Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Tume ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, imesema kuwa jumla ya watu 518 walipoteza maisha katika ghasia zilizotokea kipindi hicho.Akizungumza wakati...
LONDON, Uingereza
CHELSEA haina kocha mkuu baada ya kumfungashia virago Liam Rosenior, ambaye aliajiriwa Januari, 2026 kuchukua nafasi ya Enzo Maresca.
Rosenior amefutwa kazi akiwa ameiongoza timu hiyo katika mechi 23 pekee. Hatua ya kufukuzwa imekuja baada ya...
LONDON, Uingereza
HUENDA kocha wa zamani wa Manchester United, Ruben Amorim, akawa na timu nyingine msimu ujao wa Ligi Kuu ya England (EPL).
Mreno huyo alifungashiwa...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
SERIKALI imekabidhi hundi ya shilingi 94.1 bilioni kwa ajili ya mikopo ya wanawake, vijana, watu wenye ulemavu, wafanyabiashara wadogo, wakiwemo mamalishe...
Na Winfrida Mtoi
WADAU wa mchezo wa kuogelea nchini, wamefurahishwa na viwango vilivyooneshwa na watoto katika mashindano ya Afrika Mashariki, huku wakiomba serikali kuharakisha ujenzi...
Na Winfrida Mtoi
TANZANIA imethibishwa rasmi kuwa mwenyeji wa mashindano makubwa la urembo duniani ‘Miss World 2027’, huku Serikali ikisema imejipanga kuhakikisha linafanyika kwa mtindo...
Na Mwandishi Wetu
Mwanariadha nyota wa Tanzania, Sajinitaji Alphonce Simbu, ameendelea kufanya vizuri Boston Marathon baada ya kushika nafasi ya pili kwa mwaka wa pili...
Na Mwandishi Wetu, GazetiniMamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) imetoa bei mpya za nauli kwa mabasi yanayofanya safari za mikoani, mabasi ya mijini (daladala),...
Na Winfrida Mtoi
MASHINDANO ya kuogelea kwa watoto ya ‘East Africa Development Swimming Gala’ yameanza kwa kishindo leo jijini Dar es Salaam, huku vipaji vilivyoonyeshwa...
Na Mwandishi Wetu
WAZIRI Mkuu, Dk.Mwigulu Nchemba, amehimiza ufungaji wa kamera nyingi katika viwanja vya michezo, ikiwamo uwanja Arusha ili kudhibiti vitendo vya ushirikina na...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
MMILIKI wa Kituo cha Soka cha Bilo Jijini Mwanza, Kocha Athuman Bilal ambaye pia amewaki kuwa kocha wa timu mbalimbali nchini,...
Na Mwandishi Wetu
ZAIDI ya waogeleji 600 wanatarajiwa kushiriki katika mashindano ya kuogelea ya chipukizi kwa vijana wadogo ‘East Africa Development Swimming Gala’ yatakayoanza Aprili...
Na Mwandishi Wetu
SIMBA imechukua alama zote tatu kwa Fountain Gate kufuatia ushindi wa 3-0 katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliopigwa dimba la...