Ads: info@gazetini.co.tz |
24.4 C
Dar es Salaam

Author: Gazetini Editor

Halopesa yatoa msaada wa viti mjongeo Hospitali ya Mwananyamala

Na Imani Nathanieli Katika kuadhimisha miaka tisa, Kampuni ya Mawasiliano ya Halotel kupitia huduma ya kifedha ya Halopesa, imetoa msaada wa viti mjongeo 15 kwa...

Viongozi wa dini watoa tamko kuelekea Oktoba 29

Na Mwandishi Wetu, Mwanza Kamati ya Amani ya Mkoa wa Mwanza kwa kushirikiana na viongozi wa dini, imesema kuelekea Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29,...

Mambo magumu, Yanga yatimua kocha usiku

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Uongozi wa Klabu ya Yanga umevunja mkataba na Kocha Mkuu, Romain Folz.Uamuzi huo umekuja saa chache baada ya kupoteza mchezo kwa...

Padre aliyepotea apatikana akiwa hai

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Jeshi la Polisi mkoani Ruvuma limefanikiwa kumpata Padre Camillus Nikata wa Jimbo Kuu la Songea, ambaye pia ni Mhadhiri wa Chuo...

Hofu, imani za kidini zatajwa kuchangia mimba zisizotarajiwa Maswa

Na Samwel Mwanga, Maswa Katika kijiji cha Dulungwa, wilayani Maswa mkoani Simiyu, wanawake wengi wanaishi kwa wasiwasi na mkanganyiko kuhusu matumizi ya njia za kisasa za...

Camara kuikosa Nsingizini, Pantev awatoa hofu mashabiki Simba

Na Winfrida Mtoi Meneja Mkuu wa Simba SC, Dimitar Pantev, amethibitisha kuwa kipa Moussa Camara na Mohammed Bajaber wataikosa mechi dhidi ya Nsingizini Hotspurs kutokana...

Wachezaji Gor Mahia waeleza walivyoumia kifo cha Raila Odinga

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Wachezaji wa timu ya Gor Mahia nchini Kenya wameeleza jinsi walivyopokea  kwa uchungu mkubwa kifo cha Waziri wa zamani wa Kenya,...

Mgombea Ubunge CUF auawa, INEC yasitisha kampeni za ubunge

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Mgombea ubunge wa Jimbo la Siha, kupitia Chama cha Wananchi (CUF) mkoani Kilimanjaro, Daudi Ntuyehabi ameuawa na wananchi baada ya kudaiwa...

JKT Queens kuweka kambi Uturuki, yautaka ubingwa wa CAFWCL

Na Winfrida Mtoi, Gazetini Timu ya soka JKT Queens inatarajia kuweka kambi ya wiki mbili  jijini  Istanbul, Uturuki kujiandaa na  michuano ya Ligi ya...

Mabosi Mwendokasi wang’olewa

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Rais Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi wa mabosi wapya wa Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) maarufu Mwendokasi kwa kuwaondoa Mtendaji  Mkuu...

Watanzania wahimizwa kushiriki mchezo wa kuogelea bila kujali umri

Na Winfrida Mtoi, Gazetini Watanzania wamehimizwa kushiriki na kujifunza mchezo wa kuogelea bila kujali umri ili kulinda afya na kutengeneza mahusiano na watu tofauti ikiwamo...

Mashabiki Simba kulipa faini ya CAF

Na Winfrida Mtoi, Gazetini KLABU ya Simba imewatangazia wanachama na mashabiki wa timu hiyo namba maalumu za  kuchangia fedha kwa ajili ya kusaidia kulipa  faini...

Recent articles

spot_img