Na Mwandishi Wetu
UONGOZI wa Klabu ya Yanga umekiri kuwa vita ya kudhibiti jezi feki ni ngumu pamoja na jitihada wanazofanya na kutumia mbinu nyingi...
Na Mwandishi Wetu
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), limemteua Oscar Mirambo kuwa Kaimu Katibu Mkuu akichukua nafasi ya Kidao Wilfred.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
MSANII wa kizazi kipya mwenye makazi yake Atlanta, Marekani, Dogo Red, ametamba kutikisa Afrika Mashariki na video ya wimbo Vanessa aliowashirikisha...
Na Winfrida Mtoi,Gazetini
Bingwa wa Dunia wa mbio za Marathoni za kilomita 42, ambaye ni Askari wa Jeshi la Wananchi la Tanzania (JWTZ), Sajenti Alphonce...
Na Mwandishi Wetu
Baada ya kutoonekana na timu wakati ikirudi kutoka Botswana ilipokwenda mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Gaborone United, Kocha Mkuu...
Na Onesmo Kapinga, Gazetini
TUME ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB), imewaasa waandishi wa habari nchini, kujiepusha kuchapisha, kutangaza habari zenye lengo la...
Na Imani Nathaniel, Gazetini
Kampuni ya Halotel kupitia huduma yake ya kifedha Halopesa imezindua kampeni mpya inayokwenda kwa jina la “Tamba na Bonasi”, ili kuwazawadia...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
MKUU wa Wilaya ya Nyamagana, Amina Makilagi, amesema serikali inatambua kazi nzuri inayofanywa na Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Mabishano ya ushabiki wa Yanga na Simba yamesababisha kifo cha mwanaume mmoja aliyefahamika kwa jina la Evaristo Mwambogolo (28), mkulima na...
Na Mwandishi Wetu
Yanga imeendeleza ubabe kwa Simba baada ya leo kutwaa ubingwa wa Ngao ya Jamii kwa mara nyingine ikiifunga ikishinda bao 1-0 katika...