Ads: info@gazetini.co.tz |
23.1 C
Dar es Salaam

Author: gazetiniAdmin_1

TORONTO, Canada HERVE Renard ametangaza kujiuzulu katika kibarua chake cha kuinoa timu ya soka ya Taifa ya Tunisia. Mfaransa huyo ametema kibarua zikiwa ni siku 18 tu tangu alipoajiriwa kuchukua nafasi ya Sabri Lamouchi. Lamouchi alifungashiwa virago baada ya...
Na mwandishi wetu, Gazetini UKWELI ulio wazi ni kwamba vita kati ya Marekani na Iran vimekuwa na athari kubwa katika uchumi wa dunia. Vita hivyo vimesababisha uhaba wa mafuta, hivyo kupanda kwa bei ya nishati hiyo katika soko...

Ufaransa, Morocco kitawaka robo fainali

MIAMI, Marekani TIMU ya soka ya Taifa ya Ufaransa imetinga robo fainali ya Kombe la Dunia baada ya ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Paraguay. Ni...

Nchi zilizoandaa mara nyingi Kombe la Dunia

MIAMI, Marekani FAINALI za Kombe la Dunia za mwaka huu (2026) zimeandaliwa na nchi tatu; Marekani, Mexico na Canada. Tangu michuano hiyo ianze mwaka 1930, nchi...

Simba yabeba FA, yamaliza ukame wa miaka minne

Na Hassan Mwasha, Gazetini TUMERUDI! Simba imemaliza ukame wa miaka minne ya kupishana na taji la FA baada ya kulibeba msimu huu wa 2025-26 kwa...

Dube na hadithi ya maumivu iliyofikia tamati Yanga

Na Hassan Mwasha, Gazetini HIVI karibuni, Yanga iliachana na mshambuliaji wake raia wa Zimbabwe, Prince Dube, ambaye amejiunga na Hardrock ya Ligi Kuu nchini humo....

Ramos: Shujaa anayefunikwa na kivuli cha Ronaldo

MIAMI, Marekani AKITOKEA benchi, aliukuta mchezo ukiwa sare ya bao 1-1, kisha akafunga na kuiwezesha timu ya soka ya Taifa ya Ureno kupata ushindi wa...

Ujerumani bado majanga Kombe la Dunia

MIAMI, Ujerumani NUKSI ya timu ya soka ya Taifa ya Ujerumani katika fainali za Kombe la Dunia imeendelea. Safari hii, waliishia hatua ya 32 Bora. Ni...

JET: Asasi za kiraia ni nguzo ya kupambana na jangwa

Na mwandishi wetu, Gazetini MKURUGENZI Mtendaji wa Chama cha Waandishi wa Habari za Mazingira Tanzania (JET), John Chikomo, amesema asasi za kiraia zina nafasi muhimu...

Chanzo, hukumu ya Kanisa Katoliki kwa maaskofu sita

ROMA, Italia KANISA Katoliki lina wafuasi bilioni 1.4 duniani kote, hivyo kulifanya kuwa moja ya taasisi zenye nguvu na ushawishi mkubwa. Kama zilivyo taasisi zingine, Kanisa...

Mahrez aibwaga rasmi Algeria

MIAMI, Marekani WINGA Riyad Mahrez ametangaza kustaafu kuitumikia timu yake ya soka ya Taifa ya Algeria. Kwa mujibu wa mwandishi wa habari maarufu wa Italia, Fabrizio...

Zilizotinga 16 Bora Kombe la Dunia

TORONTO, Canada TIMU 13 zimeshakata tiketi ya kucheza hatua inayofuata ya 16 Bora msimu huu wa fainali za Kombe la Dunia. Ni baada ya Uswis nayo...

Mama yake Burna Boy ataka mkwe, wajukuu

LAGOS, Nigeria MAMA yake Burna Boy ambaye pia ndiye meneja wake, Bose Ogulu, amemtaka staa huyo wa muziki kuoa na kupata watoto. Ujumbe huo umekuja baada...

Waziri Mkuu: Sheria ya kutaifisha mifugo itafutwa Agosti

Na Malima Lubasha, Serengeti WAZIRI Mkuu, Dk. Mwigulu Nchemba, amesema Serikali imeanza mchakato wa kufuta sheria inayoruhusu kutaifishwa kwa mifugo inayokamatwa ndani ya maeneo ya...

Recent articles

spot_img