Ads: info@gazetini.co.tz |
22.9 C
Dar es Salaam

Author: gazetiniAdmin_1

Mastaa wa soka na ‘ulevi’ wa mbio za magari

LONDON, Uingereza KWA miaka mingi, wachezaji wa kandanda wamekuwa na ukaribu mkubwa na mchezo wa mashindano ya mbio za magari. Mbali na mambo mengine, mara kadhaa...

Maresca atua na watu saba Man City

MANCHESTER, Uingereza KOCHA mpya wa Manchester City, Enzo Maresca, atatua na watu wapya saba kwenye benchi la ufundi la timu hiyo. Maresca ameajiriwa Etihad na kusaini...

WHO yaonya kuhusu kasi ya saratani

NEW YORK, Marekani SARATANI ni ugonjwa unaosababisha vifo 26,000 kila mwaka lakini idadi hiyo inatarajiwa kuongezeka mara mbili ifikapo mwaka 2050. Hiyo ni kwa mujibu wa...

Tanesco yapokea malori 214 kutoka Isuzu kuboresha huduma ya umeme nchini

na mwandishi wetu, Gazetini SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO) limepokea malori 214 kutoka kampuni ya Isuzu East Africa kupitia Al Mansour Auto EA Tanzania kwa...

Maduka Okoye: Kipa Nigeria ‘anayejirusha’ na Cardi B

LOS ANGELES, Marekani ZIMEIBUKA ripoti zinazodai kuwa kipa wa kimataifa wa Nigeria, Maduka Okoye, 'anatoka' na bibiye mwenye jina kubwa katika muziki wa Hip hop...

Refa huyu alikataliwa na Wafaransa

BOSTON, Marekani KATIKA mchezo wa robo fainali uliozikutanisha Ufaransa na Morocco, Facundo Tello raia wa Argentina ndiye aliyekuwa mwamuzi wa kati. Sasa, weka kando 'ishu' ya...

Waliostaafu baada ya kung’oka Kombe la Dunia 2026

MIAMI, Marekani WAKATI huu fainali za Kombe la Dunia zikiendelea, baadhi ya wanasoka wenye majina makubwa wametangaza kustaafu muda mfupi tu baada ya timu zao...

Hii hapa ratiba ya ‘pre-season’ vigogo EPL

LONDON, Uingereza WAKATI huu fainali za Kombe la Dunia zikiendelea, msimu ujao wa Ligi Kuu ya England (EPL 2026-27) nao uko njiani. Kama ilivyo kawaida, msimu...

Dj akamatwa kisa kumtishia maisha mtoto wa Rais

LAGOS, Nigeria POLISI nchini Nigeria wanamshikilia Dj maarufu, Chicken, akitajwa kumtishia maisha mtoto wa Rais Bola Tinubu, Seyi. Kabla ya kukamatwa kwake, Dj Chicken alitumia siku...

Tanzania yaandika historia kwa upasuaji wa moyo kwa watoto wa Burundi

Na Ramadhan Hassan, Dodoma HOSPITALI ya Benjamin Mkapa (BMH), kwa kushirikiana na Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI), imeandika historia kwa kufanikisha kwa mara ya...

Uhaba wa mafuta wamfikisha pabaya Rais Putin

MOSCOW, Urusi HALI ni mbaya mjini Moscow juu ya upatikanaji wa nishati ya mafuta. Foleni katika vituo vya mafuta (sheli) imeshuhudiwa kwenye maeneo mengi. Mrundikano huo...

Wachambuzi wa soka wanaolipwa zaidi EPL

LONDON, Uingereza SOKA limekuwa likitoa fursa nyingi. Mathalan, ndani ya klabu, limeajiri viongozi, wachezaji, makocha, madaktari, wapishi, na wafanyakazi wengine. Kwa miaka mingi, limekuwapo kundi la...

Recent articles

spot_img