Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Serikali kupitia Mamlaka ya Maji Kibondo imetenga zaidi ya shilingi bilioni 1.49 katika mwaka wa fedha 2022/23 kwa ajili ya ujenzi wa tanki la maji lenye uwezo wa kuhifadhi lita 1,500,000, ambalo ujenzi...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Chama cha Waandishi wa Habari za Mazingira Tanzania (JET) kilifanya mafunzo maalum Septemba 5-6, 2024 kwa wahariri zaidi ya 20 huko Bagamoyo, Pwani, juu ya namna bora ya kuripoti migongano baina ya binadamu...
Na Faraja Masinde, Gazetini
Pamoja na jitihada kubwa zinazofanywa na Serikali ya Tanzania katika kukabiliana na biashara haramu ya viumbe pori, bado kuna umuhimu mkubwa...
Na Grace Mwakalinga, Gazetini
KATI ya mikoa 28 iliyopo nchini, mikoa mitano ndio yenye vituo vinavyotoa huduma ya utengamo wa afya ya akili ikiwemo Dodoma...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dk. Dorothy Gwajima, ametangaza mafanikio makubwa katika sekta ya ustawi wa...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Kufanyika kwa Mabadiliko ya Sheria ya Madini ya mwaka 2010 yametoa fursa ya kuboresha mazingira ya uwekezaji nchini na kuhakikisha Watanzania...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
MKOA wa Dar es Salaam umetajwa kuwa unaongoza kwa kukamatwa dawa za kulevya na kwamba maeneo makubwa ya starehe (klabu) na...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Tanzania inaendelea kuchukua hatua muhimu katika kuhakikisha kuwa asilimia 80 ya Watanzania wanatumia nishati safi ya kupikia ifikapo mwaka 2033.
Hatua hiyo...
Na Faraja Masinde, Gazetini
Serikali imeanza kuandaa Muongozo mpya wa kuhakikisha kuwa inapunguza changamoto ya migongano kati ya binadamu na wanyamapori huku ikiwawezesha wananchi kunufaika...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
KATIBU Mkuu wa Umoja wa Wazazi Tanzania Jumuiya ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ally Salum Hapi (MNEC) amekemea vikali matumizi ya...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Tanzania imeshika nafasi ya kwanza katika nchi zinazolinda uhuru wa vyombo vya habari kwenye Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kwa mwaka...
*Asisitiza umuhimu wa elimu ya usalama mahala pa kazi
*Aipongeza OSHA kuboresha utendaji, ahimiza uhifadhi wa mazingira
Na Mwandishi Wetu, Arusha
Naibu Waziri Mkuu na...