Ads: info@gazetini.co.tz |
24.4 C
Dar es Salaam

Author: Gazetini Editor

Yanga, Simba zaumiza kichwa mapambano ya jezi feki

Na Mwandishi Wetu UONGOZI wa Klabu ya Yanga umekiri kuwa vita ya kudhibiti jezi feki ni ngumu pamoja na jitihada wanazofanya na kutumia mbinu nyingi...

Kidao aondolewa  TFF

Na Mwandishi Wetu Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), limemteua Oscar Mirambo kuwa Kaimu Katibu Mkuu akichukua nafasi ya Kidao Wilfred. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo...

Dogo Red, Wiz Designer kutikisa Afrika Mashariki

Na Mwandishi Wetu, Gazetini MSANII wa kizazi kipya mwenye makazi yake Atlanta, Marekani, Dogo Red, ametamba kutikisa Afrika Mashariki na video ya wimbo Vanessa aliowashirikisha...

Simbu afichua siri ya ushindi

Na Winfrida Mtoi,Gazetini Bingwa wa Dunia wa mbio za Marathoni za kilomita 42, ambaye ni Askari wa Jeshi la Wananchi la Tanzania (JWTZ), Sajenti Alphonce...

Pamba Jiji yaja na mbinu kuimaliza Yanga

Na Winfrida Mtoi Kocha Mkuu wa timu ya Pamba Jiji, Francis Baraza amesema hana presha yoyote kuelekea mchezo wao wa  kesho dhidi yaYanga  kutokana na...

Kocha Simba aaga, arejea Raja Casablanca

Na Mwandishi Wetu Baada ya kutoonekana na timu wakati ikirudi kutoka Botswana ilipokwenda mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Gaborone United, Kocha Mkuu...

THBUB yawaasa waandishi wa habari kuelekea uchaguzi mkuu

Na Onesmo Kapinga, Gazetini TUME ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB), imewaasa waandishi wa habari nchini, kujiepusha kuchapisha, kutangaza habari zenye lengo la...

Halopesa yaja na kampeni ‘Tamba na Bonasi’

Na Imani Nathaniel, Gazetini Kampuni ya Halotel kupitia huduma yake ya kifedha Halopesa imezindua kampeni mpya inayokwenda kwa jina la “Tamba na Bonasi”, ili kuwazawadia...

DC Nyamagana: Serikali inatambua kazi nzuri ya OSHA nchini

Na Mwandishi Wetu, Gazetini MKUU wa Wilaya ya Nyamagana, Amina Makilagi, amesema serikali inatambua kazi nzuri inayofanywa na Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa...

Simba na Yanga zasababisha kifo

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Mabishano ya  ushabiki wa  Yanga na Simba yamesababisha kifo cha mwanaume mmoja aliyefahamika  kwa jina la Evaristo Mwambogolo (28), mkulima na...

Simba, Yanga kusaka heshima kimataifa

Na Winfrida Mtoi Timu za Simba na Yanga leo zimeondoka nchini leo kwa ajili ya kwenda kucheza michezo yao raundi ya kwanza ya Ligi ya...

Yanga yaendeleza ubabe kwa Simba

Na Mwandishi Wetu Yanga imeendeleza ubabe kwa Simba baada ya leo kutwaa ubingwa wa Ngao ya Jamii kwa mara nyingine ikiifunga ikishinda bao 1-0 katika...

Recent articles

spot_img