yake hapa nchini ametembelea Soko la Machinga Complex Ilala Jijini Dar es Salaam kujionea uzalishaji wa bidhaa mbalimbali zinazozalishwa na...
Na Mwandishi Wetu Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza limesema linamshikilia na kumhoji Diana Bundala maarufu Mfalme Zumaridi kwa tuhuma za kuyageuza makazi yake kuwa kanisa na kuendesha shughuli za kidini bila usajili, kufanya mahubiri kwa waumini...

Madaktari bingwa 50 waweka kambi Singida

Na Mwandishi wetu, Gazetini Katibu Tawala wa Mkoa wa Singida Dk. Fatma Mganga amewapokea madaktari bingwa na bingwa bobezi 50 wa Rais Samia na kuwataka...

Serikali yasisitiza utamaduni wa kujikinga na ajali mahali pa kazi  

*Yaadhimisha Siku ya Usalama na Afya Duniani mkoani Singida Na Mwandishi Wetu, Gazetini-Singida Serikali imetoa wito kwa waajiri, wafanyakazi na wananchi kwa ujumla kujenga utamaduni wa...

Zuhura ahimiza wafanyakazi kushiriki michezo ili kujenga afya

Mwandishi Wetu, Gazetini-Singida Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Zuhura Yunus, amewahimiza wafanyakazi wa sekta mbalimbali nchini kujenga...

Jaji Kiongozi apongeza ushirikiano wa Mahakama na OSHA katika kukuza usalama na afya mahali pa kazi

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Dk. Mustapher Siyani, amepongeza ushirikiano unaoendelea baina ya Mahakama na Wakala wa Usalama na...

Baraza la tiba asili na tiba mbadala latakiwa kutumia tafiti kuleta mchango sekta ya afya

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Waziri wa Afya, Jenista Mhagama amelitaka Baraza la Tiba Asili na Tiba Mbadala nchini kujikita katika tafiti za dawa za tiba...

DCEA yakamata kilo 4,568 za dawa za kulevya

*Tani 14 kemikali bashirifu zazuiwa kuingia nchini Na Mwandishi Wetu, Gazetini Mamlaka  ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA), kwa kushirikiana na vyombo mbalimbali vya...

Mjumbe Maalum wa Rais Samia, Jakaya Kikwete akutana na Rais wa Burkina Faso

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Mjumbe Maalum wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, Rais mstaafu Dk. Jakaya Mrisho Kikwete, amehitimisha...

Urejelezwaji usio salama wa betri chakavu watajwa kuathiri mazingira na afya ya binadamu

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Imeelezwa kuwa urejelezwaji wa betri chakavu bila kuzingatia miongozo ya kimazingira ni chanzo kikubwa cha uchafuzi wa mazingira na huweza kusababisha...

Mabadiliko ya tabianchi yanavyotishia ustawi wa ndoto za watoto Tanzania

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Mabadiliko ya tabianchi ni changamoto inayoendelea kuathiri maisha ya watu duniani kote, hasa watoto ambao ni miongoni mwa makundi yaliyo hatarini...

TACAIDS yakutanisha wadau kujadili matokeo ya Tafiti za VVU na UKIMWI

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS) imewakutanisha wadau wa taasisi zinazofanya tafiti kuhusu VVU na UKIMWI nchini kujadili matokeo ya tafiti...

Wataalamu waonywa matumizi ya madini ya zebaki kuziba meno

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Wataalamu wa afya ya kinywa na meno kutoka nchi za Afrika Mashariki wameaswa kuacha matumizi ya dawa za kuziba meno zenye...

Rais Samia avaa viatu vya Mwalimu G20

Na Absalom Kibanda, Rio de Janeiro-Brazil RAIS Samia Suluhu Hassan ameyataka mataifa tajiri duniani ya kundi la G20 kutafakari upya namna bora ya kukabiliana...

Recent articles

spot_img