MOSCOW, Urusi
URUSI imepata pigo baada ya Jenerali wake wa jeshi kuuawa katika shambulio la bomu, kwa mujibu wa taarifa ya Serikali ya nchi hiyo.
Taarifa...
Na mwandishi wetu, Gazetini
VITENDO vya ugaidi vimeendelea kuwa tishio kwa usalama wa dunia, kwa mujibu wa Taasisi ya kimataifa ya Uchumi na Amani (IEP).
Kwa...
MINSK, Belarus
SERIKALI ya Belarus imetangaza kuwaachia huru wafungwa 123, akiwamo wanasiasa wa upinzani, ikiwa ni katika kutekeleza maagizo ya Marekani.
Marekani iliiwekea vikwazo vya kiuchumi...
Na mwandishi wetu, Gazetini
KUMEKUCHA! Droo ya hatua ya makundi ya fainali za Kombe la Dunia ilichezeshwa nchini Marekani.Kwa mara ya kwanza, fainali hizo zitashirikisha...
Na Winfrida Mtoi, Gazetini
LIGI Kuu Tanzania Bara imeendelea leo Novemba 7, 2025 kwa michezo miwili kupigwa ambapo Yanga na Azam zimefanikiwa kuondoka na alama...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
WAKATI wananchi wa Libya walipoingia barabarani katika miji mbalimbali Februari, 2011, kilio chao kikubwa kilikuwa ni uhuru, ambao waliamini wanaukosa chini...
LONDON, Uingereza
KOCHA wa Tottenham, Thomas Frank, amesema lilikuwa ni kosa kubwa kwa teknolojia ya VAR kuwapa penalti wapinzani wao, Newcastle United, katika mchezo wa...
WASHINGTON DC, Marekani
NI agizo la Rais wa Marekani, Donald Trump, akisema hataki kuona wahamiaji wa Somalia wakiingia na kuishi nchini kwake. Katika Mkutano wake...
Na Winfrida Mtoi, Gazetini
Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamis Mwinjuma 'MwanaFA' amewaomba wadau na wadhamini kujitokeza kusapoti ushiriki wa wanawake katika...
Na mwandishi wetu, GazetiniNI miaka miwili sasa tangu wapiganaji wa Hamas walipoishambulia Israel. Shambulizi hilo la Oktoba 7, mwaka 2023 liligharimu maisha ya watu...
MANCHESTER, UingerezaKLABU ya Trabzonspor ya Uturuki imewasiliana na wakala wa Andre Onana na kumwambia inataka kumsajili moja kwa moja kipa huyo wa Manchester United.Onana...
MUNICH, UjerumaniMPACHIKAJI mabao wa Bayern Munich, Harry Kane, amesema si kweli kwamba atarudi Ligi Kuu ya England, na badala yake anataka kusaini mkataba mpya...