Na mwandishi wetu, Gazetini
KUFIKIA hatua hii ya msimu wa 2025-26 wa Ligi Kuu Bara, matajiri wa Chamazi, Azam FC, wameruhusu nyavu zao kutikiswa mara tisa pekee katika mechi 25 walizoshuka dimbani.
Kwa hesabu hizo, Azam ya safari...
LONDON, Uingereza
UPEKEE wa fainali za Kombe la Dunia za mwaka huu ni namna zitakavyohusisha makocha wa daraja la juu, pengine kuliko ilivyowahi kutokea katika historia ya mashindano hayo.
Hivyo, fainali za safari hii zitakazoanza Juni 11, 2026...
LONDON, Uingereza
KUFANIKIWA au kufeli kwa timu ya Taifa ya England 'Three Lions' katika fainali za Kombe la Dunia za mwaka huu (2026) kutategemea na...
KINSHASA, DRC
MLIPUKO wa ugonjwa wa Ebola umeendelea kuwa gumzo si tu DRC ulikoanzia, bali pia nchi jirani za Afrika, ikiwamo Uganda, na sasa unatishia...
WASHINGTON DC, Marekani
JUNI 7, 2026) zilitimia siku 100 tangu Marekani kwa kushirikiana na Israel zilipoanzisha mashambulizi dhidi ya Iran, vita vilivyosababisa kupanda kwa bei...
Na mwandishi wetu, Gazetini
KWA miaka ya hivi karibuni, baada ya kufuatilia chaguzi za Afrika, wachambuzi wa siasa wameibua kile wanachokiita mdororo wa afya ya...
MUNICH, Ujerumani
KIWANGO cha umasikini nchini Ujerumani kimeongezeka kwa kasi, ikilinganishwa na takwimu za mwaka 2020, kwa mujibu wa utafiti wa Taasisi ya Parity Welfare...
Na mwandishi wetu, Gazetini
WANAWAKE wameelezwa kuwa nguzo muhimu katika kuimarisha amani, usalama na ustawi wa jamii, huku ushiriki wao katika operesheni za kulinda amani...
Na mwandishi wetu, Gazetini
MKURUGENZI wa Idara ya Menejimenti ya Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu, Brigedia Jenerali Hosea Ndagala...
LOS ANGELES, Marekani
GUMZO kubwa katika tasnia ya burudani nchini Marekani ni ndoa ya bibiye Taylor Swift na mpenzi wake, Travis Kelce, huku mashabiki wa...
PYONGYANG, Korea ya Kaskazini
RAIS wa China, Xi Jinping, yuko Korea ya Kaskazini kwa ziara ya siku mbili, Juni 8-9, 2026, ikilenga kutanua mahusiano mazuri...
LONDON, Uingereza
POLISI nchini Uingereza wamewakamata watu watatu wanaohusishwa na tukio la kuuawa kwa staa wa muziki mwenye asili ya Nigeria, Mark Orabiyi.
Orabiyi aliyeuawa akiwa...
LAGOS, Nigeria
MWIGIZAJI mkongwe wa Nigeria, Tioruju Mondusi, amefichua kuwa aliwahi kuambiwa na mkewe, kwamba kati ya watoto wao watano kwenye ndoa yao, wawili wana...
ACCRA, Ghana
WAKATI dunia ikitambua kuwa Michael Jackson (sasa marehemu) ndiye 'King of Pop', ameibuka msanii mwingine mwenye mtazamo tofauti.
Ndiyo, nyota wa muziki nchini Marekani,...