MEXICO CITY, Mexico
KOCHA wa timu ya soka ya Taifa ya Brazil, Carlo Ancelotti, amethibitisha kuwa mshambuliaji wake, Neymar, anaweza kuwa fiti kuivaa Scotland katika mchezo wa Jumatano ya wiki ijayo.
Neymar anayekipiga Santos ya Ligi Kuu ya...
WASHINGTON DC, Marekani
SERIKALI ya Marekani imetangaza kusitisha ufadhili wa programu zote za mapambano dhidi ya Ukimwi nchini Afrika Kusini.
Afrika Kusini inaongoza duniani kwa kuwa na waathirika wengi wa ugonjwa huo, wakitajwa kufikia zaidi ya milioni nane.
Hatua...