LOS ANGELES, Marekani
MOJA ya makundi yaliyoacha katika mapinduzi ya muziki wa Hip hop nchini Marekani na duniani kwa ujumla ni N.W.A lililoasisiwa mwishoni mwa...
Na Mwandishi Wetu,Gazetini
WAKATI maelfu ya vijana wa Kitanzania wakiendelea kuingia katika soko la ajira kila mwaka huku nafasi rasmi za ajira zikibaki finyu, wataalamu...
Na mwandishi wetu, Gazetini
KAMA kuna jambo wanaloweza kujilaumu Simba endapo wataikosa ubingwa wa Ligi Kuu Bara msimu huu, basi ni sare nyingi walizovuna katika...
Na mwandishi wetu, Gazetini
MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Bara, Yanga, wako kileleni mwa msimamo wakiwa na pointi 60 lakini wamebakiza mechi tano, ambazo kama...
Na mwandishi wetu, Gazetini
FEBRUARI 19, 2025, aliyekuwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo wakati huo, Palamaganda Kabudi, alisema Serikali imeamua kuutambua rasmi muziki...
Na mwandishi wetu, Gazetini
KUFIKIA hatua hii ya msimu wa 2025-26 wa Ligi Kuu Bara, matajiri wa Chamazi, Azam FC, wameruhusu nyavu zao kutikiswa mara...
LONDON, Uingereza
UPEKEE wa fainali za Kombe la Dunia za mwaka huu ni namna zitakavyohusisha makocha wa daraja la juu, pengine kuliko ilivyowahi kutokea katika...
LONDON, Uingereza
KUFANIKIWA au kufeli kwa timu ya Taifa ya England 'Three Lions' katika fainali za Kombe la Dunia za mwaka huu (2026) kutategemea na...
KINSHASA, DRC
MLIPUKO wa ugonjwa wa Ebola umeendelea kuwa gumzo si tu DRC ulikoanzia, bali pia nchi jirani za Afrika, ikiwamo Uganda, na sasa unatishia...
WASHINGTON DC, Marekani
JUNI 7, 2026) zilitimia siku 100 tangu Marekani kwa kushirikiana na Israel zilipoanzisha mashambulizi dhidi ya Iran, vita vilivyosababisa kupanda kwa bei...
Na mwandishi wetu, Gazetini
KWA miaka ya hivi karibuni, baada ya kufuatilia chaguzi za Afrika, wachambuzi wa siasa wameibua kile wanachokiita mdororo wa afya ya...
MUNICH, Ujerumani
KIWANGO cha umasikini nchini Ujerumani kimeongezeka kwa kasi, ikilinganishwa na takwimu za mwaka 2020, kwa mujibu wa utafiti wa Taasisi ya Parity Welfare...