Na Mwandishi Wetu
Rais wa Finland, Alexander Stubb leo Mei 16, 2025 akiwa katika muendelezo wa ziara yake hapa nchini ametembelea Soko la Machinga Complex Ilala Jijini Dar es Salaam kujionea uzalishaji wa bidhaa mbalimbali zinazozalishwa na...
Na Mwandishi Wetu
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza limesema linamshikilia na kumhoji Diana Bundala maarufu Mfalme Zumaridi kwa tuhuma za kuyageuza makazi yake kuwa kanisa na kuendesha shughuli za kidini bila usajili, kufanya mahubiri kwa waumini...
Na Mwandishi wetu, Gazetini
Katibu Tawala wa Mkoa wa Singida Dk. Fatma Mganga amewapokea madaktari bingwa na bingwa bobezi 50 wa Rais Samia na kuwataka...
*Yaadhimisha Siku ya Usalama na Afya Duniani mkoani Singida
Na Mwandishi Wetu, Gazetini-Singida
Serikali imetoa wito kwa waajiri, wafanyakazi na wananchi kwa ujumla kujenga utamaduni wa...
Mwandishi Wetu, Gazetini-Singida
Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Zuhura Yunus, amewahimiza wafanyakazi wa sekta mbalimbali nchini kujenga...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Dk. Mustapher Siyani, amepongeza ushirikiano unaoendelea baina ya Mahakama na Wakala wa Usalama na...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Waziri wa Afya, Jenista Mhagama amelitaka Baraza la Tiba Asili na Tiba Mbadala nchini kujikita katika tafiti za dawa za tiba...
*Tani 14 kemikali bashirifu zazuiwa kuingia nchini
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA), kwa kushirikiana na vyombo mbalimbali vya...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Mjumbe Maalum wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, Rais mstaafu Dk. Jakaya Mrisho Kikwete, amehitimisha...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Imeelezwa kuwa urejelezwaji wa betri chakavu bila kuzingatia miongozo ya kimazingira ni chanzo kikubwa cha uchafuzi wa mazingira na huweza kusababisha...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Mabadiliko ya tabianchi ni changamoto inayoendelea kuathiri maisha ya watu duniani kote, hasa watoto ambao ni miongoni mwa makundi yaliyo hatarini...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS) imewakutanisha wadau wa taasisi zinazofanya tafiti kuhusu VVU na UKIMWI nchini kujadili matokeo ya tafiti...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Wataalamu wa afya ya kinywa na meno kutoka nchi za Afrika Mashariki wameaswa kuacha matumizi ya dawa za kuziba meno zenye...
Na Absalom Kibanda, Rio de Janeiro-Brazil
RAIS Samia Suluhu Hassan ameyataka mataifa tajiri duniani ya kundi la G20 kutafakari upya namna bora ya kukabiliana...