29.2 C
Dar es Salaam

Jamii

Wapenzi waliotenganishwa na vita kwa miaka zaidi miwili waungana tena

YERUSALEMU, Israel Wapenzi wa Israel walioitwa ‘Romeo na Juliet’ wameungana tena baada ya zaidi ya miaka miwili tangu kutenganishwa na mashambulizi ya Hamas. Noa Argamani, aliyekuwa...

IWPG Global Region 2 Discusses International Cooperation with the AU, CIEFFA

During the “2025 World Women’s Peace Conference” held at Enford Hotel in Cheongju, Chungbuk, the International Women’s Peace Group (IWPG) Global Region 2 (Director...

Huduma duni na ukatili wa kijinsia watajwa kuvuruga haki ya uzazi vijijini

Na Samwel Mwanga, Maswa KATIKA jamii nyingi za vijijini nchini Tanzania, hususan katika wilaya ya Maswa mkoani Simiyu, masuala ya haki ya uzazi na ukatili...

Mafuriko yazuia safari za ndege Hispania

MADRID, HispaniaMVUA kubwa zinazoendelea kunyesha na kusababisha mafuriko zimeathiri safari za ndege nchini Hispania.Kwa mujibu wa taarifa, mafuriko hayo yameikumba mikoa ya Kusini-Mashariki mwa...

Inashangaza kuona hakuna anayejali, maisha yanaendelea!

Na Hassan Mwasha, GazetiniTUMEKUWA tukiishi kwa mazoea hata katika mambo yanayoweza kuhatarisha maisha yetu. Cha kushangaza, hakuna anayejali. Tuko 'bize' kwa lipi wakati maisha...

Polisi wanasa mtandao wa wezi wa simu

LONDON,UingerezaOPERESHENI kubwa ya polisi nchini Uingereza imefanikiwa kunasa genge linalojihusisha na uhalifu wa wizi simu.Kwa mujibu wa taarifa ya polisi, mtandao huo unahusika katika...

DCEA: Tumeanza kuwasaka mapapa waliojificha nje ya Nchi

Na Mwandishi Wetu, Gazetini MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imeteketeza zaidi ya tani nne za dawa za kulevya zilizokuwa zikihifadhiwa...

‘Bluetoothing’ yageuka janga Fiji, maambukizi ya VVU yaongezeka mara kumi

Suva, FIJI Fiji sasa inakabiliwa na mlipuko mkubwa wa Virusi vya Ukimwi (VVU), huku wataalamu wakionya kuwa nchi hiyo iko katika “dhoruba kamili” ya kiafya...

Global Women Leaders Unite for Peace at IWPG 2025 Conference

Cheongju, SOUTH KOREA Women leaders from across the world, many from nations affected by war and instability, gathered to strengthen their role in global...

RC Mara apongeza taasisi ya Nyansaho Foundation kwa kuchochea maendeleo

Na Malima Lubasha, Gazetini-Serengeti Mkuu wa Mkoa wa Mara, Kanali Evans Mtambi, ameipongeza Taasisi ya Nyansaho Foundation kwa mchango wake mkubwa katika maendeleo ya jamii,...

Usiyoyajua kuhusu Askofu Mkuu wa kwanza mwanamke Kanisa la Anglikana

LONDON, UingerezaKANISA la Anglikana limeandika historia baada ya kumteua Dame Sarah Mullally kuwa Askofu Mkuu wa Canterbury, akiwa ni mwanamke wa kwanza kushika nafasi...

Kanisa la Anglikana lavunja mwiko wa miaka 500

London, UINGEREZA KWA mara ya kwanza tangu kuanzishwa kwake takribani miaka 500 iliyopita, Kanisa la Anglikana limeandika historia mpya baada ya kumteua, Dame Sarah Mullally...

Recent articles

spot_img