Ads: info@gazetini.co.tz |
24.8 C
Dar es Salaam

Author: gazetiniAdmin_1

Na mwandishi wetu, Gazetini KUFIKIA hatua hii ya msimu wa 2025-26 wa Ligi Kuu Bara, matajiri wa Chamazi, Azam FC, wameruhusu nyavu zao kutikiswa mara tisa pekee katika mechi 25 walizoshuka dimbani. Kwa hesabu hizo, Azam ya safari...
LONDON, Uingereza UPEKEE wa fainali za Kombe la Dunia za mwaka huu ni namna zitakavyohusisha makocha wa daraja la juu, pengine kuliko ilivyowahi kutokea katika historia ya mashindano hayo. Hivyo, fainali za safari hii zitakazoanza Juni 11, 2026...

Kombe la Dunia 2026: Harry Kane alivyobeba matumaini ya England

LONDON, Uingereza KUFANIKIWA au kufeli kwa timu ya Taifa ya England 'Three Lions' katika fainali za Kombe la Dunia za mwaka huu (2026) kutategemea na...

Ebola kuzitikisa fainali za Kombe la Dunia 2026?

KINSHASA, DRC MLIPUKO wa ugonjwa wa Ebola umeendelea kuwa gumzo si tu DRC ulikoanzia, bali pia nchi jirani za Afrika, ikiwamo Uganda, na sasa unatishia...

Siku 100 tangu vita vya Marekani, Iran vilipoanza

WASHINGTON DC, Marekani JUNI 7, 2026) zilitimia siku 100 tangu Marekani kwa kushirikiana na Israel zilipoanzisha mashambulizi dhidi ya Iran, vita vilivyosababisa kupanda kwa bei...

Siasa za Afrika na kitendawili cha demokrasia

Na mwandishi wetu, Gazetini KWA miaka ya hivi karibuni, baada ya kufuatilia chaguzi za Afrika, wachambuzi wa siasa wameibua kile wanachokiita mdororo wa afya ya...

Ripoti: Kiwango cha umasikini kimeongezeka Ujerumani

MUNICH, Ujerumani KIWANGO cha umasikini nchini Ujerumani kimeongezeka kwa kasi, ikilinganishwa na takwimu za mwaka 2020, kwa mujibu wa utafiti wa Taasisi ya Parity Welfare...

Wanawake watajwa chachu ya mafanikio katika operesheni za kulinda amani duniani

Na mwandishi wetu, Gazetini WANAWAKE wameelezwa kuwa nguzo muhimu katika kuimarisha amani, usalama na ustawi wa jamii, huku ushiriki wao katika operesheni za kulinda amani...

OWM kuimarisha ushirikiano na WFP katika usimamizi wa maafa

Na mwandishi wetu, Gazetini MKURUGENZI wa Idara ya Menejimenti ya Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu, Brigedia Jenerali Hosea Ndagala...

Ndoa ya Taylor Swift inavyoitikisa Marekani

LOS ANGELES, Marekani GUMZO kubwa katika tasnia ya burudani nchini Marekani ni ndoa ya bibiye Taylor Swift na mpenzi wake, Travis Kelce, huku mashabiki wa...

Nini nyuma ya pazia ziara ya Xi Jinping nchini Korea Kaskazini?

PYONGYANG, Korea ya Kaskazini RAIS wa China, Xi Jinping, yuko Korea ya Kaskazini kwa ziara ya siku mbili, Juni 8-9, 2026, ikilenga kutanua mahusiano mazuri...

Watatu wakamatwa mauaji ya mwanamuziki

LONDON, Uingereza POLISI nchini Uingereza wamewakamata watu watatu wanaohusishwa na tukio la kuuawa kwa staa wa muziki mwenye asili ya Nigeria, Mark Orabiyi. Orabiyi aliyeuawa akiwa...

Staa wa filamu afunguka mazito aliyofanyiwa na mkewe

LAGOS, Nigeria MWIGIZAJI mkongwe wa Nigeria, Tioruju Mondusi, amefichua kuwa aliwahi kuambiwa na mkewe, kwamba kati ya watoto wao watano kwenye ndoa yao, wawili wana...

Akataa Michael Jackson kuitwa Mfalme wa Pop

ACCRA, Ghana WAKATI dunia ikitambua kuwa Michael Jackson (sasa marehemu) ndiye 'King of Pop', ameibuka msanii mwingine mwenye mtazamo tofauti. Ndiyo, nyota wa muziki nchini Marekani,...

Recent articles

spot_img