Ads: info@gazetini.co.tz |
23.7 C
Dar es Salaam

Author: gazetiniAdmin_1

Na Hassan Mwasha ZIPO sababu nyingi za kukufanya uchukue hatua sasa ya kuachana kabisa na mkaa au kuni na kuhamia nishati safi ya kupikia katika matumizi yako ya kila siku hapo nyumbani. Ukiachana na gharama kubwa, uchafuzi wa...
RABAT, Morocco MSIMU huu wa fainali za Mataifa ya Afrika kwa soka la Wanawake utafikia ukomo Jumapili hii, yaani Agosti 16, 2026. Michuano hiyo inafanyika Morocco. Safari hii, ni timu ya soka ya Taifa ya Wanawake ya Cameroon...

Tume yabainisha matamanio ya Serikali kulinda afya na usalama wa watumishi wa umma

Na mwandishi wetu, Gazetini TUME ya Utumishi wa Umma imesema serikali ina nia ya dhati ya kuhakikisha watumishi wa umma wanakuwa salama na wenye afya...

Ndejembi awasha umeme Mwanubi

Na mwandishi wetu, Gazetini WAZIRI wa Nishati, Deogratius Ndejembi, amewasha umeme katika Kitongoji cha Mwanubi mkoani Shinyanga na kusema kuwa huduma ya umeme ni hitaji...

Msando: JET iendelee kuibua uharibifu wa vyanzo vya maji

Na mwandishi wetu, Gazetini MKUU wa Wilaya ya Ubungo, Albert Msando, amekipongeza Chama cha Waandishi wa Habari za Mazingira Tanzania (JET) kwa kuendelea kuandika na...

MO Dewji: Simba ni kubwa kuliko changamoto tunazopitia

Rais wa Simba SC, Mohammed Dewji, amewataka wanachama na mashabiki wa klabu hiyo kutogawanyika, akisisitiza kuwa Simba ni kubwa kuliko changamoto yoyote inayokabili klabu...

Baba wa Lionel Messi, Jorge Messi, afariki dunia akiwa na miaka 68

Na mwandishi wetu, Gazetini JORGE Messi, baba na wakala wa muda mrefu wa nyota wa Argentina na Inter Miami, Lionel Messi, amefariki dunia akiwa na...

UDOM yang’ara Nanenane kwa ubunifu, teknolojia

Na mwandishi wetu, Gazetini CHUO Kikuu cha Dodoma (UDOM) kimeendelea kuthibitisha nafasi yake kama kitovu cha utafiti, ubunifu na teknolojia nchini baada ya kuwasilisha bunifu...

Wachimbaji Namungo waomba mafunzo ya OSHA

Na mwandishi wetu, Gazetini WACHIMBAJI wadogo wa Mgodi wa Namungo wameiomba Serikali kupitia Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) kuwapatia mafunzo ya...

Rais Samia azindua tume ya uchunguzi wa ghasia za uchaguzi 2025

Na mwandishi wetu, Gazetini RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, amezindua Tume ya Rais ya Uchunguzi wa Wahusika wa Ghasia...

TARURA yatajwa miongoni mwa taasisi bora za miundombinu Afrika

Na mwandishi wetu, Gazetini RAIS wa Chama cha Mawakili wa Serikali Tanzania, Wakili Boniventure Mwambaja, amesema anaiona Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA)...

WMA yawafundisha watoto vipimo, Naibu waziri apongeza

na mwandishi wetu, Gazetini NAIBU Waziri wa Maliasili na Utalii, Hamad Chande, amefurahishwa na uelewa mkubwa ulioonyeshwa na wanafunzi waliopata elimu ya vipimo katika banda...

Heche: Bila kujitoa hata Lissu atakata tamaa

Na mwandishi wetu, Gazetini Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), John Heche, amewataka wanachama wa chama hicho kuongeza kiwango cha kujitolea katika...

Prof. Kabudi ahimiza amani Kilosa, atangaza mikakati kuimarisha kilimo

Na mwandishi wetu, Gazetini WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu - Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu, Prof. Palamagamba Kabudi, amewataka wananchi wa Jimbo...

Recent articles

spot_img