MADRID, Hispania
KLABU ya Real Madrid imemtambulisha rasmi Jose Mourinho kuwa kocha wao. Mreno huyo mwenye umri wa miaka 63 amesaini mkataba wa miaka mitatu...
MOGADISHU, Somalia
ZIKIWA ni siku chache tu tangu alipozuiwa kuingia Marekani, hivyo kukosa nafasi ya kuchezesha Kombe la Dunia, mwamuzi raia wa Somalia, Omar Artan,...
MEXICO CITY, Mexico
SHABIKI wa soka mwenye umri wa miaka 80 amefariki muda mfupi kabla ya kuingia uwanjani kuitazama Mexico ikivaana na Afrika Kusini katika...
MADRID, Hispania
MSHAMBULIAJI wa zamani wa Real Madrid, James Rodriguez, amesema staa wa Bayern Munich winger, Luis Diaz, ndiye anayestahili tuzo ya Mchezaji Bora wa...
LONDON, Uingereza
LEJENDARI wa Chelsea, Emmanuel Petit, amefunguka kuwa mshambuliaji Enzo Fernandez ni miongoni mwa mastaa wanaopaswa kuondoka Chelsea baada ya ujio wa kocha raia...
WASHINGTON DC Marekani
UTAFITI mpya umonesha kuwa ushawishi wa Marekani kwa mataifa ya Ulaya imeporomoka kwa kiasi kikubwa tangu Rais Donald Trump aliporejea madarakani mwaka...
LAGOS, Nigeria
PACHA wa Kundi la P-Square ambalo limeshavunjika, Peter Okoye, amesema hapendi kuona akifananishwa na kaka yake, Paul.
Wawili hao amekuwa maadui wakubwa kwa siku...
Na mwandishi wetu, Gazetini
KUFIKIA hatua hii ya msimu wa 2025-26 wa Ligi Kuu Bara, zimeshachezwa jumla ya mechi 400, kila timu ikishuka dimbani mara...
Na mwandishi wetu, Gazetini
SERIKALI imepanga kuondoa matumizi ya vocha za kukwangua za muda wa maongezi katika maeneo ya mijini kuanzia Julai 1, 2026, hatua...
PARIS, Ufaransa
MATAIFA 48 ndani ya fainali za Kombe la Dunia zitakazofanyika kuanzia Juni 11 - Julai 19, 2026 huko Marekani, Mexico na Canada.
Kuelekea michuano...
DAKAR, Senegal
MATAIFA 48 ndani ya fainali za Kombe la Dunia zitakazofanyika kuanzia Juni 11 - Julai 19, 2026 huko Marekani, Mexico na Canada.
Kuelekea michuano...