Na Hassan Mwasha, Gazetini
KELELE za kukera, kama si za kuchefu kabisa, zinakita kwenye ngoma za masikio yangu. Kelele zinazojirudia, zinazochefua na kunipa picha ya...
Na mwandishi wetu, Gazetini
KILA ifikapo Desemba ya kila mwaka, maandalizi na shamrashamra za Sikukuu ya Krismas huonekana wazi katika maeneo mengi duniani.
Tofauti na miezi...
Na mwandishi wetu, Gazetini
KIINGEREZA kimeendelea kuwa lugha yenye ushawishi mkubwa duniani, ikitajwa kuwa ndiyo iliyokuwa na wazungumzaji wengi zaidi kwa mwaka 2025.
Ni kwa mujibu...
Na mwandishi wetu, Gazetini
NDOA za utotoni, zinazofafanuliwa kama ndoa inayohusisha mmoja au wote wawili walio chini ya umri wa miaka 18, bado ni tatizo...
PARIS, Ufaransa
Mahakama ya Paris imewatia hatiani watu kumi kwa tuhuma za unyanyasaji wa mtandaoni dhidi ya mke wa Rais wa Ufaransa, Brigitte Macron, baada...
Na mwandishi wetu, Gazetini
MIMBA zisizotarajiwa ni janga linalopuuzwa, licha ya ukubwa wake duniani kote, kwa mujibu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Idadi...
MOMBASA, Kenya
TEMBO maarufu nchini Kenya amefariki akiwa na umri wa miaka 54, akikumbukwa kwa heshima aliyokuwa nayo ya ubalozi wa kampuni ya bia ya...
MEXICO CITY, Mexico
WATU wawili wameripotiwa kupoteza maisha kutokana na tetemeko la ardhi lililotokea Kusini mwa Mexico jana Januari 2, 2026.
Kwa mujibu wa kile kikichoelezwa...
KILOSA, Morogoro
OFISI ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) kupitia Idara ya Menejimenti ya Maafa, leo Januari 2, 2026, imekabidhi vifaa mbalimbali...
Na Imani Nathaniel, Gazetini
VIONGOZI wa dini wametakiwa kutumia lugha njema wanapohubiri ili kuimarisha umoja wa kitaifa na kuzuia migawanyiko inayoweza kusababisha machafuko miongoni mwa...
Na Iman Nathaniel, Gazetini
KAMPUNI ya Halotel kupitia kitengo cha HaloPesa imefanya ziara katika kituo cha watoto yatima cha Maunga Orphanage Centre, kilichopo Kinondoni, Jijini...