Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Misitu ina mchango mkubwa katika sekta ya utalii, ikivutia mamilioni ya wageni kila mwaka na kuchangia kwa kiasi kikubwa uchumi wa jamii za wenyeji. Ikiwa inashughulikia zaidi ya 30% ya ardhi ya dunia,...
*Mbunge naye ahusishwa kumwanga fedha kiasi cha 5,000 hadi 50,000/- kwa wajumbe ili wamuunge mkono, mwenyewe ajibu
NaMwandishi Wetu, Rorya
JOTO la Uchaguzi ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), linazidi kupana huku mafunzo kwa watendaji wa chama hicho...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Uchunguzi uliofanywa na Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) umebaini kuwa wanawake ndiyo wateja wakubwa wa dawa...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Shirika la Viwango Tanzania (TBS) limeendelea kuhimiza hatua za kuondoa madini ya risasi kwenye rangi, likisisitiza madhara makubwa ya kemikali hiyo...
*Wananchi wakubali yaishe
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya Tanzania (DCEA), ikishirikiana na Vyombo vya Ulinzi na Usalama, ikiwa...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Naibu Waziri Ofisi ya Rais TAMISEMI (Afya), Dk. Festo Dugange amekishauri Kituo cha Taifa cha Ufuatiliaji na Usimamizi wa Biashara ya...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Tanzania ina furaha kubwa kwa kiwango chake cha gesi asilia, ambacho kinahakikisha upatikanaji wa nishati ya kutosha kwa ajili ya maendeleo...
Na Faraja Masinde, Gazetini
Pamoja na jitihada kubwa zinazofanywa na Serikali ya Tanzania katika kukabiliana na biashara haramu ya viumbe pori, bado kuna umuhimu mkubwa...
Na Grace Mwakalinga, Gazetini
KATI ya mikoa 28 iliyopo nchini, mikoa mitano ndio yenye vituo vinavyotoa huduma ya utengamo wa afya ya akili ikiwemo Dodoma...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dk. Dorothy Gwajima, ametangaza mafanikio makubwa katika sekta ya ustawi wa...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Kufanyika kwa Mabadiliko ya Sheria ya Madini ya mwaka 2010 yametoa fursa ya kuboresha mazingira ya uwekezaji nchini na kuhakikisha Watanzania...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
MKOA wa Dar es Salaam umetajwa kuwa unaongoza kwa kukamatwa dawa za kulevya na kwamba maeneo makubwa ya starehe (klabu) na...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Tanzania inaendelea kuchukua hatua muhimu katika kuhakikisha kuwa asilimia 80 ya Watanzania wanatumia nishati safi ya kupikia ifikapo mwaka 2033.
Hatua hiyo...