Ads: info@gazetini.co.tz |
29.4 C
Dar es Salaam

Author: gazetiniAdmin_1

‘Special One’ atambulishwa Santiago Bernabeu

MADRID, Hispania KLABU ya Real Madrid imemtambulisha rasmi Jose Mourinho kuwa kocha wao. Mreno huyo mwenye umri wa miaka 63 amesaini mkataba wa miaka mitatu...

UEFA yamkabidhi PSG refa aliyebaniwa Kombe la Dunia

MOGADISHU, Somalia ZIKIWA ni siku chache tu tangu alipozuiwa kuingia Marekani, hivyo kukosa nafasi ya kuchezesha Kombe la Dunia, mwamuzi raia wa Somalia, Omar Artan,...

Shabiki afariki akiingia uwanjani Kombe la Dunia

MEXICO CITY, Mexico SHABIKI wa soka mwenye umri wa miaka 80 amefariki muda mfupi kabla ya kuingia uwanjani kuitazama Mexico ikivaana na Afrika Kusini katika...

‘Mido’ astaafu kabla ya mechi ya kwanza Kombe la Dunia 2026

TOKYO, Japan KIUNGO wa timu ya Taifa ya Japan, Wataru Endo, ametangaza kustaafu soka hata kabla ya kucheza mechi yao ya kwanza msimu huu wa...

Rodriguez: Diaz apewe Ballon d’Or yake tu

MADRID, Hispania MSHAMBULIAJI wa zamani wa Real Madrid, James Rodriguez, amesema staa wa Bayern Munich winger, Luis Diaz, ndiye anayestahili tuzo ya Mchezaji Bora wa...

Petit afichua Enzo kuondoka Chelsea

LONDON, Uingereza LEJENDARI wa Chelsea, Emmanuel Petit, amefunguka kuwa mshambuliaji Enzo Fernandez ni miongoni mwa mastaa wanaopaswa kuondoka Chelsea baada ya ujio wa kocha raia...

Utafiti wabaini mataifa ya Ulaya kuitenga Marekani

WASHINGTON DC Marekani UTAFITI mpya umonesha kuwa ushawishi wa Marekani kwa mataifa ya Ulaya imeporomoka kwa kiasi kikubwa tangu Rais Donald Trump aliporejea madarakani mwaka...

Peter wa P-Square ageuka mbogo kuhusu kaka yake

LAGOS, Nigeria PACHA wa Kundi la P-Square ambalo limeshavunjika, Peter Okoye, amesema hapendi kuona akifananishwa na kaka yake, Paul. Wawili hao amekuwa maadui wakubwa kwa siku...

Ligi Kuu Bara 2025-26: Mechi 400, vipigo asilimia 34, vigogo bado wanatamba

Na mwandishi wetu, Gazetini KUFIKIA hatua hii ya msimu wa 2025-26 wa Ligi Kuu Bara, zimeshachezwa jumla ya mechi 400, kila timu ikishuka dimbani mara...

Vocha za kukwangua kuanza kuondolewa mijini Julai 2026

Na mwandishi wetu, Gazetini SERIKALI imepanga kuondoa matumizi ya vocha za kukwangua za muda wa maongezi katika maeneo ya mijini kuanzia Julai 1, 2026, hatua...

Vikosi vya Kombe la Dunia 2026: UFARANSA

PARIS, Ufaransa MATAIFA 48 ndani ya fainali za Kombe la Dunia zitakazofanyika kuanzia Juni 11 - Julai 19, 2026 huko Marekani, Mexico na Canada. Kuelekea michuano...

Vikosi vya Kombe la Dunia 2026: SENEGAL

DAKAR, Senegal MATAIFA 48 ndani ya fainali za Kombe la Dunia zitakazofanyika kuanzia Juni 11 - Julai 19, 2026 huko Marekani, Mexico na Canada. Kuelekea michuano...

Recent articles

spot_img