LAGOS, Nigeria
WATOTO wengine 130 waliokuwa wametekwa na waasi mwezi uliopita nchini Nigeria wameachiwa na kuungana na familia zao.
Ikumbukwe, watoto hao ni miongoni mwa wanafunzi...
Na mwandishi wetu, Gazetini
KILA ifikapo Desemba ya kila mwaka, maandalizi na shamrashamra za Sikukuu ya Krismas huonekana wazi katika maeneo mengi duniani.
Tofauti na miezi...
Na mwandishi wetu, Gazetini
DUNIA imewahi kushuhudia matukio mengi ya waandamanaji wakipinga viongozi na hata serikali zao pale walipoona mambo hayaendi kama wanavyotaka au walivyotarajia.
Lakini,...
SHATILA, Lebanon
LEBANON imetajwa na watetezi wa haki za binadamu kuwa ni 'jehanamu' kwa baadhi ya raia wa kigeni wanaoingia nchini humo kwa lengo la...
Na mwandishi wetu, Gazetini
WAKATI huu raia wengi wakiwa bado hawana makazi, mvua kubwa iliyonyesha kwa takribani wiki moja imesababisha hali kuwa mbaya zaidi.
Msemaji wa...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
JESHI la Polisi Mkoa wa Morogoro limesema linachunguza tukio la kuchoma moto na kuharibu magari mawili yaliyotumika kusafirishia mwili wa marehemu, tukio lililofanywa...
CANBERRA, Australia
SERIKALI ya Australia imepanga kukazia zaidi sheria zinazopiga marufuku umiliki wa silaha za moto kwa wananchi wake.
Hatua hiyo inakuja baada ya shambulizi la...
Na mwandishi wetu, Gazetini
WAPO waliozoea kulala wakiwa wamewasha taa zao za ndani nyakati za usiku, bila kufahamu kuwa inaweza kuwasabashia shambulio la moyo au...
BEIJING, China
MWANAHARAKATI wa demokrasia wa Hong Kong, Jimmy Lai, atahukumiwa kifungo cha maisha gerezani endapo atakutwa na hatia katika mashitaka yanayomkabili.
Lai (78), anashutumiwa kwa...
Na mwandishi wetu, Gazetini
SARATANI ya mapafu ni miongoni mwa magonjwa tishio ulimwenguni, ukitajwa kusababisha vifo zaidi ya milioni 1.8 kwa mwaka.
Takwimu hizo ni za...
DARFUR, Sudan
UMOJA wa Mataifa (UN) umethibitisha kuuawa kwa wanajeshi wake sita wanaolinda amani nchini Sudan wakati huu wa machafuko.
Kwa mujibu wa taarifa ya UN...
Na mwandishi wetu, Gazetini
HUKU ikionekana kuwa ni kwenda na wakati, utamaduni wa watoto kuachiwa 'simu-janja' (smartphone) una madhara mkubwa kwao, utafiti wa hivi karibuni...