Ads: info@gazetini.co.tz |
22.7 C
Dar es Salaam

Author: Gazetini Editor

LONDON, Uingereza WAKATI huu Real Madrid ikijaribu kumshawishi Vinicius JR kusaini mkataba mpya, Arsenal wanaangalia uwezekano wa kumsajili mshambuliaji huyo wa kimataifa wa Brazil. Huu ni mwaka wa mwisho katika mkataba wa Vinicius Jr, hivyo endapo Madrid hawatomuongeza...
Na Hassan Mwasha KAMA ni mfuatiliaji wa tamthilia za Tanzania zinazorushwa kupitia vituo vya televisheni pekee, basi ni wazi unapitwa na mengi. Jiongeze! Kwa sasa, mtandao wa kijamii wa YouTube umegeuka kambi kubwa ya tamthilia za Bongo, zikiwamo...

Mwamba wa ‘unga’ aliyeisumbua Marekani kwa miaka 40

LOS ANGELES, Marekani ANAITWA El Mayo. Ndilo jina maarufu zaidi kuliko Ismael Zambada alilopewa na wazazi wake, akiwa pia ndiye muasisi wa genge hatari la...

Mashabiki Yanga, Simba wamejiandaa na VAR?

Na Hassan Mwasha MSIMU mpya wa Ligi Kuu Bara utaanzia Agosti 14, 2026. Ni msimu wa 2026-27, ambao utakuja na sura mpya kabisa katika historia...

Mlima wa Iran unaoipasua kichwa Marekani

TEHRAN, Iran UNAITWA Mlima Pickaxe. Unapatikana Kusini mwa Iran katika Jimbo la Isfahan, umbali wa maili 1.24 kutoka kilipo kinu cha nyuklia cha Natanz. Ulinzi...

New Bell: Gereza lenye lebo ya muziki kwa ajili ya wafungwa

YOUNDE, Cameroon NEW Bell ni moja ya magereza makubwa na maarufu si tu Younde na miji mingine jirani, bali Cameroon kwa ujumla. Wakati fulani, Shirika...

Houthi wanavyoongeza ugumu Mashariki ya Kati

Na mwandishi wetu, Gazetini WAKATI dunia ikiwa kwenye sintofahamu juu ya mustakabali wa vita vya Marekani na Iran, Kundi la kigaidi la Houthi nchini Yemen...

Marekani, Iran zatulia; bei ya mafuta yashuka

WASHINGTON DC, Marekani BEI ya mafuta katika soko la dunia imeshuka kwa asilimia 9, yakiwa ni matokeo ya mashambulizi ya Marekani na Iran kusimamia kwa...

Rais Ukraine awasili Uingereza

LONDON, Uingereza RAIS wa Ukraine, Volodymyr Zelensky, amewasili nchini Uingereza, ambako atakutana na kufanya mazungumzo na Waziri Mkuu mpya, Andy Burnham. Zelensky atakuwa mgeni wa kwanza...

Wanasiasa wamnyima kibarua kocha Italia

MILAN, Italia ANDREA Pirlo amesema hawezi tena kupewa kibarua cha kuinoa timu ya soka ya Taifa ya Italia. Hiyo imesababishwa na wanasiasa. Iko hivi; Pirlo ni...

Brazil yawapiga ‘stop’ viongozi wa Marekani

RIO, Brazil SERIKALI ya Brazil imewanyima vibali vya kuingia nchini humo viongozi wawili waandamizi wa Serikali ya Rais Donald Trump. Viongozi hao waliomba viza ya kuingia...

Meli ya mizigo yazama, watu 23 hawajulikani walipo

BEIJING, China MELI ya mizigo ya Vietnam imeripotiwa kuzama jirani na Mwamba wa Yongshu katika Bahari ya South China. Vyombo vya habari vya China vimeripotiwa taarifa...

Waisrael washutumiwa kuchoma misikiti ya Wapalestina

JERUSALEM, Palestina RAIA wa Israel wanaoishi West Bank wameripotiwa kuchomo moto misikiti, magari na mashamba ya Wapalestina katika eneo hilo. Madai hayo yanakuja zikiwa ni siku...

Hao ni wachambuzi au ‘wachafuzi’ wa Bongo Fleva?

Na Hassan Mwasha, Gazetini KICHEFUCHEFU! Ndicho unachoweza kuhisi pindi tu unapoingia kwenye mitandao ya kijamii na kukutana na hao wanaojiita 'wachambuzi' wa muziki wa kizazi...

Recent articles

spot_img