23 C
Dar es Salaam

Infographics

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Serikali kupitia Mamlaka ya Maji Kibondo imetenga zaidi ya shilingi bilioni 1.49 katika mwaka wa fedha 2022/23 kwa ajili ya ujenzi wa tanki la maji lenye uwezo wa kuhifadhi lita 1,500,000, ambalo ujenzi...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini Chama cha Waandishi wa Habari za Mazingira Tanzania (JET) kilifanya mafunzo maalum Septemba 5-6, 2024 kwa wahariri zaidi ya 20 huko Bagamoyo, Pwani, juu ya namna bora ya kuripoti migongano baina ya binadamu...

Ushirikiano ni muhimu katika kudhibiti biashara haramu ya viumbe pori-Mtaalam

Na Faraja Masinde, Gazetini Pamoja na jitihada kubwa zinazofanywa na Serikali ya Tanzania katika kukabiliana na biashara haramu ya viumbe pori, bado kuna umuhimu mkubwa...

Ripoti| Wagonjwa wa afya ya akili wanaongezeka nchini

Na Grace Mwakalinga, Gazetini KATI ya mikoa  28 iliyopo nchini, mikoa mitano ndio yenye vituo vinavyotoa huduma ya utengamo wa afya ya akili ikiwemo Dodoma...

Chart| Sababu za waliojifungua kukataa kurudi shule

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Elimu ni msingi muhimu kwa maendeleo ya jamii na uchumi wa nchi yoyote. Hata hivyo, takwimu za Ofisi ya Rais Tamisemi...

Chart| Huduma za Mahakama kwa watoto Tanzania

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dk. Dorothy Gwajima, ametangaza mafanikio makubwa katika sekta ya ustawi wa...

Visual| Mabadiliko Sheria ya Madini yanavyowagusa Watanzania

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Kufanyika kwa Mabadiliko ya Sheria ya Madini ya mwaka 2010 yametoa fursa ya kuboresha mazingira ya uwekezaji nchini na kuhakikisha Watanzania...

Visual| Hali ya dawa za kulevya nchini mwaka 2023

Na Mwandishi Wetu, Gazetini MKOA wa Dar es Salaam umetajwa kuwa unaongoza kwa kukamatwa dawa za kulevya na kwamba maeneo makubwa ya starehe (klabu) na...

Visual| Ufahamu mradi wa kusambaza gesi asilia-Mini LNG

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Tanzania inaendelea kuchukua hatua muhimu katika kuhakikisha kuwa asilimia 80 ya Watanzania wanatumia nishati safi ya kupikia ifikapo mwaka 2033. Hatua hiyo...

Serikali kuandaa Muongozo mpya kupunguza migongano ya binadamu na wanyamapori

Na Faraja Masinde, Gazetini Serikali imeanza kuandaa Muongozo mpya wa kuhakikisha kuwa inapunguza changamoto ya migongano kati ya binadamu na wanyamapori huku ikiwawezesha wananchi kunufaika...

Hapi: Matumizi ya mirungi yanaharibu Taifa

Na Mwandishi Wetu, Gazetini KATIBU Mkuu wa Umoja wa Wazazi Tanzania Jumuiya ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ally Salum Hapi (MNEC) amekemea vikali matumizi ya...

Chart| Tanzania kinara Afrika Mashariki kwa uhuru wa vyombo vya habari

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Tanzania imeshika nafasi ya kwanza katika nchi zinazolinda uhuru wa vyombo vya habari kwenye Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kwa mwaka...

Chart| Waandishi wa Habari waliofungwa gerezani kutokana na kazi yao

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Mei 3 ya kila mwaka huazimishwa Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani, ni tukio muhimu lkwa ajili ya kusherehekea...

Dk. Biteko: Mtu wa kwanza kujali usalama wake ni mwajiriwa

*Asisitiza umuhimu wa elimu ya usalama mahala pa kazi *Aipongeza OSHA kuboresha utendaji, ahimiza uhifadhi wa mazingira Na Mwandishi Wetu, Arusha Naibu Waziri Mkuu na...

Recent articles

spot_img