23.3 C
Dar es Salaam

Dk. Biteko aatoa maagizo matatu  Wizara ya Maliasili, asema dunia inaangalia Tanzania na  Afrika Mashariki kuwa kitovu cha utalii

Na Mwandishi Wetu Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amesema kuwa maonesho ya utalii ya Karibu– Kilifair yanaendelea kukuwa kimataifa na...

Habari Kuu

Jamii

spot_img

Afya

Na Mwandishi Wetu Mkurugenzi wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili na Mshauri wa Rais Samia Suluhu Hassan  katika masuala ya afya, Profesa Mohammed Janabi, ameshinda nafasi ya Mkurugenzi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Kanda ya Afrika ...

Dk. Jafo ataka TBS kutoa elimu madhara ya unywaji pombe kupita kiasi

Na Ramadhan Hassan, Gazetini-Dodoma Waziri wa Viwanda na Biashara, Dk. Selemani Jafo, amelitaka Shirika la Viwango Tanzania (TBS) kushirikiana na taasisi nyingine kutoa elimu kwa wananchi kuhusu madhara ya unywaji wa pombe kupita kiasi, akisema hali hiyo...

Serikali ya Marekani kutoa Dola milioni moja mapambano dhidi Mpox

Na Mwandishi Wetu Serikali ya Marekani kupitia Kituo cha Kudhibiti Maradhi (CDC), imetangaza kutoa msaada wa karibu dola milioni moja kwa ajili ya kuimarisha ufuatiliaji na udhibiti wa kuenea kwa ugonjwa wa mpox nchini. Fedha hizo zitasaidia Wizara...

Makala

spot_img

Infographics

Siasa

Na Mwandishi Wetu Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislam Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda, leo Alhamisi Juni 5, 2025, ametangaza kujiunga na Chama cha ACT-Wazaendo, katika hafla iliyofanyika Magomeni, jijini Dar es Salaam. Sheikh Ponda, ametangaza uamuzi...

Dk.Samia atoa agizo kwa wanaochuja wagombea, asema Magwajima yaachwe nje

Na Mwandishi Wetu Mwenyewekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan,  amewataka wanaochuja wagombea wa uchaguzi watende haki na wapime kwa umakini na kuangalia wale wanaofaa ili kuepuka...

CCM yaahidi kukamilisha Katiba mpya, kuzalisha ajira milioni 8

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Katika utekelezaji wa Ilani Mpya ya Chama Cha Mapinduzi ya Mwaka 2025/30, Mwenyekiti wa Kamati ya Ilani ya CCM Prof. Kitila Mkumbo ameeleza kuwa katika kudumisha demokrasia na utawala bora nchini, CCM itaielekeza...
spot_img

Elimu

Simbachawene aitaka TSC kuwatendea haki walimu

Na Mwandishi Wetu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Simbachawene amesema anatamani  kuona Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC) inakuwa kimbilio la walimu ambao ni kundi kubwa katika utumishi wa umma...
spot_img
Na John Mapepele  Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais – TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa ametoa rai kwa walimu nchini kuwa wazalendo na kuzingatia weledi ili kuongeza ufaulu wa wanafunzi.   Mchengerwa ametoa rai hiyo kwenye mkutano wa walimu na wadau...

Elimu bila malipo kuendelea, kuboresha mazingira ya wanafunzi 2025–2030

Na Jonathan Benedict, Gazetini Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupitia Ilani yake ya Uchaguzi ya mwaka 2025–2030, kimeweka mkazo mkubwa katika kuboresha maisha ya watoto wa Kitanzania kupitia sekta ya elimu, kwa kuahidi kuendeleza utoaji wa elimu bila...

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Michezo

Latest news

Dk. Biteko aatoa maagizo matatu  Wizara ya Maliasili, asema dunia inaangalia Tanzania na  Afrika Mashariki kuwa kitovu cha utalii

Na Mwandishi Wetu Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amesema kuwa maonesho ya utalii ya Karibu– Kilifair yanaendelea kukuwa kimataifa na...

Simbachawene aitaka TSC kuwatendea haki walimu

Na Mwandishi Wetu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Simbachawene amesema anatamani  kuona Tume ya Utumishi wa Walimu...

Gugu asisitiza umuhimu wa ushirikiano Kikanda kukabiliana na uhalifu

Na Mwandishi Wetu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi,  Ally Gugu, amesisitiza umuhimu wa ushirikiano wa kikanda katika kukabiliana na uhalifu unaovuka...

Makanisa sita ya Gwajima yafungiwa  Mbeya

Na Mwandishi Wetu Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya limeyafungia matawi sita ya Kanisa la Ufufuo na Uzima yaliyokuwa yakiendelea  na huduma katika maeneo tofauti mkoani...

Serikali yachukua hatua kukabiliana na migogoro ya ardhi Morogoro

Na Mwandishi Wetu Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Geophrey  Pinda amesema Serikali inaendelea kuchukua hatua mbalimbali ili kukabiliana na migogoro ya...

Rais wa zamani Zambia, Edgar Lungu afariki dunia

Na Mwandishi Wetu Rais   wa  zamani  wa Zambia, Edgar Lungu, amefariki dunia  akiwa na umri wa miaka 65 baada ya kuugua kwa muda mfupi.  Lungu amefariki akita latina matibabumaalum kwenye...

Rais Samia aongoza harambee uchangiaji ujenzi kituo cha watoto, achangia milioni 150

Na Mwandishi Wetu Rais  Samia Suluhu Hassan ameongoza Harambee ya kuchangia ujenzi wa Kituo cha Watoto wenye mahitaji Maalum cha Bagamoyo Diaconic Lutheran Centre ambapo...

Serikali itaendelea kuisimamia sekta ya afya-Majaliwa

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Waziri Mkuu , Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali inayoongozwa na Rais Dk. Samia Suluhu itaendelea kuisimamia na kuipa hadhi sekta ya...

Sheikh Ponda atangaza  rasmi kuwa mwanachama mpya ACT Wazalendo

Na Mwandishi Wetu Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislam Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda, leo Alhamisi Juni 5, 2025, ametangaza kujiunga na Chama cha...

Dk. Mpango atoa rai kwa wafamasia kusaidia jamii kuepuka madhara ya dawa

Na Mwandishi Wetu Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Philip Mpango ametoa rai kwa wafamasia nchini kuendelea kulipa kipaumbele suala la...

Kubeti  kwachangia bilioni 17 pato la Taifa

Na Mwandishi Wetu Waziri wa Fedha Dk. Mwigulu Nchemba amesema hadi kufikia Aprili, 2025, Bodi ya Michezo ya Kubahatisha Tanzania imekusanya jumla ya Sh 17.42 bilioni ...

TANESCO yatakiwa kubuni vyanzo vipya vya umeme

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amelitaka Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kuendelea na kasi...