27 C
Dar es Salaam

Author: Gazetini Editor

Jeshi la Polisi  lakabidhiwa mashine ya kuweka alama silaha

Na Mwandishi Wetu Jeshi la Polisi nchini limekabidhiwa mashine maalumu ya kuweka alama silaha zilizopo nchini ikiwa ni hatua mbalimbali zinazochukuliwa katika kuzuia uzagaaji wa...

Ahukumiwa kifungo cha miaka 20 jela kwa shambulio la aibu kwa mtoto

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Mahakama ya Wilaya ya Pangani, mkoani Tanga, Agosti 18, 2025 imetoa hukumu ya kifungo cha miaka 20 jela kwa mtuhumiwa Idd...

Wauza miwani wafundwa

Na Mwandishi WetuWafanyabiashara ya miwani nchini wametakiwa kizingatia sheria na kuacha kuuza kuholela  ikiwamo kuchanganya na bidhaa nyingine kwani  miwani ni tiba hivyo inaweza...

CCM Kunduchi yamkabidhi Urio fomu ya kugombea udiwani

Na Mwandishi Wetu Mgombea wa udiwani kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Kata Kunduchi, Michael Urio leo Agosti 18, 2025 amechukua fomu ya kutetea nafasi yake...

Wizara yateua viongozi wa muda Kamisheni ya Ngumi

Na Mwandishi Wetu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Profesa Palamagamba Kabudi, amemteua mwandishi wa habari, Patrick Nyembera kuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Kamisheni...

Mwakinyo aahidi burudani ya masumbwi Mwanza, ataka  mrithi wake atoke huko

Na Mwandishi Wetu, Gazetini BONDIA wa Kimataifa wa  ngumi za kulipwa Tanzania, Hassan Mwakinyo anatarania kupanda ulingoni Desemba 26, 2025, jijini Mwanza, huku akitamani kupata...

Yanga yaomba radhi mashabiki,yafafanua kuhusu mchango wa milioni 100 CCM

Na Mwandishi Wetu Klabu ya Yanga imewaomba radhi mashabiki wake na kutoa kuhusu fedha kiasi cha sh 100 milioni walizotoa mchango katika harambee ya kuchangia...

Dodoma Jiji yaachana na Ajibu

Na Mwandishi Wetu Klabu ya Dodoma Jiji imeachana na mchezaji Ibrahim Ajibu aliyejiunga na timu hiyo msimu uliopita. Tangu klabu hiyo imemtangaza kocha mpya, Vincent Mashami...

Dawa za kulevya tani 30 zaingizwa nchini kama mbolea

Na Mwandishi Wetu MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA),  imekamata shehena ya dawa mpya ya kulevya aina ya mitragyna speciosa tani...

CCM yaomba kuchangiwa bilioni 100 za kampeni

Na Mwandishi Wetu Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema kinahitaji kupata sh 100 bilioni kwa ajili ya shughuli za kampeni kuelekea katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba...

Busungu achukua fomu kuwania urais

Na Mwandishi Wetu Mwenyekiti wa Tume Huru yaTaifa ya Uchaguzi, Jaji wa Mahakama ya Rufaa Jacobs Mwambegele, amemkakabidhi Georges Busungu. mkoba wenye fomu za kuomba kuteuliwa...

‘Met You’ ya Director P yapenya Afrika

Na Mwandishi Wetu Mwimbaji na mwandaaji wa filamu mwenye asili ya Zambia na DR Congo anayeishi nchini Canada, Director P, amesema nyimbo yake mpya...

Recent articles

spot_img