Ads: info@gazetini.co.tz |
27.2 C
Dar es Salaam

Author: gazetiniAdmin_1

LOS ANGELES, Marekani FIGO ya nguruwe iliyopandikizwa kwa mgonjwa imemsaidia kuishi siku 271, kwa mujibu wa madaktari nchini Marekani. Kwa mujibu wa mgonjwa huyo aliyefahamika kwa jina la Tim Andrews, figo hiyo ya nguruwe ilimpa tumaini la kuishi...
Na mwandishi wetu, Gazetini YANGA watashuka dimbani katika ardhi ya ugenini mjini Gaborone, Botswana, kesho Septemba 5, 2026, kwa mchezo wa hatua ya awali ya msimu huu wa Ligi ya Mabingwa Afrika. Mechi yao dhidi ya Gaborone United...

Ngalula, Mahindra wafungua fursa mpya za teknolojia kwa wakulima Tanzania

MUMBAI, India Rais wa Shirikisho la Sekta Binafsi Tanzania (TPSF) na Afisa Mtendaji Mkuu wa Bravo Group Tanzania, Angelina Ngalula, amesema mazungumzo yake na uongozi...

Malisa akamatwa Namanga, hajulikani alipo-Wakili

Na mwandshi wetu, Gazetini WAKILI Dickson Matata amedai kuwa mwanaharakati mtanzania Malisa GJ amekamatwa baada ya kuwasili katika mpaka wa Namanga akitokea Kenya, huku hadi...

Messi aaga timu ya Taifa Argentina baada ya miaka…

BUENOS AIRES, Argentina LIONEL Messi ametangaza rasmi kustaafu kuichezea timu ya taifa ya Argentina, akisema amefikia wakati wa kuachana na jezi hiyo baada ya safari...

BoT yawataka wasanii kuwa mabalozi wa elimu ya fedha

Na Esther Mnyika, Gazetini BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) imewataka wasanii, waandaaji wa burudani, watayarishaji wa maudhui na wadau wengine wenye ushawishi kwa jamii kutumia...

Gari la watalii latumbukia mtoni Serengeti, wageni watoka salama

Na mwandishi wetu, Gazetini GARI la watalii limetumbukia mtoni katika eneo la Kogatende, Kivuko cha Nyumbu Namba Moja, ndani ya Hifadhi ya Taifa Serengeti, huku...

Mtaka afichua urafiki wake na Makamu wa Rais

Na Mwandishi wetu, Gazetini MKUU wa Mkoa wa Njombe, Anthony Mtaka, amefichua historia ya urafiki wake wa muda mrefu na Makamu wa Rais wa Jamhuri...

DC Chato: Huduma za OSHA ni muhimu kwa ukuaji wa uchumi

Na mwandishi wetu, Gazetini Mkuu wa Wilaya ya Chato, mkoani Geita, Louis Bura, amesema kasi kubwa ya ukuaji wa uchumi katika Mkoa wa Geita imepelekea...

Ndejembi aapishwa, Rais Samia ampa jukumu zito

Na Faraja Mulungu, Gazetini DEOGRATIUS John Ndejembi ameanza rasmi majukumu yake mapya ya kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania baada ya...

Ndejembi apitishwa na CCM kuwa Makamu wa Rais

Na Faraja Mulungu Gazetini HALMASHAURI Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), chini ya Mwenyekiti wake, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu...

DK. Nchimbi afutwa uanachama CCM

Na mwandishi wetu, Gazetini KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Asharose Migiro, amesema Halmashauri Kuu ya CCM imeamua kumfukuza uanachama aliyekuwa Makamu wa...

Life for Relief and Development Calls for Support for Victims of Wars

As the scope of humanitarian crises continues to expand worldwide, World Humanitarian Day serves as a reminder that behind the statistics of wars and...

Tume ya Madini yatoa siku 30 kwa miradi 128

Na mwandishi wetu, Gazetini TUME ya Madini imetoa muda wa siku 30 kwa wamiliki na wawezeshaji wa miradi ya uchimbaji mdogo yenye Mikataba ya Msaada...

Recent articles

spot_img