Na mwandishi wetu, Gazetini
SIMBA iko ugenini mjini Blantyre, Malawi, ambako kesho Septemba 6, 2026, itaumana na Mighty Wanderers katika mchezo wa hatua ya awali msimu huu wa Ligi ya Mabingwa barani Afrika.
Mighty Wanderers ni mabingwa mara...
LONDON, Uingereza
MAJI hufuata mkondo! Ni msemo maarufu na uliojidhirisha wazi katika ulimwengu wa soka kwa baadhi ya wanasoka waliostaafu kurithisha vipaji kwa watoto wao.
Kwa sasa, soka la England linaye Reggie Watson. Kiungo huyo wa Chelsea ana...
Na mwandishi wetu, Gazetini
SHIRIKA la Watoto la Umoja wa Mataifa limefanya utafiti wake na kubaini ongezeko kubwa la vitendo vya unyanyasaji wa kijinsia...
MANCHESTER, Uingereza
KLABU ya Manchester City imeripotiwa kuanza mapema mikakati ya kuinasa saini ya mshambuliaji wa Atletico Madrid, Alex Baena.
Kwa mujibu wa ripoti, usajili wa...
LONDON, Uingereza
CHELSEA ilikuwa na nafasi ya kumsajili Yves Bissouma baada ya kiungo wake, Enzo Fernandez, kutimkia kwa washindano wao wa Ligi Kuu ya England,...
WASHINGTON DC, Marekani
VIGOGO wawili wa serikali ya Marekani, Steve Witkoff na Jared Kushner, wamezitembelea Urusi na Ukraine wikiendi hii.
Ripoti zinaeleza kuwa ziara hiyo imelenga...
LA PAZ, Bolivia
WATU wawili wamepoteza maisha katika mlipuko uliotokea katika kambi ya jeshi nchini Bolivia, ingawa mamlaka zinadai kuwa huenda idadi ya vifo ni...
TUNIS, Tunisia
MAHAKAMA nchini Tunisia imetoa agizo la kukamatwa na kushikiliwa kwa mwandishi wa habari maarufu, Mohamed Yousfi, jana Septemba 4, 2026.
Aidha, mahakama ilieleza kuwa...
LOS ANGELES, Marekani
ALIYEWAHI kuwa bingwa wa dunia kwa ngumi za uzito wa juu, Andy Ruiz Jr, amepoteza pambano lake la kwanza tangu alipopona majeraha.
Andy...
MADRID, Hispania
KOCHA wa Real Betis, Manuel Pellegrini, hajafurahishwa na kauli ya Jose Mourinho baada ya mchezo wa La Liga wa jana Septemba 4, 2026.
Baada...
CATALUNYA, Hispania
MSHAMBULIAJI wa Barcelona, Lamine Yamal, amekosekana katika mazoezi ya mwisho ya timu hiyo kuelekea mchezo wao dhidi ya Valencia.
Timu hizo zitakwaana kesho Septemba...
ROMA, Italia
ZIPO taarifa zinazodai kuwa klabu ya AS Roma iko mbioni kumchukua beki aliyeachana na Bayern Munich, Raphael Guerreiro.
Kwa mujibu wa ripoti, kocha wa...
PARIS, Ufaransa
VIGOGO wa soka la Ufaransa, PSG, hawajaonja ushindi katika mechi zote tatu za msimu huu wa Ligi Kuu ya Ufaransa .
Wakiwa nyumbani jana...
LOS ANGELES, Marekani
FIGO ya nguruwe iliyopandikizwa kwa mgonjwa imemsaidia kuishi siku 271, kwa mujibu wa madaktari nchini Marekani.
Kwa mujibu wa mgonjwa huyo aliyefahamika kwa...