28.9 C
Dar es Salaam

Author: gazetiniAdmin_1

Uganda: Tutaishambulia Iran kuilinda Israel

KAMPALA, Uganda MKUU wa majeshi wa Uganda amesema wako tayari muda wowote kuisaidia Israel endapo itazidiwa nguvu katika vita dhidi ya Iran. Hata hivyo, Jenerali Muhoozi...

Basi laingia mtoni, watu 24 wafariki

DHAKA, Bangladesh WATU takribani 24 wamepoteza maisha baada ya basi walilokuwamo kupinduka na kuingia mtoni mjini Dhaka, Bangladesh. Ajali hiyo imetokea leo Machi 26, 2026 wakati...

Senegal walifikisha jambo lao CAS

NYON, Uswis MAHAKAMA ya Kimataifa ya Usuluhishi wa Michezo (CAS) imekiri kupokea malalamiko ya Shirikisho la Soka la Senegal. FSF wamefikisha ombi la kupinga kile kilichofanywa...

Maguire aanika hatima yake Old Trafford

MANCHESTER, Uingereza ANAONDOKA au anabaki? Beki wa kati wa Manchester United, Harry Maguire, amefunguka juu ya hatima yake klabuni hapo. Mlinzi huyo wa kimataifa wa England...

Vinicius: Bado nipo sana Madrid

MADRID, Hispania HAKUNA kitu kama hicho. Staa wa Real Madrid, Vinicius Jr, amepuuzia ripoti zinazodai kuwa ataondoka klabuni hapo. Vinicius alikuwa kwenye wakati mbaya chini ya...

Mshahara haukupi utajiri, mwajiriwa zinduka mapema

Na Benjamin Madaha WAFANYABIASHARA, vijana na hata waajiriwa kuna kanuni moja ya uchumi wa kipato ambayo watu wengi hawaielewi mapema. Utajiri haujengwi kwa kipato cha...

Iran: Marekani isijisumbue, vita bado mbichi

TEHRAN, Iran MSEMAJI wa jeshi la Iran ametoa kauli ngumu akiimbia Marekani kuwa inapoteza muda katika mpango wa kutaka pande mbili hizo kukaa mezani. "Watu kama...

Jay-Z alikwepa ‘bifu’ la Drake, Lamar

LOS ANGELES, Marekani LEJENDARI wa muziki wa Hip hop, Jay-Z, amesema hana upande katika bifu linaloendelea kati ya marapa Drake na Kendrick Lamar. Kwa kauli hiyo,...

Davido azifungia vioo tuzo za Grammy

LAGOS, Nigeria SUPASTAA wa muziki wa Nigeria, David Adeleke 'Davido', amefunguka mengi juu ya safari ya mafanikio yake katika sanaa hiyo. Miongoni mwa aliyoyayasema ni kwamba...

United wako ‘siriaz’ na Rudiger

MANCHESTER, Uingereza KAMA ukidhani ni utani, basi umepotea. Manchester United imeelekeza nguvu zake zote kwa beki wa kati wa Real Madrid, Antonio Rudiger. Nyota huyo raia...

EAIF 2026 kufanyika kesho ikilenga kutoa fursa kwa vijana

Na mwandishi wetu, Gazetini KONGAMANO la Uwekezaji Afrika Mashariki la mwaka 2026 (East Africa Investment Forum – EAIF 2026) linatarajiwa kufanyika kesho na kesho kutwa...

Hiki ndicho kilichomuua Lukuvi

Na mwandishi wetu, Gazetini RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, ametangaza kifo cha aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri...

Recent articles

spot_img