KAMPALA, Uganda
MKUU wa majeshi wa Uganda amesema wako tayari muda wowote kuisaidia Israel endapo itazidiwa nguvu katika vita dhidi ya Iran.
Hata hivyo, Jenerali Muhoozi...
DHAKA, Bangladesh
WATU takribani 24 wamepoteza maisha baada ya basi walilokuwamo kupinduka na kuingia mtoni mjini Dhaka, Bangladesh.
Ajali hiyo imetokea leo Machi 26, 2026 wakati...
NYON, Uswis
MAHAKAMA ya Kimataifa ya Usuluhishi wa Michezo (CAS) imekiri kupokea malalamiko ya Shirikisho la Soka la Senegal.
FSF wamefikisha ombi la kupinga kile kilichofanywa...
MANCHESTER, Uingereza
ANAONDOKA au anabaki? Beki wa kati wa Manchester United, Harry Maguire, amefunguka juu ya hatima yake klabuni hapo.
Mlinzi huyo wa kimataifa wa England...
MADRID, Hispania
HAKUNA kitu kama hicho. Staa wa Real Madrid, Vinicius Jr, amepuuzia ripoti zinazodai kuwa ataondoka klabuni hapo.
Vinicius alikuwa kwenye wakati mbaya chini ya...
Na Benjamin Madaha
WAFANYABIASHARA, vijana na hata waajiriwa kuna kanuni moja ya uchumi wa kipato ambayo watu wengi hawaielewi mapema.
Utajiri haujengwi kwa kipato cha...
TEHRAN, Iran
MSEMAJI wa jeshi la Iran ametoa kauli ngumu akiimbia Marekani kuwa inapoteza muda katika mpango wa kutaka pande mbili hizo kukaa mezani.
"Watu kama...
LOS ANGELES, Marekani
LEJENDARI wa muziki wa Hip hop, Jay-Z, amesema hana upande katika bifu linaloendelea kati ya marapa Drake na Kendrick Lamar.
Kwa kauli hiyo,...
LAGOS, Nigeria
SUPASTAA wa muziki wa Nigeria, David Adeleke 'Davido', amefunguka mengi juu ya safari ya mafanikio yake katika sanaa hiyo.
Miongoni mwa aliyoyayasema ni kwamba...
MANCHESTER, Uingereza
KAMA ukidhani ni utani, basi umepotea. Manchester United imeelekeza nguvu zake zote kwa beki wa kati wa Real Madrid, Antonio Rudiger.
Nyota huyo raia...
Na mwandishi wetu, Gazetini
KONGAMANO la Uwekezaji Afrika Mashariki la mwaka 2026 (East Africa Investment Forum – EAIF 2026) linatarajiwa kufanyika kesho na kesho kutwa...
Na mwandishi wetu, Gazetini
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, ametangaza kifo cha aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri...