28.7 C
Dar es Salaam

Jamii

Mataifa yanayoongoza kwa watu wake kuwa ‘singo’

Na mwandishi wetu, GazetiniJAPAN inatajwa na tafiti mbalimbali kuwa asilimia 40 ya raia wake hawako kwenye mahusiano ya kimapenzi. Kwamba si tu hawako kwenye...

Serikali yaboresha mfumo wa kukabiliana na majanga ya msimu

Na Mwandishi Wetu, Gazetini MKURUGENZI wa Idara ya Menejimenti ya Maafa, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), Brigedia Jenerali Hosea Ndagala, amewataka washiriki...

Singapore yaongoza kwa usalama duniani

Na mwandishi wetu, GazetiniUTAFITI wa hivi karibuni uliofanywa katika mataifa 144 duniani umeitaja Singapore kuwa ndiyo kinara linapokuja suala la usalama.Singapore, Taifa la barani...

Kinga ya Ukimwi ilivyozua gumzo Zimbabwe

HARARE, Zimbabwe IFAHAMIKE kuwa Zimbabwe ni miongoni mwa mataifa 10 duniani yaliyochaguliwa kupokea kinga ya ugonjwa wa Ukimwi ya Lenacapavir. Hata hivyo, wakati wataalamu wa...

Kwanini paka weusi huhusishwa na imani za kishirikina?

Na mwandishi wetu, GazetiniUKIWA kwenye mizunguko yako, hasa nyakati za usiku, ghafla anakatiza paka mweusi mbele yako. Bila shaka, utaanza kuhisi hatari inayohusiana na...

Dk. Judith Spendi: Uchumi na maendeleo yetu vimejengwa juu ya amani ya Tanzania

Mwandishi Wetu, Gazetini ZIKIWA zimesalia siku chache kabla ya Watanzania kushiriki Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, wito wa kudumisha amani na mshikamano umeendelea kutolewa...

Polisi Dar yaonya vurugu wakati wa uchaguzi

Na Mwandishi Wetu, Gazetini IKIWA zimesalia siku chache kabla ya Tanzania kufanya uchaguzi mkuu, Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro,...

OSHA yahimiza viongozi wa wafanyakazi kulinda afya na usalama kazini

Na Mwandishi Wetu, Gazetini VIONGOZI wa Chama cha Wafanyakazi wa Serikali na Afya (TUGHE) wa Mkoa wa Dar es Salaam wapatao 180 wamepatiwa mafunzo ya...

Halopesa yatoa msaada wa viti mjongeo Hospitali ya Mwananyamala

Na Imani Nathanieli Katika kuadhimisha miaka tisa, Kampuni ya Mawasiliano ya Halotel kupitia huduma ya kifedha ya Halopesa, imetoa msaada wa viti mjongeo 15 kwa...

Utafiti: Sokwe nao ni walevi wa pombe kama binadamu

Na Hassan Mwasha, GazetiniKAMA ulidhani binadamu ndiye kiumbe pekee kinachotumia kilevi aina ya pombe hapa duniani kwa ajili ya starehe au kupoteza mawazo, basi...

Afrika Kusini na harakati za kupiga marufuku biashara ya ukahaba

PRETORIA, Afrika KusiniAFRIKA Kusini inaweza kuwa Taifa la kwanza barani Afrika kupitisha sheria inayopiga marufuku biashara ya ukahaba, ingawa ugumu wa maisha, hasa kwa...

Tamthilia Azam TV; Uhondo umeanzia walipoishia ITV

Na mwandishi wetu, GazetiniLEO hii, kama ni 'mateka' wa tamthilia za Tanzania zinazorushwa na Azam TV, basi tunaweza kusema unaiishi dunia yenye kumbukumbu nzuri...

Recent articles

spot_img