Ads: info@gazetini.co.tz |
24.4 C
Dar es Salaam

Author: Gazetini Editor

LONDON, Uingereza KIUNGO wa zamani wa klabu za Valencia, Manchester United na Chelsea, Juan Mara, yumo kwenye orodha hii, akiwa na Shahada (Digrii) mbili. Digrii yake ya kwanza ni ya Masomo, kabla ya kuchukua nyingine ya Sayansi ya...
RIO, Brazil UNAMKUMBUKA Alexandre Pato, kiungo wa zamani wa timu ya soka ya Taifa ya Brazil 'Selecao'? Alianza safari yake ya soka la kulipwa akiwa Internacional ya Brazil mwaka 2000, kabla ya kutua Ulaya akiwa na miaka 18...

Ebola DRC yaua ndugu watano wa Mwimbaji Jonathan Budju

Na Christopher Msekena, Gazetini JANGA la ugonjwa wa Ebola limeendelea kuwa tishio nchini Kongo baada ya ndugu wa watano wa mwimbaji wa Injili Jonathan Budju,...

The Living Testimony ya Bernard Mwambungu yazidi kupaa

Na Christopher Msekena MWIMBAJI wa muziki wa Injili nchini, Bernard Mwambungu, amewashukuru mashabiki kwa mapokezi makubwa ya albamu yake The Living Testimony. Mwambungu ameanza kuachia nyimbo...

Mchezo wa kuogelea wazidi kupaa nchini, TSA  yaeleza siri ya mafanikio

Na Winfrida  Mtoi, Gazetini MCHEZO wa kuogelea umezidi kushika kasi nchini  kutokana na kuongezeka idadi ya washiriki na wadau  kila siku, hali inayotoa picha kuwa...

Waogeleaji 400 kukiwasha Masaki kesho

Na Mwandishi Wetu Zaidi ya waogeleaji 400 wenye umri wa miaka 6 hadi 12 wanatarajiwa kushiriki Mashindano ya vilabu kwa nchi za Afrika Mashariki yatakayofanyika...

Kibabage aipa mzuka Serengeti Boys kuelekea fainali ya AFCON

Na Winfrida Mtoi, Gazetini BEKI wa timu ya Taifa (Taifa Stars), Nickson Kibabage  amesema kitendo cha vijana wa timu ya Serengeti Boys kufika  fainali ya...

Búlamu ya Sela Mulonda yazidi kupeta

Na Christopher Msekena, Gazetini MSANII wa muziki wa Injili anayeishi Ireland, Sela Mulonda, amewashukuru mashabiki kwa mapokezi makubwa wimbo wake mpya ya Búlamu. Sela Mulonda mwenye...

Madarasa 1,360, mabweni 17 na nyumba 33 za walimu kujengwa

Na Ramadhan Hassan, Gazetini WIZARA ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imepanga kujenga madarasa 1,360 ili kuimarisha utekelezaji wa sera ya elimu ya miaka 10 ya...

Bajeti ya Elimu 2026/27 Sh trilioni 2.39, yaweka mkazo ubora na ujuzi

Na Ramadhan, Hassan, Gazetini SERIKALI kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imeiomba Bunge kuidhinisha jumla ya Sh trilioni 2.39 kwa mwaka wa fedha 2026/27...

Rekodi 3 walizoweka Arsenal wakitinga fainali UEFA

CATALUNYA, Hispania HATIMAYE Arsenal imetinga fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya. Ni baada ya ushindi wao wa bao 1-0 dhidi ya Atletico Madrid, mchezo uliochezwa...

Slot hafukuzwi leo wala kesho

MERSEYSIDE, Uingereza LICHA ya mashabiki wa Liverpool kutokuridhishwa na mambo yanavyokwenda msimu huu, uongozi wa timu hiyo hauna mpango wa kumfuta kazi kocha Arne Slot. Ukiwa...

Xavi, Chelsea kumbe tetesi tu

CATALUNYA, Hispania LICHA ya tetesi zilizopo, Chelsea hawana mpango wa kumpa ajira kocha wa zamani wa Barcelona raia wa Hispania, Xavi Hernandez. Awali, zilikuwepo taarifa zilizodai...

United yagoma kumwachia Hojlund

MANCHESTER, Uingereza KLABU ya Napoli imethibitisha kukwama katika mpango wake wa kumsajili kiungo wao wa mkopo kutoka Manchester United, Rasmus Hojlund. Hojlund mwenye umri wa miaka...

Recent articles

spot_img