29.7 C
Dar es Salaam

Author: gazetiniAdmin_1

Na Mwandishi Wetu Heavenly Voice Gospel ambayo ni bendi ya muziki wa injili yenye maskani yake Marekani, imesema imeandaa nyimbo nyingi za kuwabariki mashabiki duniani kote. Akizungumza na tovuti hii, msemaji wa Heavenly Voice Gospel Band, Brazzoff Mwibelecha,...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini RAIS wa Kenya, William Ruto, anatarajiwa kuhutubia Bunge la Tanzania Mei 5, 2026, hotuba itakayofuatliwa na viongozi mbalimbali wa kitaifa. Akisoma tangazo la Katibu wa Bunge leo Aprili 29, 2026 Bungeni jijini Dodoma, Naibu...

Upinzani kumng’oa madarakani Benjamin Netanyahu?

JERUSALEM, Israel WAZIRI Mkuu wa Israel, Banjamin Netanyahu, anakabiliwa na upinzani mkali katika Uchaguzi Mkuu ujao utakaofanyika mwishoni mwa Oktoba, 2026. Ni baada ya vyama vikubwa...

Arsenal, Atletico kumaliza ubishi nusu fainali Ligi ya Mabingwa

LONDON, Uingereza ARSENAL watakuwa ugenini nchini Hispania kuwakabili Atletico Madrid katika mchezo wa nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya utakaochezwa kesho Aprili 29, 2026. Baada...

WHO: Vita vya Iran ‘pasua kichwa’ sekta ya afya

TEHRAN, Iran WIZARA ya Afya ya Iran imeeleza kuwa watu zaidi ya 1,300 wamefariki na wengine zaidi ya 9,000 kujeruhiwa tangu nchi hiyo ilipoingia kwenye...

AI yaanza kuchukua kazi za watu

Na mwandishi wetu, Gazetini DUNIA inaendelea kushuhudia mageuzi makubwa ya teknolojia yanayobadilisha namna shughuli mbalimbali zinavyotekelezwa kila siku, huku sehemu kubwa ya maendeleo hayo ikilenga...

Mamelodi V Fa Rabat: ‘Litakufa jitu’ fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika

CAIRO, Misri MAMELODI Sundowns ya Afrika Kusini dhidi ya vigogo wa soka la Morocco, FA Rabat, katika mtanange wa kukata na shoka wa fainali ya...

Hatua za Tanzania katika kutokomeza Malaria

Na mwandishi wetu, Gazetini TANZANIA imepiga hatua kubwa katika kupunguza athari za malaria, huku takwimu za hivi karibuni zikionyesha kupungua kwa vifo, maambukizi na wagonjwa...

Siku ya Usalama kazini 2026: Mambo muhimu kujua

Na mwandishi wetu, Gazetini SERIKALI imesema jumla ya watu 3,557 wamepata ajali wakiwa kazini katika kipindi cha miaka mitatu kuanzia 2023 hadi 2025, huku watu...

Watoto 75,500 nchini kuchunguzwa Sikoseli

Na mwandishi wetu, Gazetini JUMLA ya watoto na vijana wapatao 75,500 wanatarajiwa kufanyiwa uchunguzi wa ugonjwa wa selimundu (sikoseli) ili kubaini mapema hali zao za...

Mantra Tanzania LTD Empowers Local Talent, Inspires Hope with New Workforce for Mkuju River Project

Mantra Tanzania Limited has proudly welcomed ten newly trained equipment operators to support the next phase of development at the Mkuju River Project in...

Nyuma ya pazia ‘bifu’ zito la Peter, Paul wa P-SQUARE

LAGOS, Nigeria MAMBO yamezidi kuwa mabaya kwa mapacha waliowahi kutikisa soko la muziki barani Afrika kupitia Kundi la P-Square, Peter na Paul Okoye. Okoye ametangaza rasmi...

Kaizer Chiefs waivamia Simba dili la Nwabali

Na mwandishi wetu, Gazetini MPANGO wa Simba kumsajili kipa wa timu ya Taifa ya Nigeria 'Super Eagles', Stanley Nwabali, umeifikia Kaizer Chiefs na sasa klabu...

Evra: Siioni Arsenal ikibeba ‘ndoo’ EPL

LONDON, Uingereza BEKI wa zamani wa Manchester United na timu ya Taifa ya Ufaransa, Patrice Evra, amesema Arsenal haina nafasi ya ubingwa msimu huu wa...

Recent articles

spot_img